wanauchafua ukristo !!! kwa kwenda kinyume. Waasisi wao walipotengana na ukristo kwa kushindwa sheria zake ingebidi wajipe jina jingine sio kuendelea kujiita wakristo huku kwa makusudi kabisa wakienda kinyume na desturi za wakristoKwani wee wamekukosea nini hao ECG? Au ni chuki tu binafsi?
Hawa manabii uwa wanamchukulia Yesu alikuwa nabii wa kawaida tu ingawa bado wanatumia jina lake, ndio maana wana hadi mitume ambao wanafanya kazi kwa ajili yao kama Yesu mfano mtalemwa ni mtume wa bushiri tanzania na sio wa YesuWanataka Yesu yupi?
Kuna mtu ambaye physically kaitwa Na YESU?Hawa manabii uwa wanamchukulia Yesu alikuwa nabii wa kawaida tu ingawa bado wanatumia jina lake, ndio maana wana hadi mitume ambao wanafanya kazi kwa ajili yao kama Yesu mfano mtalemwa ni mtume wa bushiri tanzania na sio wa Yesu
Wapo wengi tu, kuanzia mtume paulo, hujaona mtume paulo alivyoitwa na Yesu mwenyewe kabla ya kuanza huduma yake??? Au ndo uwa hamsomi biblia?? Na hata sasa wapo watu Mungu anawaita na wanampa Yesu kristo wa nazareth utukufu......hao manabii utukufu ni kwa Mungu wa nabiii.. .. Je huyo Mungu wa nabii ni Yesu wa nazareth??? Mitume wote walifundisha habari za Yesu na miujiza yao ilikuwa dhahiri, hata leo bado Yesu anawatokea watumishi na kuwapa huduma, pia sio lazima Yesu akutokee ww moja kwa moja ndo uanze huduma ila unatakiwa uwe mtume/nabii wa Yesu sio wa baba yako wa kiroho, baba yako ni kama kiunganishi tu na Yesu, Yesu ndiye mtenda miujiza mwenyewe naye ndio anatakiwa kuwa promoted na sio nabiii/mtume.Kuna mtu ambaye physically kaitwa Na YESU?
Kama hata 10% ya Wakristo wangekuwa na upeo kama wako, nina uhakika kabisa Imani ya Kikristo ingekuwa nguzo kuu ya maisha ya wakristo tofauti na ilivyo sasa ambapo huwezi kutofautisha wakristo na wapagani.Baada ya Yesu hakukuwa na nabii au mtume ambaye Mungu wake aliabudiwa ila wote walitangaza habari za Yesu wa nazareth, maana Yesu ndio Mungu pamoja nasi na ndo anaishi ndani yetu tunatakiwa kumwabudu yeye, hao wengine wa Mungu wa sijuia nabii nani, hao wanamkataa Yesu wa nazareth ndio maana hata mitume wa Yesu walikuwa wanasema Yesu wa nazareth ndio anafanya miujiza yote, ila leo hii eti Mungu wa mtume/nabii ndo anafanya!!!! Umeona wapi hii baada ya ujio wa Yesu??
Mkuu ulivyoanza Verses za Mikate nikadhani hata huko ni kwa huyo Jamaa ni Mikate pia,Mathayo : Mlango 26
26 Nao walipokuwa wakila Yesu alitwaa mkate, akabariki, akaumega, akawapa wanafunzi wake, akasema, Twaeni, mle; huu ndio mwili wangu
Marko : Mlango 14
22 Nao walipokuwa wakila, alitwaa mkate, akabariki, akaumega, akawapa, akasema, Twaeni; huu ndio mwili wangu.
Kutakuwa Na ibada ya kula nyama siku ya Ijumaa Kuu kwenye kanisa la ECG Makongo Juu linalo ongozwa Na Chief Apostle Mtalemwa Deonis.
Wote mnakaribishwa.
Bujibuji nitakuwepo kusonsomola misosi, tena Kitimoto ndio ijiandae kabisa kuandika maumivu.
Don't dare to miss
Siwashangai sana maana hata mimi katika kipindi cha ukuaji wa kiroho nimepitia changamoto nyingi sana ambazo zinaendana na hizo kama kushindwa kutambua imani ya kweli ni ipi, na nini msingi wa madhehebu na dini tofauti, nikaja kugundua watu wote ambao wanataka kuwa wafuasi wa Yesu, imani yao inatakiwa iwe kwa Yesu wa nazareth, na wamhubiri yeye na kile ambacho mitume wake walikihubiri, sasa leo hii unakuta kuna nabii/mtume naye anawafuasi wanamwabudu yeye au Mungu wake, wanashindwa kujua wote tu wafuasi wa Yesu kwa kuamini injili na Mungu wetu ni mmoja ambaye ni Yesu mwenyewe, kwani ndiye aliyedhihirishwa katika mwili, sasa watu wengi wamejengwa katika msingi wa kidini/madhehebu/mitume/manabii wa kileo ambao wengi wao wamejiita na wanatumiwa na mashetani/kuzimu, na msingi wao ni mmoja tu kupotosha kweli ya Mungu,Kama hata 10% ya Wakristo wangekuwa na upeo kama wako, nina uhakika kabisa Imani ya Kikristo ingekuwa nguzo kuu ya maisha ya wakristo tofauti na ilivyo sasa ambapo huwezi kutofautisha wakristo na wapagani.
