Duuuh, kweli wanawake wengine!

Duuuh, kweli wanawake wengine!

Ndugu zanguni,namshukuru sana,lakini pia nawashukuruni ninyi wadau mbali mbali kwa kunishauri katika hili,kipekee nimshukuru rafiki yangu karena,alinitia moyo na kuniongezea ujasiri ktk kuikabili hali ambayo sikuitegemea.
Hakika asubuhi hii nimefika nyumbani,sijamkuta mchumba wa rafiki yangu.
Nimeshtuka kwa mambo mawili ambayo kwa kweli sijui namna ya kuyakabili.
1.Jamaa yangu amenipigia simu asubuhi sana,anaonekana kupoa sanaaaa,kitu ambacho sio kawaida yake kabisa,(sijui amepata habari gani juu ya hii issue).
Mbaya zaidi ni ujumbe alionitumia huyu shemeji yangu,umenifanya nichanganyikiwe zaidi,naomba ninukuu ujumbe wake,then mniambie nini nifanye jamani,naomba mnivumilie tu ndugu zangu,
"Bahati yako we mwanaume,kutoka moyoni nawachukia sana wanaume,mwambie na rafiki yako,kwa maisha yangu ya sasa nalipa kisasi kwa mtu yeyote anaitwa mwanaume,I'M HIV POSITIVE,umenusurika but your friend unknowingly is already positive,mshukuru Mungu wako mshenzi wewe"
Nimeishiwa pozi kwa kwelinashindwa kuamini shemeji yangu mpole na mkarimu kweli kweli awezakuwa mnyama kiasi hiki.
Kinachoniumiza ni juu ya rafiki yangu,je,anajua hali hii??,nimwambie kilichotokea??au nimnyamazie tu??
Hakika duniani tunayo dhiki juu,daaah!!!

Damn!
 
Kwanza mwanamke kujipeleka kwa mwanaume haina hata hamasa, sipendi hiyo makitu mazee
 
Tunza heshima yako tu kaka, usikubali kumsaliti jamaa yako.
Kwani ukimkubalia huyo bidada, jiandae kujuta, na maandiko yanasema"dhambi ni tamu kwa kitambo"
 
mimi naona hapo mgonge alafu mwambie asikuzoee na usimwambie mshkaji wako wala nini, ukijitia mwema sana ukamfukuza na kumwambia jamaa unaweza ukawa umekosa utamu na rafiki yako hatakuelewa na urafiki wenu unaishia hapo, ukakosa bara na visiwani
kumbuka huu msemo na utumie maishani na hautajuta
NICE GUYS SUCKS, DON'T BE TOO NICE, YOU WILL ALWAYS END UP REGRETTING
 
Unamwoneaje aibu mtu aso na haya? Mwambie humtaki aondoke asipokuelewa mpigie simu jamaa yako tena mbele yake umweleze kila kitu! FUNZO rafiki wa mkeo/mmeo si rafiki yako....usijenge nao mazoea!
well said mkuu! umenena cc mwambunnyara
 
huyu mwenzetu kaja na option mbili mpe ushauri mzuri anaonekana hataki kufanya uzinzi nashangaa wengi humu mnamtia ndimu tuuu amsaliti rafiki yake angekuwa anataka kuduu nae asingeleta hii mada hii mada kaileta anataka ushauri juu ya kumuepuka mbona hamuelewi nyie?????afu hamjui tuu pengine huyo mnaetaka agegedwe ni demu wako watu humu wanaficha tu uhalisia wao labda ni wako yawezekana kabisa
sikiliza hoja hapa huyo demu ni wa nani,hoja ya msingi ni kanuni kuwa mke wa mtu simtaki ila nikinpata simwachi,pili huyo demu kaona bora kitu kizuri ale na nduguye kuliko kupeleka mali nje na tatu rafiki yangu huyu jamaa kama alikuwa anataka ushauri tu hapa asingeleta huu uzi,huyu jamaa nidhahiri mzigo keshapakua hapa kaja pima upepo tu
 
Piga dudu huyo..... Mtoto akililia wembe mpe.... Mengine mtayasolve baadae.
 
