Ngono ya kutoshirikiana wenza haipunguzi nyege ni sumu ya mapenzi

mmmuhumba

JF-Expert Member
Nov 8, 2017
491
476
Katika mahusiano mahitaji ya kihisia huwa ni mahitaji ya kimsingi hususani suala zima la kujamiana mwanaume na mwanamke wake (Wenza). Kumekuwepo na maneno mengi ya kuonyesha umuhimu wa ngono katika ndoa na wapenzi.

Ili kujenga mahusiano bora yenye afya na kuthibiti mihemko na migogoro ya wenza juu ya kuchepuka upo umuhimu mkubwa wa mke na mume kwa pamoja kuwa na utayari wa kutimiziana haja za kimwili, badala ya mmoja kutaka na mwingine kubaki kama gita inayopigwa bila kuwa na hisia na tendo.

Jifunze, unapokuwa umeolewa au umeoa moja ya jukumu lako ni kumtimizia mwenza wako ngono tamu ya kumridhisha.

Kwa kushirikiana katika ngono kuna haya hujengeka kwa wenza:

~ Kuwa na mawasiliano mazuri ya kimapenzi. Muda wowote ule unaopanga kukutana kimwili na mwenza wako na ukuanza kuamsha hisia zake naye akaitikia, kwa pamoja mkashirikiana kupeana utamu utamu.

Usaidia kuwaleta karibu zaidi, kuwa huru kufungua hisia zenu mkazungumza, kufurahia na kutoa vinyongo vyenu. Utajifunza yako maeneo anapoguswa mpenzi uweza kuropoka mengi na pia masikio yake kuwa wazi kumsikiliza mwenza wake.

~ Kuonyesha mmependa kwa lengo moja. Ikiwa unamwanaume anayekuingilia kimwili na huna mizuka naye au mwanamke anayekutaka kingono na huna mzuka naye ilo ni tatizo. Unapokuwa na mwenza wako anayejituma kitandani, tena mnapokezana mikao na vionjo vya mahaba.

Ni wazi mko pale kujenga kitu mlichokikusudia na hata ikiwa kuna matokeo ya mimba basi mtu huyo atawajibika. Vuta picha mwanaume kumpakia mkongo au dawa za nguvu mwenza wake ili iweje?, wenza mnaposhirikiana vyema, hivi huwa mbwembwe, mana mko kwenye starehe na siyo vita.

~ Kuonyesha anakuridhisha na kama hakuridhishi ni rahisi kutafuta suluhu kwa pamoja. Mnaposhirikiana katika suala zima la kujamiana, uwaleta karibu zaidi kuwa na utu wa kutazamana mapungufu yenu na kutafuta tiba. Hapa siri za chumbani ufichika na matatizo uweza kutatulika.

~ Kupunguza mawazo ya michepuko. Unapokuwa mume au mke na unashindwa kutoa ushirikiano katika suala la kujamiana. Wapo wenza, mwanaume huwa anajiweka na kuacha mwanamke ajikojoze au mwanamke kumuacha mwanaume akojoe amuache. Hii ujenga fikra kuwa uliye naye uenda penzi limepungua, limeisha, anajambo nawe ila linamtafuna, au amechepuka.

~ Kuongeza ashki ya mapenzi kwa uliyenaye. Unapokuwa unaonyesha kujali hisia za mwenzio kama anavyokujali wewe, ni wazi utamfanya akilini na katika hisia zake uishi wewe na sio tamaa na hata kama atakumbana na tamaa, siku zote utaishi kuwa wa kwanza kwake, hawezi tenda dharau kwako ataishi kwa mipaka.

~ Hupunguza kufanya ngono mara kwa mara. Unaweza fanya ngono nyingi lakini zikawa hazina maana kwa kukosa ushirikiano, lakini ngono ya kuchezwa na wenza kwa kushirikiana huwa tamu na upunguza kiwango kikubwa cha nyege. Na kufanya waweze kukaa muda mrefu bila kukutana huku muda huo wakiutumia kufanya mambo mengine.

~ Huepusha mimba zisizo pangwa na maradhi ya zinaa. Unaposhirikiana na mpenzi wako ni rahisi kujali afya yako, kupanga uzazi, kukumbushana na kuchukua tahadhari. Ila unapofanya mwenzio kama mdori, mara zote ni rahisi kukosea.

