chongchung
JF-Expert Member
- Jun 23, 2013
- 14,697
- 45,975
Bora yako we mwenye makalio.Hana meno.......
Bora yako we mwenye makalio.Hana meno.......
Wapanic kwa nini wakati meno hana.......JPM sasa inabidi apige marufuku wapinzani wasitembelee nane nane hadi 2020. huko Lumumba watakuwa wamepanic sana.
eti watoto waliounguliwa mabweni kwani serikali ikowapi. dah umenikumbusha au kwa vile serikali ina maraisi wawili mtawala na kiongoziAnaacha kuhangaikia watoto waliounguliwa mabweni anaenda kuuza sura, kashindwa kutatua matatizo akiwa waziri mkuu.
Ila hana meno meno yakudhuru hana........Tukiachana na mambo ya siasa,huyu baba anapiga pamba Sana,cheki alivyopendeza!
Tangulini police wakaogopa mtu asie na meno......... Sumu hanaPoliccm wangemkataza tena maana wanamihemko sana kumuogopa EL kila anapoenda wanamzuia!! Ipo siku watamkataza hata kwenda kanisani! Wanaogopa maana ana maono makubwa na anakubalika mno! Wanaogopa kivuli chake kila aendapo!!
Hana meno baba.......The real president.
A masterpiece from the master himself!
Ila meno ndio hana..........Kapendeza
wachangie za nini elimu siyo madawati,elimu ni walimu na vitabu, madawati ni kipengele kidogo sana,badala muimarishe maslahi ya walimu mnahangaika madawati,mbona sisi tulipata madivisheni one chini ya mitiHivi, yeye na marafiki zake wamechangia madawati mangapi?
Nimezungumzia uvaaji wake,mengine yapo constant,ametupia kichizi,ofcourse anatofautiana na Yule mwingine(mvaa suti kubwakubwa)kama mashariki na magharibi! Btw meno yaume yasiume haihusiani na nilichoandikaIla hana meno meno yakudhuru hana........
Watanzania mioyoni wana Rais mwenye meno. Huyo wakwako peke yako endeleeni kutibiana mapengo yenu....Safi sn rais wa mioyo ya mamilioni ya watanzania
Kinya kimya.ndio style ya kisasa.baba waenyeshe .na kaka lisuLeo tarehe 7/8/2016, Aliyekuwa waziri Mkuu wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania *Mh. Edward Ngoyai Lowassa* (Mjumbe wa Halmashauri kuu ya CHADEMA) alitembelea maonesho ya nanenane mkoani Morogoro; Kuangalia, Kusikiliza na kushauriana na Wakulima mbalimbali juu ya changamoto za kilimo.
Mheshimiwa Edward Lowassa atakua huko kwa siku mbilimbili kwa ajili ya shughuli hiyo.
Meno namanisha hana......Nimezungumzia uvaaji wake,mengine yapo constant,ametupia kichizi,ofcourse anatofautiana na Yule mwingine(mvaa suti kubwakubwa)kama mashariki na magharibi! Btw meno yaume yasiume haihusiani na nilichoandika
Police wanini wakati hana sumu........wangejua kama ataenda wangetuma polisi
Sijakuelewa mkuuMeno namanisha hana......
Nyie serekali ya hapa kazi kwani mnafanya niniAnaacha kuhangaikia watoto waliounguliwa mabweni anaenda kuuza sura, kashindwa kutatua matatizo akiwa waziri mkuu.
mpe mkeo kama hana sumuPolice wanini wakati hana sumu........