Leo tarehe 7/8/2016, Aliyekuwa waziri Mkuu wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania *Mh. Edward Ngoyai Lowassa* (Mjumbe wa Halmashauri kuu ya CHADEMA) alitembelea maonesho ya nanenane mkoani Morogoro; Kuangalia, Kusikiliza na kushauriana na Wakulima mbalimbali juu ya changamoto za kilimo.
Mheshimiwa Edward Lowassa atakua huko kwa siku mbilimbili kwa ajili ya shughuli hiyo.
Mizuka bana teh..teh.. futuhiKuogoza Nyumbu hadi raha , unawaletea maigizo ya kushika UKUTA ili wakuachie nafasi ujigawie ruzuku ya chama hovyo.
Chadema mpaka Leo hawajapeleka gharama walizotumia kwenye uchaguzi mkuu.
Wizi mtupu.
Hehehe nyie mnafutuhiMzee si anadegree ya maigizo poa poa
Mkuu hapo kwani unaonajeIle ya kuongea na wafabiashara kipindi anaenda kununnua maitaji yake ilikuaje ?
Maajabu sana, yaani Lowasa atakuwa kwenye maonyesho kwa muda wa siku mbili? Kweli PM mstaafu amechuja.Kuogoza Nyumbu hadi raha , unawaletea maigizo ya kushika UKUTA ili wakuachie nafasi ujigawie ruzuku ya chama hovyo.
Chadema mpaka Leo hawajapeleka gharama walizotumia kwenye uchaguzi mkuu.
Wizi mtupu.
Hakuna kitu cha muhimu km kuwajulia hali wazazi. Maandiko yanasema mheshimu baba na mama upate baraka na maisha marefu duniani. Ni kitabu gani cha dini kinasema jipendekeze kwa watu ili upate baraka?Safi, amemfunika yule anayependa kutembelea chato.
Na wewe kuna kitu umepewa uko lumumba si bure viloba ndo kitu gani dagaaa weweWew bwana cjui haraka ya wapi...#nene nane# ndo nin...huyo lowassa kuna kitu kawapa hawa vijana sio viloba tuu kuna kingine sio bure
Kwani ana shida gani? Umaskini aliuga zamani. Wengine nguo wamezijua baada ya kupata vyeo. Anavaa kimjini aakati wengine nguo zinafunika mbaya, hata mwisho wa mkono hauonekaniHuyu mzee kwa pamba ni hatariii
hahaha unamaanisha wa upande wa piliKwani ana shida gani? Umaskini aliuga zamani. Wengine nguo wamezijua baada ya kupata vyeo. Anavaa kimjini aakati wengine nguo zinafunika mbaya, hata mwisho wa mkono hauonekani
Haswaaa, makoti kama Yale sijui kama yanashonwa Tz.hahaha unamaanisha wa upande wa pili
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38] dah ndio yule mbunge wa Ukonga ??Yeah, mfano Mwita Waitara!