~ Husababisha athari katika afya ya akili. Ngono ya kufanya bila kuwa na mwenza anayekuitikia vichocheo vyako, utengeneza mazoea ya kufanya ngono kwa kuwaza kujikojoza na sio kufikishwa kileleni. Haina tofauti na puchu. Hivyo kwa mwanaume ulete athari katika kujamiana na mwanamke pia huleta athari ya kukosa hamu na mwanaume husika.

~ Hupelekea mwenza kulinganisha. Udadisi uzaliwa, kwa kutamani kupata mwanaume au mwanamke mwenye kuweza kushughulika kitandani. Sasa, wewe jnaposema upo bize, uume wako unautega kama kigogo akalie tu au unatege uke wako kama chombo cha asali, itasababisha siku atapoonja tu nje na akaona anavyoitikiwa vyema, akaamisha kambi.

~ Kudhalilishwa utu wako. Wapo wanaume na wanawake hawana haba (siri), usipojishughulisha naye ni rahisi kuzikuta siri zako nje kwa mwanamke mwenzio au mwanaume mwenzio. Wengi wanaume na wanawake walidatishwa kwa starehe za chumbani, uyaweka wazi mapungufu ya wenza wao.

Kwahiyo, unapotaka kupunguza mihemko ya mwenzio na kumfanya akupe thamani kwa hali na mapenzi, ni lazima wewe mwanaume na mwanamke (wenza) tendo la ngono liwe ni sehemu ya nyie wawili na sio tamaa ya mtu mmoja.

Ngono inapogeuka kuwa ni tamaa au kipendwa na mtu mmoja huwa ni tatizo, ufanya uliyenaye ajitathmini kuwa hakuridhishi, humjali, humpendi, unashonde naye, unachepuka, mazoea yamevuka mipaka na huna hofu ya yeye kutafuta njia mbadala ya kuweza mahaba.

Na mmmuhumba
Tweet@mmmuhumba
Tiktok@mmmuhumba
#mnogeshe umpendae.

20221218_181556.jpg
 
Hayo yote yanawezekana kama madeni yote ya vikoba yamelipwa kwa wakati. Lakini yatawezekana zaidi kama akiba iliyobaki ni mara nane ya ile iliyolipwa vikoba katika mfuko wa mwanaume. Hakuna fulaha kubwa kwa mwanamke kama atakuwa na uhakika wa kulipa mizunguko minane ya vikoba pasipo kuguswa marejesho ya mzunguko wake
 
Hayo yote yanawezekana kama madeni yote ya vikoba yamelipwa kwa wakati. Lakini yatawezekana zaidi kama akiba iliyobaki ni mara nane ya ile iliyolipwa vikoba katika mfuko wa mwanaume. Hakuna fulaha kubwa kwa mwanamke kama atakuwa na uhakika wa kulipa mizunguko minane ya vikoba pasipo kuguswa marejesho ya mzunguko wake
Suala la hisia liko nje ya fedha na majukumu unayopaswa kuyatimiza kama mwanaume. Ngono inanafasi yake, kushirikiana kuna tija kubwa ila masuala mengi hayo nayo ni wajibu, hayakwepeki.
Ukitaka kujua faida ya kikoba cha siri cha mkeo, mwanaume kaukiwa pesa! Mbona utamsaidia kucheza hapo baadae.
Kikoba utanua uchumi wa pande mbili na ufunza mwanamke kuwa na nidhamu ya fedha na kuwekeza kwa maslahi
 
Bila kuwa na pesa mada ni batili na kujilisha upepo
Mada hii haijagusa fedha bali imegusa umuhimu wa kuwajibika katika suala zima la kujamiana, iwe unacho ama huna, suala la kushirikiana katika kujamiana ni la msingi.
Na ifike tuachane na hzi fikra za misimu kuwa fedha ndio mapenzi, ni kiasi gani unachokizungumzia cha kubakisha mwanamke?.
Nafanya ushauri ktk mahusiano, wapo wanwake na wanaume wamewapa wapenzi wao vitu ambavyo ni ndoto za watu na wanawasumbua kimapenzi. Basi bili get asingeachana na mkewe.
Tujitahid ndugu yangu Mr pipa, kuwa watu wa kujenga ustawi bora, tusifanye vijana kuogopa mahusiano na majukumu kwa kuwaza fedha, ikiwa wamezaliwa na familia duni na hao wazazi wao wanazeeka na hali yao ya kawaida.
 