Ndugu yangu,kilichotokea ningetubutu kufanya naye muda huu ningekuwa najutia sana,AHSANTE MUNGU!!!
kwa hiyo kwa sasa hujutii?
unajua (kama ni kweli) alichofanya ni failed attempt ya''criminal transmission of HIV''?..PELEKA Kwenye vyombo vya sheria kuokoa wengine..ushahidi wa kimazingira unaonesha ''anachukia wanaume,bado naamini dhamira yake ya kuambukiza wengine ipo palepale...
Fikiri.. chukua hatua........
btw...unavyoielezea kama vile unauhakika wahusika si members wa jamiiforums..............
 
Unasubiri nini mzee?! Nyapu imesafiri kutoka Dom mpaka Moro kwa ajili Yako afu unakuja kuomba ushauri. Asee!! Kweli upele unampata asie na kucha. We mtafune Afu mwambie iwe Siri yenu
tafuna mkuu
Daah.. Kwel penye miti hapana wajenz gonga baba
mimi naona hapo mgonge alafu mwambie asikuzoee na usimwambie mshkaji wako wala nini, ukijitia mwema sana ukamfukuza na kumwambia jamaa unaweza ukawa umekosa utamu na rafiki yako hatakuelewa na urafiki wenu unaishia hapo, ukakosa bara na visiwani
kumbuka huu msemo na utumie maishani na hautajuta
NICE GUYS SUCKS, DON'T BE TOO NICE, YOU WILL ALWAYS END UP REGRETTING
Piga dudu huyo..... Mtoto akililia wembe mpe.... Mengine mtayasolve baadae.
mmmh amesema kweli prof jay yaan dunia ya sasa rafiki wa kweli ni mama yako mzazi tu
 
Ndugu zanguni,namshukuru sana,lakini pia nawashukuruni ninyi wadau mbali mbali kwa kunishauri katika hili,kipekee nimshukuru rafiki yangu karena,alinitia moyo na kuniongezea ujasiri ktk kuikabili hali ambayo sikuitegemea.
Hakika asubuhi hii nimefika nyumbani,sijamkuta mchumba wa rafiki yangu.
Nimeshtuka kwa mambo mawili ambayo kwa kweli sijui namna ya kuyakabili.
1.Jamaa yangu amenipigia simu asubuhi sana,anaonekana kupoa sanaaaa,kitu ambacho sio kawaida yake kabisa,(sijui amepata habari gani juu ya hii issue).
Mbaya zaidi ni ujumbe alionitumia huyu shemeji yangu,umenifanya nichanganyikiwe zaidi,naomba ninukuu ujumbe wake,then mniambie nini nifanye jamani,naomba mnivumilie tu ndugu zangu,
"Bahati yako we mwanaume,kutoka moyoni nawachukia sana wanaume,mwambie na rafiki yako,kwa maisha yangu ya sasa nalipa kisasi kwa mtu yeyote anaitwa mwanaume,I'M HIV POSITIVE,umenusurika but your friend unknowingly is already positive,mshukuru Mungu wako mshenzi wewe"
Nimeishiwa pozi kwa kwelinashindwa kuamini shemeji yangu mpole na mkarimu kweli kweli awezakuwa mnyama kiasi hiki.
Kinachoniumiza ni juu ya rafiki yangu,je,anajua hali hii??,nimwambie kilichotokea??au nimnyamazie tu??
Hakika duniani tunayo dhiki juu,daaah!!!
mkuuu hongera kwa utunzi mzuri wa hadithi ila ujumbe tumepata ahsante
 
Alifikaje kwako, toka lini na mbona hukunambia toka mwanzo!!!!

Jamaa hatokuelewa atahisi mna mawasiliano ya namna hiyo kwa kipindi kirefu. Kazi kwako
 
kwa hiyo kwa sasa hujutii?
unajua (kama ni kweli) alichofanya ni failed attempt ya''criminal transmission of HIV''?..PELEKA Kwenye vyombo vya sheria kuokoa wengine..ushahidi wa kimazingira unaonesha ''anachukia wanaume,bado naamini dhamira yake ya kuambukiza wengine ipo palepale...
Fikiri.. chukua hatua........
btw...unavyoielezea kama vile unauhakika wahusika si members wa jamiiforums..............[/QUOT
Aisee kwa sasa navuta pumzi na siamini kilichotokea,nahisi kama nipo ndotoni hivi,maswali ninayojiuliza ni kwanini shemeji yangu huyu amefikia hatua hii???
 
Back
Top Bottom