Asulo
JF-Expert Member
- Jun 25, 2012
- 719
- 251
Hii haijalishi wewe umeokoka au swala tano. Ukifanya ngono na umpendae muda muafaka, sehemu muafaka na kwenye eneo muafaka unajisikiaje kwa wale waliobahatika kufanya hivyo?
Lazima utakuwa umetawaliwa na ngono wewe.