Mada hii haijagusa fedha bali imegusa umuhimu wa kuwajibika katika suala zima la kujamiana, iwe unacho ama huna, suala la kushirikiana katika kujamiana ni la msingi.
Na ifike tuachane na hzi fikra za misimu kuwa fedha ndio mapenzi, ni kiasi gani unachokizungumzia cha kubakisha mwanamke?.
Nafanya ushauri ktk mahusiano, wapo wanwake na wanaume wamewapa wapenzi wao vitu ambavyo ni ndoto za watu na wanawasumbua kimapenzi. Basi bili get asingeachana na mkewe.
Tujitahid ndugu yangu Mr pipa, kuwa watu wa kujenga ustawi bora, tusifanye vijana kuogopa mahusiano na majukumu kwa kuwaza fedha, ikiwa wamezaliwa na familia duni na hao wazazi wao wanazeeka na hali yao ya kawaida.
Hapa nimekuelewa Sana mkuu
 
Shida Ni personal interest( s) mkuu,Yaani ckuiz kila mtu anafanya Jambo/ mambo Yake akiangalia personal interests zake, kwa mfano kwenye suala la ngono wanaume wengi hufanya tendo kwa lengo la kujiridhisha wao wenyewe Wala hawajali Kama mwenza wao ataridhika ama la.

The same applies to women.
 
Shida Ni personal interest( s) mkuu,Yaani ckuiz kila mtu anafanya Jambo/ mambo Yake akiangalia personal interests zake, kwa mfano kwenye suala la ngono wanaume wengi hufanya tendo kwa lengo la kujiridhisha wao wenyewe Wala hawajali Kama mwenza wao ataridhika ama la.

The same applies to women.
Ni kweli kabisa, wanaume hatujali na wengine hawajui kama mwanamke naye anakojoa.
Wengine hata dalili na alama ya kukojoa demu wake. Huu ni unyanyasaji na ni ishara mbaya, yaani ikitokea akachepuka tu na akafanywa ipaswavyo, mambo yanabadilika.
 
Gono itawamaliza vijana, fanyeni kazi
Moja ya hitaji kubwa la kibinamu ni ngono na sio kazi.hata ujitenge miaka mia uwe bize na kazi, lazima tu utahitaji ngono.
Ngono ni afya ya akili inakupa mood ya kazi, uchungu wa kutafuta pesa, na kutafuta heshima nankuwa na familia bora.
 
Moja ya hitaji kubwa la kibinamu ni ngono na sio kazi.hata ujitenge miaka mia uwe bize na kazi, lazima tu utahitaji ngono.
Ngono ni afya ya akili inakupa mood ya kazi, uchungu wa kutafuta pesa, na kutafuta heshima nankuwa na familia bora.
ujinga, umasikini, maradhi
 
Katika mahusiano mahitaji ya kihisia huwa ni mahitaji ya kimsingi hususani suala zima la kujamiana mwanaume na mwanamke wake (Wenza). Kumekuwepo na maneno mengi ya kuonyesha umuhimu wa ngono katika ndoa na wapenzi.

Ili kujenga mahusiano bora yenye afya na kuthibiti mihemko na migogoro ya wenza juu ya kuchepuka upo umuhimu mkubwa wa mke na mume kwa pamoja kuwa na utayari wa kutimiziana haja za kimwili, badala ya mmoja kutaka na mwingine kubaki kama gita inayopigwa bila kuwa na hisia na tendo.

Jifunze, unapokuwa umeolewa au umeoa moja ya jukumu lako ni kumtimizia mwenza wako ngono tamu ya kumridhisha.

Kwa kushirikiana katika ngono kuna haya hujengeka kwa wenza:

~ Kuwa na mawasiliano mazuri ya kimapenzi. Muda wowote ule unaopanga kukutana kimwili na mwenza wako na ukuanza kuamsha hisia zake naye akaitikia, kwa pamoja mkashirikiana kupeana utamu utamu.

Usaidia kuwaleta karibu zaidi, kuwa huru kufungua hisia zenu mkazungumza, kufurahia na kutoa vinyongo vyenu. Utajifunza yako maeneo anapoguswa mpenzi uweza kuropoka mengi na pia masikio yake kuwa wazi kumsikiliza mwenza wake.

