ECG Makongo na ibada ya kula nyama Ijumaa Kuu

ECG Makongo na ibada ya kula nyama Ijumaa Kuu

KANISA LA MUHUNI NA MUONGO BUSHIRI TANGU ALIPOFEKI KWAMBA ANATEMBEA HEWANI NILIMDHARAU, NA ETI KUTUMIA SIMU AKIWA KANISANI KUMPIGA PICHA MTOTO WAKE ALIYE NYUMBANI UONGO MTUPU MY SELF NAAMINI KATIKA MIUJIZA ILA SI YA DESIGN HIII
 
Kwa hiyo hawamuhubiri Yesu?
Nini tofauti kati ya Mungu wa Yakobo, Shadrach, Meshach, Ibrahim Elijah Na huyu Mungu wa Major 1.
Je ECG hawatumii Biblia?
Usifikiri kila anayemtaja Yesu anamtaja Yesu wa nazareth mkuu, hapa tz kuna makanisa kibao hawamtaji Yesu wa nazareth mkuu, ukisikia Yesu kristo haimaanishi yule wa kweli kwenye bible kuwa makini sana na hawa manabii na mitume, ndio maana ukifuatilia utakuja kukuta mtalemwa ni mtume wa major one sio wa Yesu, katumwa na major one sio Mungu. Ndio maana kwenye ibada lazima awe anamtaja Mungu wa major one kuliko Yesu wa nazareth mwenyewe. Bongo kuna manabii kibao hawamtambui Yesu wa nazareth na wanatumia biblia hii unayoijua mfano kuna nabii Yaspi na nabii bendera wa makanisa ya ufunuo moja lipo buza lingine lipo kimara mwisho
 
Usifikiri kila anayemtaja Yesu anamtaja Yesu wa nazareth mkuu, hapa tz kuna makanisa kibao hawamtaji Yesu wa nazareth mkuu, ukisikia Yesu kristo haimaanishi yule wa kweli kwenye bible kuwa makini sana na hawa manabii na mitume, ndio maana ukifuatilia utakuja kukuta mtalemwa ni mtume wa major one sio wa Yesu, katumwa na major one sio Mungu. Ndio maana kwenye ibada lazima awe anamtaja Mungu wa major one kuliko Yesu wa nazareth mwenyewe. Bongo kuna manabii kibao hawamtambui Yesu wa nazareth na wanatumia biblia hii unayoijua mfano kuna nabii Yaspi na nabii bendera wa makanisa ya ufunuo moja lipo buza lingine lipo kimara mwisho
Kwani kuna mayesu wangapi?
Mimi hiyo ya kusema Mungu wa Major One sio issue, ni sawa tu Na kusema Mungu wa Yakobo, au Mungu wa Bujibuji, ili mradi huyo Mungu awe anaunganishwa Na YESU KRISTO wa Nazareth
 
Usifikiri kila anayemtaja Yesu anamtaja Yesu wa nazareth mkuu, hapa tz kuna makanisa kibao hawamtaji Yesu wa nazareth mkuu, ukisikia Yesu kristo haimaanishi yule wa kweli kwenye bible kuwa makini sana na hawa manabii na mitume, ndio maana ukifuatilia utakuja kukuta mtalemwa ni mtume wa major one sio wa Yesu, katumwa na major one sio Mungu. Ndio maana kwenye ibada lazima awe anamtaja Mungu wa major one kuliko Yesu wa nazareth mwenyewe. Bongo kuna manabii kibao hawamtambui Yesu wa nazareth na wanatumia biblia hii unayoijua mfano kuna nabii Yaspi na nabii bendera wa makanisa ya ufunuo moja lipo buza lingine lipo kimara mwisho
Wanataka Yesu yupi?
 