Yaani wakristo wengi wa sasa wamemuacha kabisa Yesu wao, wako busy kweli kweli na madhehebu yao, Manabii, Mitume nk.
Asante sana kaka Pascal Mayalla. Dini Na uvivu wa kutafuta maarifa vimefanya elimu na nguvu nyingine za kiroho zionekane kama mazingaombweNi kweli kutembea hewani, kunaitwa, levitation, na aspotation.
Psychic Powers: Ni Nguvu za Kufanya Miujiza. Wengi wanazo bila kujitambua. Je, Wewe Unazo?
P
CNi kweli kutembea hewani, kunaitwa, levitation, na aspotation.
Psychic Powers: Ni Nguvu za Kufanya Miujiza. Wengi wanazo bila kujitambua. Je, Wewe Unazo?
P
Ukristo ni upi?wanauchafua ukristo !!! kwa kwenda kinyume. Waasisi wao walipotengana na ukristo kwa kushindwa sheria zake ingebidi wajipe jina jingine sio kuendelea kujiita wakristo huku kwa makusudi kabisa wakienda kinyume na desturi za wakristo
Naunga mkono hoja,Asante sana kaka Pascal Mayalla. Dini Na uvivu wa kutafuta maarifa vimefanya elimu na nguvu nyingine za kiroho zionekane kama mazingaombwe
Mkuu mantiki ya Mungu kujitambulisha kupitia Ibrahimu, Isaka na Yakobo ilikuwa ni njia ya Mungu kujitofautisha na miungu iliyokuwa ikiabudiwa kabla Mungu hajajifunua rasmi kwetu.Kwa hiyo hawamuhubiri Yesu?
Nini tofauti kati ya Mungu wa Yakobo, Shadrach, Meshach, Ibrahim Elijah Na huyu Mungu wa Major 1.
Je ECG hawatumii Biblia?
Nakubaliana na wewe kwa sehemu lakini kosa mnalofanya ni kutenganisha maagizo ya Kanisa na ya Mungu. Hili mnahitaji shule kwelikweli.Mkuu nilitaka nichangie hapo kwenye kutaja Mungu wa fulani ila naona mwishoni ume eleza kitu kizuri kwamba " ili mradi huyo Mungu awe anaunganishwa Na YESU KRISTO wa Nazareth".Hapo nikupe kikazi kidogo usiwe mwepesi wa kujibu bali tafakari na ukisema uwe na ushahidi wa kutosha,je mungu wa huyo Major wewe una uhakika gani ameunganishwa na Yesu wa Nazareth?Ukiwa na evidence nzuri hapo itakuwa safi.Mungu akubariki
Kula nyama siku ya ijumaa kuu siyo shida kwani ambao hawali wanajua ni maagizo ya kanisa wala si ya Mungu.Kwa hiyo wale walioambiwa kwa mujibu wa imani zao wasile itakuwa kosa wakila,ila mimi kwa imani nikutana na nyama siku hiyo nakula.Kuanzia kitabu cha Mwanzo hadi ufunuo,hakuna palipozuia,so ni makubaliano ya wanadamu.
halafu huyo Major one wanamtukuza kuliko YesuNinachoshindwa kuwaelewa ECG ni mda mwingi kutumia kusema i receive, kila mtume akiongea nao wanapokea i receive, na wanamwomba Mungu wa major one, sasa sijui kwa nini mnashindwa kumuomba Yesu kristo wa nazareth? Mnaomba kwa jina la Mungu wa major??
hilo kanisa litanifaa.Hahah,hilo kanisa siwez lisahau mkuu,..nilipeperushiwa ndege wangu hiv hiv......wanahuduma ya kutabiri na maono bas dem wangu aliambiwa mim si muoaji na ikiwezekana aachane namim,..hahaah,au la niende hapo church nkaombewe,hahah,mim ni RC dam dam siwez kubal dram hyo...makanisa haya yana maigizo sana ukuhudhuria,dem huyo alinishawish mara 2,ila kwa style ile ya mahubir na huduma,nkamwona mtalemwa mjasiriamali mwenzangu tuu,skwenda teeena,..ila magar yanayopak pale ni balaa,kuna watoto balaa na watu maaruf.
Hyo I RECEIVE na kupigia magot pastor ndo iliniacha hoi
bro mambo yako ya meditation. umeshindwa kumuona Ben SAA 8 alipo?Ni kweli kutembea hewani kupo, kunaitwa, levitation, na aspotation. Kwa kutumia nguvu za Mwanga, The Powers of Light, watu wanatembea hewani hata juu ya maji. Na pia kuna nguvu za giza, watu wanafanya mambo hayo, hivyo it depends unafanya miujiza kwa nguvu gani.
Psychic Powers: Ni Nguvu za Kufanya Miujiza. Wengi wanazo bila kujitambua. Je, Wewe Unazo?
P
Umeona ee, yaani Yesu kwao ni wa kawaida ukilinganisha na nabii, yaani Mungu wa major one anatajwa sana kuliko Yesuhalafu huyo Major one wanamtukuza kuliko Yesu