~ Kuonyesha mmependa kwa lengo moja. Ikiwa unamwanaume anayekuingilia kimwili na huna mizuka naye au mwanamke anayekutaka kingono na huna mzuka naye ilo ni tatizo. Unapokuwa na mwenza wako anayejituma kitandani, tena mnapokezana mikao na vionjo vya mahaba.

Ni wazi mko pale kujenga kitu mlichokikusudia na hata ikiwa kuna matokeo ya mimba basi mtu huyo atawajibika. Vuta picha mwanaume kumpakia mkongo au dawa za nguvu mwenza wake ili iweje?, wenza mnaposhirikiana vyema, hivi huwa mbwembwe, mana mko kwenye starehe na siyo vita.

~ Kuonyesha anakuridhisha na kama hakuridhishi ni rahisi kutafuta suluhu kwa pamoja. Mnaposhirikiana katika suala zima la kujamiana, uwaleta karibu zaidi kuwa na utu wa kutazamana mapungufu yenu na kutafuta tiba. Hapa siri za chumbani ufichika na matatizo uweza kutatulika.

~ Kupunguza mawazo ya michepuko. Unapokuwa mume au mke na unashindwa kutoa ushirikiano katika suala la kujamiana. Wapo wenza, mwanaume huwa anajiweka na kuacha mwanamke ajikojoze au mwanamke kumuacha mwanaume akojoe amuache. Hii ujenga fikra kuwa uliye naye uenda penzi limepungua, limeisha, anajambo nawe ila linamtafuna, au amechepuka.

~ Kuongeza ashki ya mapenzi kwa uliyenaye. Unapokuwa unaonyesha kujali hisia za mwenzio kama anavyokujali wewe, ni wazi utamfanya akilini na katika hisia zake uishi wewe na sio tamaa na hata kama atakumbana na tamaa, siku zote utaishi kuwa wa kwanza kwake, hawezi tenda dharau kwako ataishi kwa mipaka.

~ Hupunguza kufanya ngono mara kwa mara. Unaweza fanya ngono nyingi lakini zikawa hazina maana kwa kukosa ushirikiano, lakini ngono ya kuchezwa na wenza kwa kushirikiana huwa tamu na upunguza kiwango kikubwa cha nyege. Na kufanya waweze kukaa muda mrefu bila kukutana huku muda huo wakiutumia kufanya mambo mengine.

~ Huepusha mimba zisizo pangwa na maradhi ya zinaa. Unaposhirikiana na mpenzi wako ni rahisi kujali afya yako, kupanga uzazi, kukumbushana na kuchukua tahadhari. Ila unapofanya mwenzio kama mdori, mara zote ni rahisi kukosea.

~ Husababisha athari katika afya ya akili. Ngono ya kufanya bila kuwa na mwenza anayekuitikia vichocheo vyako, utengeneza mazoea ya kufanya ngono kwa kuwaza kujikojoza na sio kufikishwa kileleni. Haina tofauti na puchu. Hivyo kwa mwanaume ulete athari katika kujamiana na mwanamke pia huleta athari ya kukosa hamu na mwanaume husika.

~ Hupelekea mwenza kulinganisha. Udadisi uzaliwa, kwa kutamani kupata mwanaume au mwanamke mwenye kuweza kushughulika kitandani. Sasa, wewe jnaposema upo bize, uume wako unautega kama kigogo akalie tu au unatege uke wako kama chombo cha asali, itasababisha siku atapoonja tu nje na akaona anavyoitikiwa vyema, akaamisha kambi.

~ Kudhalilishwa utu wako. Wapo wanaume na wanawake hawana haba (siri), usipojishughulisha naye ni rahisi kuzikuta siri zako nje kwa mwanamke mwenzio au mwanaume mwenzio. Wengi wanaume na wanawake walidatishwa kwa starehe za chumbani, uyaweka wazi mapungufu ya wenza wao.

Kwahiyo, unapotaka kupunguza mihemko ya mwenzio na kumfanya akupe thamani kwa hali na mapenzi, ni lazima wewe mwanaume na mwanamke (wenza) tendo la ngono liwe ni sehemu ya nyie wawili na sio tamaa ya mtu mmoja.

Ngono inapogeuka kuwa ni tamaa au kipendwa na mtu mmoja huwa ni tatizo, ufanya uliyenaye ajitathmini kuwa hakuridhishi, humjali, humpendi, unashonde naye, unachepuka, mazoea yamevuka mipaka na huna hofu ya yeye kutafuta njia mbadala ya kuweza mahaba.

