ECG Makongo na ibada ya kula nyama Ijumaa Kuu

ECG Makongo na ibada ya kula nyama Ijumaa Kuu

Bujibuji Simba Nyamaume

Platinum Member
Joined
Feb 4, 2009
Posts
78,175
Reaction score
166,158
.
John 6:53
[53]Then Jesus said unto them, Verily, verily, I say unto you, Except ye eat the flesh of the Son of man, and drink his blood, ye have no life in you.
Basi Yesu akawaambia, Amin, amin, nawaambieni, Msipoula mwili wake Mwana wa Adamu na kuinywa damu yake, hamna uzima ndani yenu.



*KULA mwili wa Yesu tafsiri yake ni kakubali mateso yake msalabani yaliyotuletea uhuru*

Kwa ijumaa hii kama ishara ya kakubali mwili wa Yesu tutakula nyama hasa ya nguruwe iliyo tamu zaidi.


Kutakuwa Na ibada ya kula nyama siku ya Ijumaa Kuu kwenye kanisa la ECG Makongo Juu linalo ongozwa Na Chief Apostle Mtalemwa Deonis.
Wote mnakaribishwa.
Bujibuji nitakuwepo kusonsomola misosi, tena Kitimoto ndio ijiandae kabisa kuandika maumivu.
Don't dare to miss
 
Sijawahi kulisikia hilo kanisa
 
Mathayo : Mlango 26

26 Nao walipokuwa wakila Yesu alitwaa mkate, akabariki, akaumega, akawapa wanafunzi wake, akasema, Twaeni, mle; huu ndio mwili wangu

Marko : Mlango 14

22 Nao walipokuwa wakila, alitwaa mkate, akabariki, akaumega, akawapa, akasema, Twaeni; huu ndio mwili wangu.

Kutakuwa Na ibada ya kula nyama siku ya Ijumaa Kuu kwenye kanisa la ECG Makongo Juu linalo ongozwa Na Chief Apostle Mtalemwa Deonis.
Wote mnakaribishwa.
Bujibuji nitakuwepo kusonsomola misosi, tena Kitimoto ndio ijiandae kabisa kuandika maumivu.
Don't dare to miss
Huyo apostle kapewa utume na mzee was upako?
 
Ninachoshindwa kuwaelewa ECG ni mda mwingi kutumia kusema i receive, kila mtume akiongea nao wanapokea i receive, na wanamwomba Mungu wa major one, sasa sijui kwa nini mnashindwa kumuomba Yesu kristo wa nazareth? Mnaomba kwa jina la Mungu wa major??
 
Hahah,hilo kanisa siwez lisahau mkuu,..nilipeperushiwa ndege wangu hiv hiv......wanahuduma ya kutabiri na maono bas dem wangu aliambiwa mim si muoaji na ikiwezekana aachane namim,..hahaah,au la niende hapo church nkaombewe,hahah,mim ni RC dam dam siwez kubal dram hyo...makanisa haya yana maigizo sana ukuhudhuria,dem huyo alinishawish mara 2,ila kwa style ile ya mahubir na huduma,nkamwona mtalemwa mjasiriamali mwenzangu tuu,skwenda teeena,..ila magar yanayopak pale ni balaa,kuna watoto balaa na watu maaruf.

Hyo I RECEIVE na kupigia magot pastor ndo iliniacha hoi
 
Ninachoshindwa kuwaelewa ECG ni mda mwingi kutumia kusema i receive, kila mtume akiongea nao wanapokea i receive, na wanamwomba Mungu wa major one, sasa sijui kwa nini mnashindwa kumuomba Yesu kristo wa nazareth? Mnaomba kwa jina la Mungu wa major??
Kwa hiyo hawamuhubiri Yesu?
Nini tofauti kati ya Mungu wa Yakobo, Shadrach, Meshach, Ibrahim Elijah Na huyu Mungu wa Major 1.
Je ECG hawatumii Biblia?
 
Hahah,hilo kanisa siwez lisahau mkuu,..nilipeperushiwa ndege wangu hiv hiv......wanahuduma ya kutabiri na maono bas dem wangu aliambiwa mim si muoaji na ikiwezekana aachane namim,..hahaah,au la niende hapo church nkaombewe,hahah,mim ni RC dam dam siwez kubal dram hyo...makanisa haya yana maigizo sana ukuhudhuria,dem huyo alinishawish mara 2,ila kwa style ile ya mahubir na huduma,nkamwona mtalemwa mjasiriamali mwenzangu tuu,skwenda teeena,..ila magar yanayopak pale ni balaa,kuna watoto balaa na watu maaruf.

Hyo I RECEIVE na kupigia magot pastor ndo iliniacha hoi
Kweli kabisa ulikuwa sii muoaji. VP Bado upo upo hadi lini?
 
Ninachoshindwa kuwaelewa ECG ni mda mwingi kutumia kusema i receive, kila mtume akiongea nao wanapokea i receive, na wanamwomba Mungu wa major one, sasa sijui kwa nini mnashindwa kumuomba Yesu kristo wa nazareth? Mnaomba kwa jina la Mungu wa major??
Bora na ww umeona hilo...huku wanamuita huyo nabii wao baba...
 
Back
Top Bottom