kipindupindu
JF-Expert Member
- Dec 16, 2010
- 1,053
- 170
Wakuu naomba maana ya maneno haya.
Toleka kibinda.....maboko likoloo
So wat?
hapa ndo umenichanganya kabisa!preta hebu niambie eti nasikia maana yake ni makalio makubwa?!
Yaani nikisikia haya maneno nahisi ni tinginya flani hivi.maana yake nini jamani?
Preta inaelekea unayo kibinda nkoe wewe!
aaah....solola bien, pesa mbongo.......
pona nini kipindu.....makambo ezali minene?
Preta naona huwa unatubandikia maneno au majina ya nyimbo za Ki-Congo, hahahahaaaa......
Makambo ezali Minene -- Matatizo yangu makubwa (Makambo ni mambo na minene ni Nene au Kubwa)
mkuu nisaidie naona preta kaamua kuninyoosha tu
Daah nyi watu mnanikumbusha mbali sana aisee. Enzi za Diamond Sound pale Silent Inn Mwenge/ Mlalakuwa
mkuu nisaidie naona preta kaamua kuninyoosha tu
Nateseka kwakuwa jf naingia through internet cafe na via mobile.