1000 digits
JF-Expert Member
- Oct 16, 2012
- 7,802
- 10,304
Daaah , Lowasa ni shidaaaa.
Huyu mtu ni mwanasiasa mkali sana.
Anajua kucheza na siasa kwa wakati. Siamini kuwa kuna mtu wa kupunguza nguvu ya Lowasa kisiasa. Anajua kupangilia mambo yake.
Na bahati nzuri baada ya kuaondoka CCM anaishi kwa raha na amani na afya yake imeimarika sana. Kuna watu walifikiri kuwa Lowasa ni mroho wa madaraka lakini kuimarika kwa afya yake kunaonyesha kuwa alichokuwa anakipigania ni watanzania wawe na maisha bora na elimu bora ndio maana walipomnyima nafasi ya kuwatumikia akatulia bila wasi wasi.
Sijui CCM walimfanyaje mana afya yake iliyumba sana akiwa kule pamoja na kwamba kule alikua na marafiki wanafiki. Waliokua wanamchekea kwa nje ila kwa ndani walikua wanamwangamiza kimya kimya kwa maneno ya chini chini.
Bado Lowasa ana nafasi kubwa ya kutimiza ndoto zake. Ajipange tu na kumwomba Mungu asiye na Chama wala kabila.
Huyu mtu ni mwanasiasa mkali sana.
Anajua kucheza na siasa kwa wakati. Siamini kuwa kuna mtu wa kupunguza nguvu ya Lowasa kisiasa. Anajua kupangilia mambo yake.
Na bahati nzuri baada ya kuaondoka CCM anaishi kwa raha na amani na afya yake imeimarika sana. Kuna watu walifikiri kuwa Lowasa ni mroho wa madaraka lakini kuimarika kwa afya yake kunaonyesha kuwa alichokuwa anakipigania ni watanzania wawe na maisha bora na elimu bora ndio maana walipomnyima nafasi ya kuwatumikia akatulia bila wasi wasi.
Sijui CCM walimfanyaje mana afya yake iliyumba sana akiwa kule pamoja na kwamba kule alikua na marafiki wanafiki. Waliokua wanamchekea kwa nje ila kwa ndani walikua wanamwangamiza kimya kimya kwa maneno ya chini chini.
Bado Lowasa ana nafasi kubwa ya kutimiza ndoto zake. Ajipange tu na kumwomba Mungu asiye na Chama wala kabila.