Duuuh, kweli wanawake wengine!

Duuuh, kweli wanawake wengine!

Piga dudu huyo..... Mtoto akililia wembe mpe.... Mengine mtayasolve baadae.
Mengine ni huo ukimwi ambao demu alitaka kumuambukiza kwa makusudi kabisa. Ingekuwa ni wewe sasa hivi ungekuwa unalia kwa kuambukizwa ukimwi maana ungemla tu.
 
usikute mna week nzima mmejifungia hapo leo ndo unajidai unataka ushauri,kama kweli ulikuwa na nia ya kumkwepa si ungemwambia kuanzia mwanzoni kwamba haupo morogoro simply and clear,we mgeni yupo kwenye sofa ndio unauliza ufanye nini,MARAFIKI WENGINE BWANA BURE KABISA.
Nina rafiki yangu amekuwa akiishi Dodoma na msichana wake, the same room as Mr and Mrs japo hawajafunga ndoa.

Jamaa wangu amekuwa akimwamini sana msichana wake, kwasababu kiukweli ukimtazama shemeji yangu huyu ni mpole sana.

Kilichonifanya niandike uzi huu ni kilichonitokea kwa shemeji yangu huyu,hakika mpaka dakika hii siamini hata chembe.

Tumekuwa na mawasiliano ya kawaida sana kama mtu na shemejiye, kwa kipindi kirefu tu na sikuwahi kuwa na shaka naye wala jamaa hakuwahi kuonyesha mashaka kwa shemeji yangu huyu.

Jamaa wangu alikuwa akisaka ajira kwa udi na uvumba, Mungu kamjalia amepata kazi mkoa mwingine tofauti na Dodoma, hivyo ilimlazimu kwenda kazini j.tatu ya wiki hii.

Cha ajabu siku ya J.nne shemeji yangu alinipigia simu majira ya saa nne usiku, tulizungumza mengi,lakini sauti yake ilibadilika sana, ilikuwa yenye ishara ya mahaba mno,sikutilia maanani sana nkajua ni kwa sababu ni usiku,yawezekana ana usingizi mno.

Jana akanipigia tena usiku na kunambia Shem kesho natamani nije nikutembelee, (Mimi naishi Morogoro), ila usimwambie jamaa, nilishtushwa na hiyo statement, kwanini nisimwambie jamaa,akadai jamaa akijua itakuwa noma.

Niliishiwa pozi kwa ghafla, nikamwambia hapana, amsubiri jamaa akija ndo waje wote,lakini hakutilia maanani kile nlichomwambia, baada ya muda mfupi akanitumia ujumbe mfupi wa simu "Shem naomba usijali, sina nia mbaya najua unampenda sana (anamtaja jina mchumba wangu,)siwezi kukuharibia, lakini naomba unipokee tu,kesho nakuja").

Leo asubuhi kanitumia SMS, " Shem naenda stand kupanda gari ya kuja Moro,plz usimwambie (anamtaja jamaa wangu).

Nilijua huyu ananitania tu,lakini ajabu majira ya saa nane amenambia yupo msamvu stand, anaomba nimuelekeze namna ya kufika home, basi baada ya kumpa maelezo, amefika na nimemkaribisha home.

Baada ya kumwandalia chakula amekula,amekaa kwenye sofa anachart, nikamuuliza vipi una ndugu mwingine hapa Moro kajibu hapana.

Baadaye ananambia "ila Shem sio siri Leo nkwambie tu, namuonea wivu sana mpenzi wako, kwa muda mrefu nafikiriaga why didn't I meet you early".

Nimeishia kumuangalia tu usoni,coz nlikuwa simuelewi kabisa.Nimemuuliza shem unarudi saa ngapi Dodoma ananambia ataondoka kwangu by J.mosi,(na yupo comfortable kabisa kwenye sofa haonyeshi hata chembe ya woga.

Najiuliza,nifanyeje hapa,
1.Nimwambie jamaa yangu?
2.Ninyamaze na nikatafute Sehemu nyingine ya kulala nimwache alale peke yake?

Naombeni ushauri wenu wadau, maana siku ya leo naiona kuwa ngumu sana kwangu, daaaah baadhi ya wanawake wetu ni shida kwa kweli, I don't know why is it in this way?
 
