Mkuu wewe unaitwa MENO?? maana kila post unahusisha meno!!!Police wanini wakati hana sumu........
Mkuu wewe unaitwa MENO?? maana kila post unahusisha meno!!!Police wanini wakati hana sumu........
Kwani yeye anayo TRAHivi, yeye na marafiki zake wamechangia madawati mangapi?
Chadema kunaamani sanaKapendeza Sana lowasa
Kwa jinsi unavyojenga hoja, huna division one. Na kama unayo, ULIIDESA!wachangie za nini elimu siyo madawati,elimu ni walimu na vitabu, madawati ni kipengele kidogo sana,badala muimarishe maslahi ya walimu mnahangaika madawati,mbona sisi tulipata madivisheni one chini ya miti
Ushaisoma tayali.Rais wa moyo wangu.
Meshamkamata Lugumi? Au Mazingaombwe yanaendeleaSijui kama watu hawajapoteza vitu vyao huko maana huyu mzee kwa ufisadi na wizi hajambo.
Lowassa anahangaika na front page za magazeti asisahaulike ha ha haaaaa kweli tingatinga noma, kwisha habari yakeAiseeeee
Pole sana watanzania hawaitaji mizukaUshaisoma tayali.
Umeona wandishi wa habari hapo? Au ni yale mambo yakwenda kanisani mpaka uambatane na wandishi wa habariLowassa anahangaika na front page za magazeti asisahaulike ha ha haaaaa kweli tingatinga noma, kwisha habari yake
Sema huwezi sio uweziKwa mdaa huu uwezi kuona maana unatweta huko kichwani kwa sasa kitwanga ni hatari
Ndio ukweli huo, eti sitaki mkoa wangu kusikia op Ukuta sababu mkuu wangu amezuia na mimi nimekula kiapo kwake
Za kaambiwa changanya na zako