DVD ya mauaji ya Arusha

DVD ya mauaji ya Arusha

Uchaga umeanzia hapa, kwakuwa Freeman Aikael Mbowe ni mchaga ndio amekamatwa naomba nafasi ya kuuza DVD nipewe mimi mchaga mwenzake, hapo ubaya upo wapi meku?

vipi naskia serukamba wanamcheki ni kweli?
 
Uchaga umeanzia hapa, kwakuwa Freeman Aikael Mbowe ni mchaga ndio amekamatwa naomba nafasi ya kuuza DVD nipewe mimi mchaga mwenzake, hapo ubaya upo wapi meku?
Hakuna mchaga mjnga kama wewe, usijifagilie hapa eti mi mchaga mwenzenu! To hell na hayo mawazo yako ya kijinga!
 
Hakuna mchaga mjnga kama wewe, usijifagilie hapa eti mi mchaga mwenzenu! To hell na hayo mawazo yako ya kijinga!

Sasa sweetlady mawazo yako mazuri sana nitayafanyia kazi, ubarikiwe!.
 
mwambie ukweli...........@an@***** na babayake mdogo

Mawazo yako mazuri sana, hebu niambie DVD hizi nikitengeneza nikuletee copy ngapi?
 
Sawa, na mimi mchaga mwenzenu jamani nipeni dili.

Kuna kila dalili kesho kutatokea umwagaji damu hapa Arusha, naomba viongozi wa CDM wanipe mimi dili la kutengeneza DVD ya matukio ya kesho ili na mimi nijikwamue kutoka ktk wimbi la unasikini nilililoletewa na CCM. Peopleeeees Power!!
Nakupa dili sasa chali yangu ushindwe mwenyewe, tengeneza bonge lo documentary la jinsi CCM ilivyojivua magamba kisha kikao kijacho cha NEC una hack information za kikao hicho hususani mahojiano na mapacha watatu utakuwa umeuaga umaskini.
 
Kwani umeambiwa dili watu wanapewa kwa uchaga? Acha uhuni wako.

Kwakuwa ile DVD ya kwanza ilitengenezwa na mchaga nikajua hicho ndio kigezo, my bad basi nafuta uchaga nipeni hiyo dili na mimi mkristo mwenzenu.
 
Nakupa dili sasa chali yangu ushindwe mwenyewe, tengeneza bonge lo documentary la jinsi CCM ilivyojivua magamba kisha kikao kijacho cha NEC una hack information za kikao hicho hususani mahojiano na mapacha watatu utakuwa umeuaga umaskini.

Kweli mtu mzima hili bonge la dili ila sasa hadi kupenya huko NEC ndio kazi ngumu, niwezesheni kwanza na hii ya mauaji ya kesho nikipata nguvu ya kiuchumi nitaenda na Chimwaga.
 
Kwakuwa ile DVD ya kwanza ilitengenezwa na mchaga nikajua hicho ndio kigezo, my bad basi nafuta uchaga nipeni hiyo dili na mimi mkristo mwenzenu.
Uchaga umechaukana tayari unauzungumzia ukristo! Duuuh mjepu punguza bwebwe wewe ni fisadi nini huoni nchi inavyokwenda Mrama? Polisi wana siku kama kumi tu za kuwalinda, siku ikisomwa bajeti yao wakajua wameacha solemba ndipo utapojua maharage ni mboga au futari?
 
Uchaga umechaukana tayari unauzungumzia ukristo! Duuuh mjepu punguza bwebwe wewe ni fisadi nini huoni nchi inavyokwenda Mrama? Polisi wana siku kama kumi tu za kuwalinda, siku ikisomwa bajeti yao wakajua wameacha solemba ndipo utapojua maharage ni mboga au futari?

Kaka mimi siogopi nimeamua kuwa mjasiriamali wa vurugu kama mbunge wangu wa arusha mjini.
 
Kwakuwa ile DVD ya kwanza ilitengenezwa na mchaga nikajua hicho ndio kigezo, my bad basi nafuta uchaga nipeni hiyo dili na mimi mkristo mwenzenu.
:bored::bored::bored::bored::bored:
 
Hakuna mchaga mjnga kama wewe, usijifagilie hapa eti mi mchaga mwenzenu! To hell na hayo mawazo yako ya kijinga!

mkuu nilikuwa nakutafuta sana nione utazungumza nini juu ya huyu bwana aliyegusia ukabila kwa sababu hata mimi nilishawai kugusia kabika la mtatiro ukataka kunitia roho sasa nimeamini upendi watu wazungumzie ukabila na ni jambo zuri sana kwa sababu ni sumu mbaya sana kwenye taifa ukabila na udini endelea hivyo hivyo
 
Kweli mtu mzima hili bonge la dili ila sasa hadi kupenya huko NEC ndio kazi ngumu, niwezesheni kwanza na hii ya mauaji ya kesho nikipata nguvu ya kiuchumi nitaenda na Chimwaga.
Wala usihangaike mimi nitakufinance kwa kila kitu ila sharti uende kule NEC ukatutengenezee hiyo documentary, sawa Mjepu.
 
Kaka mimi siogopi nimeamua kuwa mjasiriamali wa vurugu kama mbunge wangu wa arusha mjini.
Nilifikiri kama yule wa CCM mwenye kashfa ya kutaka kuua lakini anakula bata uraiani nitajie ni nani yule nikupe dili uliyoiomba?
 
This time Tanzania yote we are organizing wakati mmoja at the same time na tutaona nani anahaki ya kuwa mtanzania ama ni kikwete, makinda na mkapa wapo juu ya sheria za Tanzania au watanzania wote tupo sawa na haki zipo kwa wote.
Volunteers na organizers lets take our responsibilities kama tulivyofanya mikutano na maandamano yote mikoani. Tutumieni hizo hizo strategies kwa sababu hii tunataka kutoa fundisho kwa kikwete.

Moshi mpo tayari?

Singida mpo tayari?

Mwanza mpo tayari?

Mara mpo tayari?

Shinyanga mpo tayari?

Bukoba mpo tayari?

Kigoma mpo tayari?

Sumbawanga mpo tayari?

Dar mpo tayari?

Pwani mpo tayari?

Moro mpo tayari?

Iringa mpo tayari?

Mbeya mpo tayari?

Songea mpo tayari?

 
Nilifikiri kama yule wa CCM mwenye kashfa ya kutaka kuua lakini anakula bata uraiani nitajie ni nani yule nikupe dili uliyoiomba?

Mimi magamba siyapendi ndio maana hata silijui jina lake, wewe nipe dili mkubwa. Nataka kuanzia na Arusha halafu nitamtafuta Nape anipe dili za magamba.
 
Back
Top Bottom