Kama ni hadithi unahitaji kuingizwa kwenye list ya Forbes...kila kitu umekipangilia vizuri sana..
Mkuu sio hadithi,hapa nipo nipo tu,siamini kilichotokea,nina mawazo sana,na najiskia maumivu makali sana moyoni,kwa sababu jamaa yangu ndo kila kitu katika familia yao,mama yake anamtegemea jamaa tu!
 
usikute mna week nzima mmejifungia hapo leo ndo unajidai unataka ushauri,kama kweli ulikuwa na nia ya kumkwepa si ungemwambia kuanzia mwanzoni kwamba haupo morogoro simply and clear,we mgeni yupo kwenye sofa ndio unauliza ufanye nini,MARAFIKI WENGINE BWANA BURE KABISA.
Haujajua tu situation ilivyokuwa,afu sikuwahi kufikiria kama angekuwa wa aina hii,that's why sikushtuka kabisa,kwanza nlijua anasafari nyingine na sio rasmi kuja kwangu,the way alivyo kwanza sikufikiria kabisa kama mwisho wa siku angekuwa mnyama namna hii!!!
 
Huyo mtu toka unawasiliana naye anaonekana tu anataka dyudyu..Sasa we sijui ambacho haukukielewa ni kipi mpaka ukamkaribisha..Au ulikuwa unataka ushahidi???....We Dada kaa hapohapo usiondoke bila kupewa Dushe
hahaaaaaa jaman
 
Fanya kitendo ambacho kitamfanya rafiki yako awe proud na wewe wanawake wapo tunza heshima ya rafiki yako fanya maamuzi magumu ili hata siku za mbeleni ujiproud mwenyewe kwa maamuzi ya msingi na busara. Mwokoe rafiki yako
Asipokula yeye wengine watakula. Hivyo si kumwokoa Rafiki yake bali ni kujiepusha Na majanga maana Mke wa mtu sumu
 
Umeonyesha udhaifu mkubwa
Kutembea na demu wa kaka yako ni makosa makubwa
Mpe nauli arudi kwao
 
Nitumie picha yake hapa nikusaidie kuipost jukwaa la biashara
 
Mwite mwenzio uyo binti ikitokea la kutokea akaumia au akafa sijui utatoa maelezo gani,utakua hujamla na umefungwa acha uroho
 
Wanawake kweli viumbe dhaifu sana mtafune tu yaishe

Akimtafuna...mwanaume ndo atakuwa dhaifu na si mwanamke. Ukitegwa tu kidogo ndo umtafune? Dhaifu ni yule anayetegeka kirahisi bila kufikiria
 
acha kuzuga hizo janja za nyani
Haujajua tu situation ilivyokuwa,afu sikuwahi kufikiria kama angekuwa wa aina hii,that's why sikushtuka kabisa,kwanza nlijua anasafari nyingine na sio rasmi kuja kwangu,the way alivyo kwanza sikufikiria kabisa kama mwisho wa siku angekuwa mnyama namna hii!!!
 
Ndugu zanguni,namshukuru sana,lakini pia nawashukuruni ninyi wadau mbali mbali kwa kunishauri katika hili,kipekee nimshukuru rafiki yangu karena,alinitia moyo na kuniongezea ujasiri ktk kuikabili hali ambayo sikuitegemea.
Hakika asubuhi hii nimefika nyumbani,sijamkuta mchumba wa rafiki yangu.
Nimeshtuka kwa mambo mawili ambayo kwa kweli sijui namna ya kuyakabili.
1.Jamaa yangu amenipigia simu asubuhi sana,anaonekana kupoa sanaaaa,kitu ambacho sio kawaida yake kabisa,(sijui amepata habari gani juu ya hii issue).
Mbaya zaidi ni ujumbe alionitumia huyu shemeji yangu,umenifanya nichanganyikiwe zaidi,naomba ninukuu ujumbe wake,then mniambie nini nifanye jamani,naomba mnivumilie tu ndugu zangu,
"Bahati yako we mwanaume,kutoka moyoni nawachukia sana wanaume,mwambie na rafiki yako,kwa maisha yangu ya sasa nalipa kisasi kwa mtu yeyote anaitwa mwanaume,I'M HIV POSITIVE,umenusurika but your friend unknowingly is already positive,mshukuru Mungu wako mshenzi wewe"
Nimeishiwa pozi kwa kwelinashindwa kuamini shemeji yangu mpole na mkarimu kweli kweli awezakuwa mnyama kiasi hiki.
Kinachoniumiza ni juu ya rafiki yangu,je,anajua hali hii??,nimwambie kilichotokea??au nimnyamazie tu??
Hakika duniani tunayo dhiki juu,daaah!!!
Enheee! Enheee! Enheee! Enheee! Enheee! Enheee!
Bahati yako. Ungeisoma namba. unafikiri mchezo. Dunia hadaa, ulimwengu shujaa. Chezea HIV +++ wewe. Du!
 
Back
Top Bottom