Edward Lowassa Atembelea Maonyesho ya Nane Nane Morogoro

Edward Lowassa Atembelea Maonyesho ya Nane Nane Morogoro

Mie mapigo ya lowassa tu namkubali sana.......leo inteligencia ilikua likizo nini
 
Labda vichaa
Hata ccm wanajua ni raisi wa mioyoyao, kwani hujamsikia siku anahojiwa na Tido akisema wako wengi aliowaacha ccm ambao wanaendelea kumpatia updates kutoka lumumba kuhusu mipango ya Kabwana mkubwa
 
Hata ccm wanajua ni raisi wa mioyoyao, kwani hujamsikia siku anahojiwa na Tido akisema wako wengi aliowaacha ccm ambao wanaendelea kumpatia updates kutoka lumumba kuhusu mipango ya Kabwana mkubwa

Kuhojiwa!!
Kweli wewe zuzu
Nani akihojiwa atasema mimi sipendwi?
Kumbuka Lowassa kwenda ikulu never
Hawezi peleka na vijana wanywa viroba kama wewe
 
Motochin! Huyu Mzee atawakimbiza sana

Kama CCM nzima Dodoma alijadiliwa badala ya chama, tambua kazi ipo

Tukubali tu Lowassa anapendwa na anakismati cha kupendwa
 
Kuhojiwa!!
Kweli wewe zuzu
Nani akihojiwa atasema mimi sipendwi?
Kumbuka Lowassa kwenda ikulu never
Hawezi peleka na vijana wanywa viroba kama wewe
we kilaza acha kukurupuka,mbona umepanick hivyo? haka ka mchezo hakataki hasira,wewe kama humpi updates kutoka lumumba basi wenzako wanampatia,sasa povu la nini acha ukilaza
 
Back
Top Bottom