E Fm mbona mnakomalia suala la Bashite hivyo?

E Fm mbona mnakomalia suala la Bashite hivyo?

Hivyo vita anavyopigana wameshindwa watu we nye akili timamu itakuwa yeye bashite anaandika majina ya wauza unga na mkono halafu unamtetea

Wacha maneno weka vyeti
Wenye akili timamu kwa kipimo cha upeo wako, sio kipimo cha wenye akili
 
Forgery ni criminal offense kwa sheria za jamhur yaani wwe unaitwq shaban halafu ukaiba cheti au ukapata cheti cha mbaruku ukaitwa mbaruk ni kosa kisheria kwanza kosa la kwanza umefoji jina jipya ambalo halina sifa halali ya elimu hiyo yaani legally domination PILI wewe unatakiwa ushitakiwe kwa kufojibna kutumua jina hewa kwa maaana ya sifa hivyo haishii kujiuzulu tu lazima sasa kama unajiuzulu uombe radhi kisha ushitakiwe kama walivyostakiwa wengine , issue hapa sio madawa ya kulevya wala wivu wala nn issue hapa ni uhalali wa elimu na itifaki ya uwajibikaji katika context ya sheria tu na sio zaidi hakuna kuonea wala kuonewa bandugu
Sahihi mkuu,hapa hakuna bifu na mtu,just fair play
 
Wenye akili timamu kwa kipimo cha upeo wako, sio kipimo cha wenye akili
Kigezo kikubwa cha kupewa cheo na kuaminiwa serikalini ni elimu sasa mtu kabashite halafu unamtetea kwani wale baadhi ya wafanyakazi walio tumuliwa walikuwa hawafanyi kazi vizuri tatizo hapa ni vyeti wala hatuna cha zaidi mbona jambo dogo tu hilo
 
Mtashusha thamani ya cocacola. Toeni hilo jina hapo coca watawashtaki
Dah,inawezekana mkuu,mana bashite kwa sasa imekua mfano kwa vilaza wote
 
Wakuu tumejadiri mengi kuhusu mheshimiwa huyo, binafsi naona itoshe sasa.

Tuseme imetosha kwa sababu yale machozi ya jana ni kauli ya kuomba msamaha kwa namna moja au nyingine.

Ukiona mwanaume aliyekuwa jasiri na mwenyewe nyodo na majibu ya fedheha na kudharirisha analia , tena analia mbele za watu ujue amejutia makosa yake.

Naomba tuachane na habari za Makonda kama Makonda. Tuendelee na mengine, jamani ameshajifunza somo kubwa sana ninaamini atabadirika sana.

Nawe Bwana Paulo Makonda Maumivu uliyoyapata kwa tukio hili ndiyo waliopata wale ulikuwa unawatukana na kuwadharirisha mbele ya kamera, Mungu amekuonjesha sehemu ndogo sana, acha kutukana na kudharirisha watu.

Nilikwambia siku moja kama unakumbuka kuwa cheo ni dhamana.

Familia ya marehem Kabwe inakutazama kama wewe ndiyo sababisho la yote yaliyomtokea baba yule.

Acha uongozi wa mihemko, tubu kwa wote uliowadharirisha, akiwemo ,manji, mbowe, Gwajima , wema na wengine.

Narudia kuwasihi tena wanajf wenzangu itoshe kuhusu huyu mtu jamani.

Wanaoniunga mkono kwa hili Mungu awabariki sana.

Msiyoniunga mkono niwaombe mjaribu kuvaa uhusika japo kwa dakika moja. Najua mkisha uvaa uhusika kwa dakika moja mtanielewa na kuniunga mkono.
Asanteni.
Kuna sifa moja ya uongozi inaitwa accountability. A leader must be accountable for his actions.
Ukihusishwa na fraud, sio kitu kidogo. Ni crime kabisa kwa mujibu wa sheria.
Options zake ilikuwa ni kukanusha na vyombo husika kuthibitisha; au kukubali, kujiuzulu na kuchukuliwa hatua kisheria. Its that simple. Kama vile wanafunzi na wafanyakazi waliogunduliwa kugushi walivyo-WAJIBISHWA. Haikujalisha ni wafanyakazi bora au darasani ni wanafunzi wako vizuri au watajisikiaje au wamelia.
Hii ni nchi ya watanzania. Uongozi sio utawala. As a matter of fact, watu ndio mabosi wa viongozi. Nchi ni ya watu. Maamuzi yanatakiwa yawe ya watu na yafanyike kwa usawa wa wote, haijalishi majukumu yako ni yapi.
Ndio maana kukawa na sheria na convictions incase mtu akaenda kinyume.
 
Na wewe tukikuuliza unamtetea Bashite kwa lipi utasemaje? Mwambie Bashite atoe vyeti tumalizane nae!
 
Yule kiumbe alizungusha....zero yani.... fafafafafa zote... (Ubarikiwe Baba Mchungaji Gwajima)...
 
Huyu Mh Paul Makonda ambaye ni Rais wa mkoa wa Dar Es Salaam kwa kweli hapo mwanzo sikuwa namkubali kabisa hasa wakati anapewa ukuu wa mkoa, kutokana na zile story za kumpiga mzee Warioba, ila tokea aanze utendaje kama mkuu wa mkoa nikajikuta nampenda sana kutokana na utendaji wake, ila watu walipoanza kumchafua na kumpiga mawe kutokana na vita ya madawa ya kulevya automatically nimejikuta mapenzi yanazidi kwake, coz kwa mtu yoyote mwenye akili timamu na mwenye fikra basi lazima atajiuliza kwa nini watu wanamshambulia that much, hata mtu aliyeua hashambuliwi hivi, nikatumia akili zangu nyingi kutafakari na kugundua kuwa wanaompinga wote wana maslahi either kwenye madawa ya kulevya ama ushoga ama ukahaba, I love you Makonda na naihofia sana Dar Es Salaam bila Makonda, Go go go Makonda we got your Back
Cheti kwanza,mapenzi badae,Mungu hawezi kukosa mtu sahihi wa kuiongoza Dar alikuondoka Yusufu makamba mwenye hekima zake,sembuse huyu anayeongoza kimasifa,kiongozi gani anaita watumishi wauma vichaa na wakati yy ali score nothing?
 
Back
Top Bottom