Uzi ufungwe1.Mwili Ni Nyumba ya roho
2.Roho Ni nishati inayoipa nguvu mwili,
3.Nafsi Ni kiunganishi Cha roho na mwili.
Vipi tukichinja mbuzi vyote tutavikuta?1.Mwili Ni Nyumba ya roho
2.Roho Ni nishati inayoipa nguvu mwili,
3.Nafsi Ni kiunganishi Cha roho na mwili.
🤣🤣🤣🤣🤣Uzi ufungwe
Njoo ujibu Full chargeKwenye ubongo, ulishawahi kuiona akili?
Mbuzi hana roho. Ana nafsi lakini hana roho.Vipi tukichinja mbuzi vyote tutavikuta?
Majibu yote haya hapa:Mtu akifa, roho na nafsi vinaenda wapi?