Na mmmuhumba
Tweet@mmmuhumba
Tiktok@mmmuhumba
#mnogeshe umpendae.

View attachment 2450925
Nilikuwa na demu, nanjunji naye utadhani nanjunji na bunduki aina ya gobore
 
Nilikuwa na demu, nanjunji naye utadhani nanjunji na bunduki aina ya gobore
Kaka hii comment yako imefanya nicheke mpaka watu wameshangaa.
Ilo ni tatizo, manzi anakupa mgongo alafu anakilemba kakivuta mpaka usoni hatak mtazamane, kakuachia tu wew kula ukishiba acha. Ukiona kajitingisha ujue ni utamu tu unamchanganya. Jameni mauno feni muhimu.
 
Katika mahusiano mahitaji ya kihisia huwa ni mahitaji ya kimsingi hususani suala zima la kujamiana mwanaume na mwanamke wake (Wenza). Kumekuwepo na maneno mengi ya kuonyesha umuhimu wa ngono katika ndoa na wapenzi.

Ili kujenga mahusiano bora yenye afya na kuthibiti mihemko na migogoro ya wenza juu ya kuchepuka upo umuhimu mkubwa wa mke na mume kwa pamoja kuwa na utayari wa kutimiziana haja za kimwili, badala ya mmoja kutaka na mwingine kubaki kama gita inayopigwa bila kuwa na hisia na tendo.

Jifunze, unapokuwa umeolewa au umeoa moja ya jukumu lako ni kumtimizia mwenza wako ngono tamu ya kumridhisha.

Kwa kushirikiana katika ngono kuna haya hujengeka kwa wenza:

~ Kuwa na mawasiliano mazuri ya kimapenzi. Muda wowote ule unaopanga kukutana kimwili na mwenza wako na ukuanza kuamsha hisia zake naye akaitikia, kwa pamoja mkashirikiana kupeana utamu utamu.

Usaidia kuwaleta karibu zaidi, kuwa huru kufungua hisia zenu mkazungumza, kufurahia na kutoa vinyongo vyenu. Utajifunza yako maeneo anapoguswa mpenzi uweza kuropoka mengi na pia masikio yake kuwa wazi kumsikiliza mwenza wake.

~ Kuonyesha mmependa kwa lengo moja. Ikiwa unamwanaume anayekuingilia kimwili na huna mizuka naye au mwanamke anayekutaka kingono na huna mzuka naye ilo ni tatizo. Unapokuwa na mwenza wako anayejituma kitandani, tena mnapokezana mikao na vionjo vya mahaba.

Ni wazi mko pale kujenga kitu mlichokikusudia na hata ikiwa kuna matokeo ya mimba basi mtu huyo atawajibika. Vuta picha mwanaume kumpakia mkongo au dawa za nguvu mwenza wake ili iweje?, wenza mnaposhirikiana vyema, hivi huwa mbwembwe, mana mko kwenye starehe na siyo vita.

~ Kuonyesha anakuridhisha na kama hakuridhishi ni rahisi kutafuta suluhu kwa pamoja. Mnaposhirikiana katika suala zima la kujamiana, uwaleta karibu zaidi kuwa na utu wa kutazamana mapungufu yenu na kutafuta tiba. Hapa siri za chumbani ufichika na matatizo uweza kutatulika.

~ Kupunguza mawazo ya michepuko. Unapokuwa mume au mke na unashindwa kutoa ushirikiano katika suala la kujamiana. Wapo wenza, mwanaume huwa anajiweka na kuacha mwanamke ajikojoze au mwanamke kumuacha mwanaume akojoe amuache. Hii ujenga fikra kuwa uliye naye uenda penzi limepungua, limeisha, anajambo nawe ila linamtafuna, au amechepuka.

~ Kuongeza ashki ya mapenzi kwa uliyenaye. Unapokuwa unaonyesha kujali hisia za mwenzio kama anavyokujali wewe, ni wazi utamfanya akilini na katika hisia zake uishi wewe na sio tamaa na hata kama atakumbana na tamaa, siku zote utaishi kuwa wa kwanza kwake, hawezi tenda dharau kwako ataishi kwa mipaka.

~ Hupunguza kufanya ngono mara kwa mara. Unaweza fanya ngono nyingi lakini zikawa hazina maana kwa kukosa ushirikiano, lakini ngono ya kuchezwa na wenza kwa kushirikiana huwa tamu na upunguza kiwango kikubwa cha nyege. Na kufanya waweze kukaa muda mrefu bila kukutana huku muda huo wakiutumia kufanya mambo mengine.

