MAKOLE
JF-Expert Member
- Feb 5, 2012
- 618
- 280
Wadau naomba kuuliza, kwa wale wanaopenda kufuatilia kazi za riwaya za Prof. E. Kezilahabi watakuwa wanafahamu riwaya ya Rosa Mistika. Nimekisoma sana kitabu hiki ila sifahamu ni kwa nini serikali ya Tanzania ilikipiga marufuku kitabu hiki kusomwa. Noambeni maelezo kwa mwenye kufahamu.