E Fm mbona mnakomalia suala la Bashite hivyo?

E Fm mbona mnakomalia suala la Bashite hivyo?

Hapa kinachotakiwa ni vyeti vya vidato na vyuo tu na si kitu kingine. Forgery ni criminal case!!! Kuna mtumishi mmoja alisomea cheti cha form six cha mtu na ukweli mwezi machi alikuwa wa kwanza kufukuzwa kazi. Imagine alisoma mpaka masters na cheti cha form six cha jamaa japo aliweze kubadili jina kabla ya kumaliza chuo na kurejea jina lake. Kwa misingi hii sasa tunataka haki itendeke. Arudi shule akasome QT na akifaulu levels zote aende chuo. Hakuna namna.
 
Hapa kinachotakiwa ni vyeti vya vidato na vyuo tu na si kitu kingine. Forgery ni criminal case!!! Kuna mtumishi mmoja alisomea cheti cha form six cha mtu na ukweli mwezi machi alikuwa wa kwanza kufukuzwa kazi. Imagine alisoma mpaka masters na cheti cha form six cha jamaa japo aliweze kubadili jina kabla ya kumaliza chuo na kurejea jina lake. Kwa misingi hii sasa tunataka haki itendeke. Arudi shule akasome QT na akifaulu levels zote aende chuo. Hakuna namna.
No shortcut
 
Hahahahaha bashite katisha sana chalii wangu hahahahahaha lakini najua daudi bashite namjua Paulo nakonda simjui maaana ukweli uko hivyo
 
Ha h ha h ha bashite
Eti nasikia atakua mgeni rasmi siku ya wanawake duniani,niwape pongezi kina mama kwa kumteua bashite mana atawasaidia sana kulia.
 
Forgery ni criminal offense kwa sheria za jamhur yaani wwe unaitwq shaban halafu ukaiba cheti au ukapata cheti cha mbaruku ukaitwa mbaruk ni kosa kisheria kwanza kosa la kwanza umefoji jina jipya ambalo halina sifa halali ya elimu hiyo yaani legally domination PILI wewe unatakiwa ushitakiwe kwa kufojibna kutumua jina hewa kwa maaana ya sifa hivyo haishii kujiuzulu tu lazima sasa kama unajiuzulu uombe radhi kisha ushitakiwe kama walivyostakiwa wengine , issue hapa sio madawa ya kulevya wala wivu wala nn issue hapa ni uhalali wa elimu na itifaki ya uwajibikaji katika context ya sheria tu na sio zaidi hakuna kuonea wala kuonewa bandugu
 
Mtashusha thamani ya cocacola. Toeni hilo jina hapo coca watawashtaki
 
kwa nini mnamsakama RC wetu hivyo? mnajifanya hamjui kuwa yeye alishakana majina yake yote? kwa sasa anaitwa "mungu wa dar".full stop.
 
Huyu Mh Paul Makonda ambaye ni Rais wa mkoa wa Dar Es Salaam kwa kweli hapo mwanzo sikuwa namkubali kabisa hasa wakati anapewa ukuu wa mkoa, kutokana na zile story za kumpiga mzee Warioba, ila tokea aanze utendaje kama mkuu wa mkoa nikajikuta nampenda sana kutokana na utendaji wake, ila watu walipoanza kumchafua na kumpiga mawe kutokana na vita ya madawa ya kulevya automatically nimejikuta mapenzi yanazidi kwake, coz kwa mtu yoyote mwenye akili timamu na mwenye fikra basi lazima atajiuliza kwa nini watu wanamshambulia that much, hata mtu aliyeua hashambuliwi hivi, nikatumia akili zangu nyingi kutafakari na kugundua kuwa wanaompinga wote wana maslahi either kwenye madawa ya kulevya ama ushoga ama ukahaba, I love you Makonda na naihofia sana Dar Es Salaam bila Makonda, Go go go Makonda we got your Back
 
Ahsante Mungu kwa kuishi mbali na mkoa ambao umeweza kuwa na historia ya pekee ya kuongozwa na mkuu mwenye div 0 aka div bashite hili ni jambo la kihistoria nchini na dunian kote yaani haijawahi tokea.
 
Huyu Mh Paul Makonda ambaye ni Rais wa mkoa wa Dar Es Salaam kwa kweli hapo mwanzo sikuwa namkubali kabisa hasa wakati anapewa ukuu wa mkoa, kutokana na zile story za kumpiga mzee Warioba, ila tokea aanze utendaje kama mkuu wa mkoa nikajikuta nampenda sana kutokana na utendaji wake, ila watu walipoanza kumchafua na kumpiga mawe kutokana na vita ya madawa ya kulevya automatically nimejikuta mapenzi yanazidi kwake, coz kwa mtu yoyote mwenye akili timamu na mwenye fikra basi lazima atajiuliza kwa nini watu wanamshambulia that much, hata mtu aliyeua hashambuliwi hivi, nikatumia akili zangu nyingi kutafakari na kugundua kuwa wanaompinga wote wana maslahi either kwenye madawa ya kulevya ama ushoga ama ukahaba, I love you Makonda na naihofia sana Dar Es Salaam bila Makonda, Go go go Makonda we got your Back
Hivyo vita anavyopigana wameshindwa watu we nye akili timamu itakuwa yeye bashite anaandika majina ya wauza unga na mkono halafu unamtetea

Wacha maneno weka vyeti
 
Yaliyomkuta Daudi yanakaribia kutokea tena kwa Daudi,
Ya Daudi Balali yanakuja kwa Daudi Bashite
 
Back
Top Bottom