Hayo ndo mambo yanayotakiwa na huyo mzee hataki maandamano. Hakuna atakayemzuia kwa mambo ya kimaendeleo kama hayo na akitoka hapo aende hata Lindi ambako maonesho hayo yaafanyika KitaifaKesho atazuiwa
wataandika hii ya Lowasa!Kesho magazeti yataandika habari gani sasa? maana kuna habari nyingi sana siku ya leo
ahahaha,dahKapendeza balaa , yule mwenzetu kazi kuvaa makoti ya suti oversize ,
toka nje ya banda lako!Jaman, mm cjamuona nipo hapa banda la sua toka asb
Ha ha haaaah!, yaani ikitokea kila mmoja akafanya tukio nadhani waandishi watapewa muongozo sasa!!!!!..Lowassa, Mbowe, Lissu, Lema, Sugu, Zito, Msigwa, Mbatia........waendeleze tu kila mtu afanye tukio. wengine kimya kimya wengine kwa mihadhara,....habari zinazopatikana kwa usiri ndizo huwa zinafuatiliwa sanawataandika hii ya Lowasa!
Jamani,ha ha ha haaaaaaaaaKapendeza balaa , yule mwenzetu kazi kuvaa makoti ya suti oversize ,
WawashikisheSafi Lowasa ,waache bavichaaa washike UKUTA kivyao . ndio maisha waliyoyachagua
Kesho magazeti yataandika habari gani sasa? maana kuna habari nyingi sana siku ya leo
Huyu mzee kwa pamba ni hatariiiKapendeza
Hayo ndo mambo yanayotakiwa na huyo mzee hataki maandamano. Hakuna atakayemzuia kwa mambo ya kimaendeleo kama hayo na akitoka hapo aende hata Lindi ambako maonesho hayo yaafanyika Kitaifa
Ya Rais chato, Ya chadema kuzuiliwa kufanya mkutano chalinze wakati walipewa kibari etcNyingine ipi?
Haaa haaaa you made my dayTukiachana na mambo ya siasa,huyu baba anapiga pamba Sana,cheki alivyopendeza!