E Fm mbona mnakomalia suala la Bashite hivyo?

E Fm mbona mnakomalia suala la Bashite hivyo?

Nadhani mnafanana na huyo Tapeli wa kufufua Misukule!
Aendelee kudanganya waumini wake kwa kufufua misukule!!
HALINA NGUVU HILO!! TAFUTA JINGINE, HIVI HAO WAUMINI WAKO WANAJITAMBUA!! WAHUBIRIE BIBLIA BWANA HACHA POROJO!!
 
Nadhani mnafanana na huyo Tapeli wa kufufua Misukule!
Aendelee kudanganya waumini wake kwa kufufua misukule!!
HALINA NGUVU HILO!! TAFUTA JINGINE, HIVI HAO WAUMINI WAKO WANAJITAMBUA!! WAHUBIRIE BIBLIA BWANA HACHA POROJO!!
Duh
Asante kwa ushauri mkuu
 
Habari wakuu

Hiki kituo cha redio wanajiita mziki mnene siwaeliwi kabisa,mana kila break lazima wamponde Bashite.

Amewakosea nini?
Huna tofauti na Facebook Efm wanasoma kilichoandikwa kwenye Magazeti kosa Lao liko wapi? Unataka wawe wanafiki kama mawingu kuruka Habari? Toa mfano wa unachozungumza sio Unaongea bila kufikiri nyambafuuuu
 
Huna tofauti na Facebook Efm wanasoma kilichoandikwa kwenye Magazeti kosa Lao liko wapi? Unataka wawe wanafiki kama mawingu kuruka Habari? Toa mfano wa unachozungumza sio Unaongea bila kufikiri nyambafuuuu
Yote ni maoni mkuu,
Vyeti mezani tu
 
Ama kweli Gwajima ni zaid ya kidume anasababish Bashite anaangua kilio tena hadharan.Gwajima nakuomba umsamehe atakuwa ameshika adabu sasa
 
Back
Top Bottom