~ Huepusha mimba zisizo pangwa na maradhi ya zinaa. Unaposhirikiana na mpenzi wako ni rahisi kujali afya yako, kupanga uzazi, kukumbushana na kuchukua tahadhari. Ila unapofanya mwenzio kama mdori, mara zote ni rahisi kukosea.

~ Husababisha athari katika afya ya akili. Ngono ya kufanya bila kuwa na mwenza anayekuitikia vichocheo vyako, utengeneza mazoea ya kufanya ngono kwa kuwaza kujikojoza na sio kufikishwa kileleni. Haina tofauti na puchu. Hivyo kwa mwanaume ulete athari katika kujamiana na mwanamke pia huleta athari ya kukosa hamu na mwanaume husika.

~ Hupelekea mwenza kulinganisha. Udadisi uzaliwa, kwa kutamani kupata mwanaume au mwanamke mwenye kuweza kushughulika kitandani. Sasa, wewe jnaposema upo bize, uume wako unautega kama kigogo akalie tu au unatege uke wako kama chombo cha asali, itasababisha siku atapoonja tu nje na akaona anavyoitikiwa vyema, akaamisha kambi.

~ Kudhalilishwa utu wako. Wapo wanaume na wanawake hawana haba (siri), usipojishughulisha naye ni rahisi kuzikuta siri zako nje kwa mwanamke mwenzio au mwanaume mwenzio. Wengi wanaume na wanawake walidatishwa kwa starehe za chumbani, uyaweka wazi mapungufu ya wenza wao.

Kwahiyo, unapotaka kupunguza mihemko ya mwenzio na kumfanya akupe thamani kwa hali na mapenzi, ni lazima wewe mwanaume na mwanamke (wenza) tendo la ngono liwe ni sehemu ya nyie wawili na sio tamaa ya mtu mmoja.

Ngono inapogeuka kuwa ni tamaa au kipendwa na mtu mmoja huwa ni tatizo, ufanya uliyenaye ajitathmini kuwa hakuridhishi, humjali, humpendi, unashonde naye, unachepuka, mazoea yamevuka mipaka na huna hofu ya yeye kutafuta njia mbadala ya kuweza mahaba.

Na mmmuhumba
Tweet@mmmuhumba
Tiktok@mmmuhumba
#mnogeshe umpendae.

View attachment 2450925
Rekebisha TITLE, haieleweki kabisa!
 
Katika mahusiano mahitaji ya kihisia huwa ni mahitaji ya kimsingi hususani suala zima la kujamiana mwanaume na mwanamke wake (Wenza). Kumekuwepo na maneno mengi ya kuonyesha umuhimu wa ngono katika ndoa na wapenzi.

Ili kujenga mahusiano bora yenye afya na kuthibiti mihemko na migogoro ya wenza juu ya kuchepuka upo umuhimu mkubwa wa mke na mume kwa pamoja kuwa na utayari wa kutimiziana haja za kimwili, badala ya mmoja kutaka na mwingine kubaki kama gita inayopigwa bila kuwa na hisia na tendo.

Jifunze, unapokuwa umeolewa au umeoa moja ya jukumu lako ni kumtimizia mwenza wako ngono tamu ya kumridhisha.

Kwa kushirikiana katika ngono kuna haya hujengeka kwa wenza:

~ Kuwa na mawasiliano mazuri ya kimapenzi. Muda wowote ule unaopanga kukutana kimwili na mwenza wako na ukuanza kuamsha hisia zake naye akaitikia, kwa pamoja mkashirikiana kupeana utamu utamu.

Usaidia kuwaleta karibu zaidi, kuwa huru kufungua hisia zenu mkazungumza, kufurahia na kutoa vinyongo vyenu. Utajifunza yako maeneo anapoguswa mpenzi uweza kuropoka mengi na pia masikio yake kuwa wazi kumsikiliza mwenza wake.

~ Kuonyesha mmependa kwa lengo moja. Ikiwa unamwanaume anayekuingilia kimwili na huna mizuka naye au mwanamke anayekutaka kingono na huna mzuka naye ilo ni tatizo. Unapokuwa na mwenza wako anayejituma kitandani, tena mnapokezana mikao na vionjo vya mahaba.

