gaspar kauki
JF-Expert Member
- May 17, 2014
- 578
- 194
Kawashtukiza madikteta uchwara
Fanya kazi upate zako na wewe ugawe.Hizo hela si atugawie huku munduli walau tufanyie BIASHARA
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] hadi viatu pia vinafunikwa.Kwani ana shida gani? Umaskini aliuga zamani. Wengine nguo wamezijua baada ya kupata vyeo. Anavaa kimjini aakati wengine nguo zinafunika mbaya, hata mwisho wa mkono hauonekani
Nje ya hapo Mimi huwa sioni mavazi mengine.Hahaha mkuu acha tu nikuige kwa kweli sina style nyigine tofauti na hiyo
vp ccm mpaka leo mmelipa waandishi wa habari waliopiga kazi nanyi wakati wa kampeni????Kuogoza Nyumbu hadi raha , unawaletea maigizo ya kushika UKUTA ili wakuachie nafasi ujigawie ruzuku ya chama hovyo.
Chadema mpaka Leo hawajapeleka gharama walizotumia kwenye uchaguzi mkuu.
Wizi mtupu.
mbona wazazi wa mkulu walishatangulia mbele za haki au anawazazi wa nne??Hakuna kitu cha muhimu km kuwajulia hali wazazi. Maandiko yanasema mheshimu baba na mama upate baraka na maisha marefu duniani. Ni kitabu gani cha dini kinasema jipendekeze kwa watu ili upate baraka?
makoti ya draft ni mapigo ya wasukumaHahahah hamna Lowasa ana mapigo fulani ya kicowboy ndio nikasema hayo ni mapigo yangu ,yaani huwezi sijui kunivalisha Jordans badala ya Travolta au Stacy Adams ,mkuu mmoja akaniambia nimemuiga kumbe na yeye hayo ni mapigo yake ndio nikakiri wacha tu nikuige siwezi badilisha style .......huyo wa koti la draft kwa kweli utanisamehe mapigo yake hata nishikiwe bunduki siwezi
Ila meno ndio hana..........