KANISA LA MUHUNI NA MUONGO BUSHIRI TANGU ALIPOFEKI KWAMBA ANATEMBEA HEWANI NILIMDHARAU, NA ETI KUTUMIA SIMU AKIWA KANISANI KUMPIGA PICHA MTOTO WAKE ALIYE NYUMBANI UONGO MTUPU MY SELF NAAMINI KATIKA MIUJIZA ILA SI YA DESIGN HIII
Hata Lady Gaga aliwahi kutembea hewani. Kutembea hewani ni muujiza mdogo sana. Kaulize watu wa meditation kama Mshana Jr, Rakeem, Na Pascal Mayalla
 
In Pengo voice " hilo Kanisa lina mazuri mengi tu, sema kusosomola minyama Ijumaa kuu ni kuchanganya ya Mungu na ya walimwengu na tena sema sikuwepo wakati wanaandaa huo waraka, oh! Sorry iyo ibada ya minyama. .......!!??" Tinaendelea kutafakari Waraka.
 
Hata Lady Gaga aliwahi kutembea hewani. Kutembea hewani ni muujiza mdogo sana. Kaulize watu wa meditation kama Mshana Jr, Rakeem, Na Pascal Mayalla
Ni kweli kutembea hewani kupo, kunaitwa, levitation, na aspotation. Kwa kutumia nguvu za Mwanga, The Powers of Light, watu wanatembea hewani hata juu ya maji. Na pia kuna nguvu za giza, watu wanafanya mambo hayo, hivyo it depends unafanya miujiza kwa nguvu gani.
Psychic Powers: Ni Nguvu za Kufanya Miujiza. Wengi wanazo bila kujitambua. Je, Wewe Unazo?
P
 
Kwani kuna mayesu wangapi?
Mimi hiyo ya kusema Mungu wa Major One sio issue, ni sawa tu Na kusema Mungu wa Yakobo, au Mungu wa Bujibuji, ili mradi huyo Mungu awe anaunganishwa Na YESU KRISTO wa Nazareth
Baada ya Yesu hakukuwa na nabii au mtume ambaye Mungu wake aliabudiwa ila wote walitangaza habari za Yesu wa nazareth, maana Yesu ndio Mungu pamoja nasi na ndo anaishi ndani yetu tunatakiwa kumwabudu yeye, hao wengine wa Mungu wa sijuia nabii nani, hao wanamkataa Yesu wa nazareth ndio maana hata mitume wa Yesu walikuwa wanasema Yesu wa nazareth ndio anafanya miujiza yote, ila leo hii eti Mungu wa mtume/nabii ndo anafanya!!!! Umeona wapi hii baada ya ujio wa Yesu??
 
Kwani kuna mayesu wangapi?
Mimi hiyo ya kusema Mungu wa Major One sio issue, ni sawa tu Na kusema Mungu wa Yakobo, au Mungu wa Bujibuji, ili mradi huyo Mungu awe anaunganishwa Na YESU KRISTO wa Nazareth
Mkuu nilitaka nichangie hapo kwenye kutaja Mungu wa fulani ila naona mwishoni ume eleza kitu kizuri kwamba " ili mradi huyo Mungu awe anaunganishwa Na YESU KRISTO wa Nazareth".Hapo nikupe kikazi kidogo usiwe mwepesi wa kujibu bali tafakari na ukisema uwe na ushahidi wa kutosha,je mungu wa huyo Major wewe una uhakika gani ameunganishwa na Yesu wa Nazareth?Ukiwa na evidence nzuri hapo itakuwa safi.Mungu akubariki

Kula nyama siku ya ijumaa kuu siyo shida kwani ambao hawali wanajua ni maagizo ya kanisa wala si ya Mungu.Kwa hiyo wale walioambiwa kwa mujibu wa imani zao wasile itakuwa kosa wakila,ila mimi kwa imani nikutana na nyama siku hiyo nakula.Kuanzia kitabu cha Mwanzo hadi ufunuo,hakuna palipozuia,so ni makubaliano ya wanadamu.
 
Back
Top Bottom