Ni wazi mko pale kujenga kitu mlichokikusudia na hata ikiwa kuna matokeo ya mimba basi mtu huyo atawajibika. Vuta picha mwanaume kumpakia mkongo au dawa za nguvu mwenza wake ili iweje?, wenza mnaposhirikiana vyema, hivi huwa mbwembwe, mana mko kwenye starehe na siyo vita.

~ Kuonyesha anakuridhisha na kama hakuridhishi ni rahisi kutafuta suluhu kwa pamoja. Mnaposhirikiana katika suala zima la kujamiana, uwaleta karibu zaidi kuwa na utu wa kutazamana mapungufu yenu na kutafuta tiba. Hapa siri za chumbani ufichika na matatizo uweza kutatulika.

~ Kupunguza mawazo ya michepuko. Unapokuwa mume au mke na unashindwa kutoa ushirikiano katika suala la kujamiana. Wapo wenza, mwanaume huwa anajiweka na kuacha mwanamke ajikojoze au mwanamke kumuacha mwanaume akojoe amuache. Hii ujenga fikra kuwa uliye naye uenda penzi limepungua, limeisha, anajambo nawe ila linamtafuna, au amechepuka.

~ Kuongeza ashki ya mapenzi kwa uliyenaye. Unapokuwa unaonyesha kujali hisia za mwenzio kama anavyokujali wewe, ni wazi utamfanya akilini na katika hisia zake uishi wewe na sio tamaa na hata kama atakumbana na tamaa, siku zote utaishi kuwa wa kwanza kwake, hawezi tenda dharau kwako ataishi kwa mipaka.

~ Hupunguza kufanya ngono mara kwa mara. Unaweza fanya ngono nyingi lakini zikawa hazina maana kwa kukosa ushirikiano, lakini ngono ya kuchezwa na wenza kwa kushirikiana huwa tamu na upunguza kiwango kikubwa cha nyege. Na kufanya waweze kukaa muda mrefu bila kukutana huku muda huo wakiutumia kufanya mambo mengine.

~ Huepusha mimba zisizo pangwa na maradhi ya zinaa. Unaposhirikiana na mpenzi wako ni rahisi kujali afya yako, kupanga uzazi, kukumbushana na kuchukua tahadhari. Ila unapofanya mwenzio kama mdori, mara zote ni rahisi kukosea.

~ Husababisha athari katika afya ya akili. Ngono ya kufanya bila kuwa na mwenza anayekuitikia vichocheo vyako, utengeneza mazoea ya kufanya ngono kwa kuwaza kujikojoza na sio kufikishwa kileleni. Haina tofauti na puchu. Hivyo kwa mwanaume ulete athari katika kujamiana na mwanamke pia huleta athari ya kukosa hamu na mwanaume husika.

~ Hupelekea mwenza kulinganisha. Udadisi uzaliwa, kwa kutamani kupata mwanaume au mwanamke mwenye kuweza kushughulika kitandani. Sasa, wewe jnaposema upo bize, uume wako unautega kama kigogo akalie tu au unatege uke wako kama chombo cha asali, itasababisha siku atapoonja tu nje na akaona anavyoitikiwa vyema, akaamisha kambi.

~ Kudhalilishwa utu wako. Wapo wanaume na wanawake hawana haba (siri), usipojishughulisha naye ni rahisi kuzikuta siri zako nje kwa mwanamke mwenzio au mwanaume mwenzio. Wengi wanaume na wanawake walidatishwa kwa starehe za chumbani, uyaweka wazi mapungufu ya wenza wao.

Kwahiyo, unapotaka kupunguza mihemko ya mwenzio na kumfanya akupe thamani kwa hali na mapenzi, ni lazima wewe mwanaume na mwanamke (wenza) tendo la ngono liwe ni sehemu ya nyie wawili na sio tamaa ya mtu mmoja.

Ngono inapogeuka kuwa ni tamaa au kipendwa na mtu mmoja huwa ni tatizo, ufanya uliyenaye ajitathmini kuwa hakuridhishi, humjali, humpendi, unashonde naye, unachepuka, mazoea yamevuka mipaka na huna hofu ya yeye kutafuta njia mbadala ya kuweza mahaba.

Na mmmuhumba
Tweet@mmmuhumba
Tiktok@mmmuhumba
#mnogeshe umpendae.

View attachment 2450925
Umeupiga mwingi sana
 
Back
Top Bottom