Edward Lowassa ashiriki kampeni za Uhuru Kenyatta

Edward Lowassa ashiriki kampeni za Uhuru Kenyatta

Lowasa anajua Uhuru atashinda kwa vyovyote vile. Sasa anataka kuwaaminisha wenye ufahamu finyu kuwa Serikali ya TZ inamsapoti Odinga. Na Uhuru atakaposhinda adanganye kuwa Maghufuli na Odinga wameshindwa huku Lowassa na Kenyatta wakishinda. Sitashangaa baadhi ya mbumbumbu fulani wakiamini huo upuuzi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Subiri 2020 tuone chadema pesa za kampeni mtatoa wapi? Watoa pesa wazuri ni wajaluo. Mkikuyu ni zaidi Ya mpare kwa ubahili na anaijua pesa kuliko mchaga na Ana tabia Kama muhindi mkimaliza biashara hakuhitaji tena. mtakoma 2020 kila mgombea atajibeba mwenyewe kwa gharama Zake hakuna pesa za Obama,wazunguu au wajaluo wala wakikuyu.Mtakoma


we ni lumumba unatoka wapi na mambo ya chadema?
 
hapo ilikuwa umasaini. uwepo wa lowasa pale tayari kura za zote za wamasai kwa UHURU
 
Hili litamgharimu sana kisiasa.
Poor decision. Bad timing.
itamgharimu vipi? Kwani Tanzania si Lowasa alishinda lakini CCM mkafanya uchakachuaji mkubwa huko kenya si kama Tanzania watu wapo makini uchakachuaji ni vigumu kupenya kama Tanzania
 
Back
Top Bottom