St Lunatics
JF-Expert Member
- Aug 29, 2015
- 6,644
- 11,195
Usisahau na mrejesho.
Hatari kaka...nimejaribu kufikiria kama ungekuwa kichwa panzi ukafuata baadhi ya shauri ulizopewa humu ukamsasambua kweli saizi ungekuwa ktk hali gani,mshukuru Mungu mkuu amekupa akili na hikma ya kujitafakarisha.
Nimeshatoa mrejesho Mkuu,angalia kwenye kurasa za nyuma!!!Usisahau na mrejesho.
HAPO NIMEKUPATA VIZURI SANA MKUUKwa kuthamini urafiki na uhusiano bora alio nao mtoa mada na jamaa, kwakutokubali kufanya zinaa na huyo dada pili kumuonesha dada kuwa anavalue zaidi uhusiano bora alionao na jamaa yake wanawake wapowengi wanaoweza kutimiliza mahitaji ya mwili wake incase akizdiiwa lakini sio huyo shemeji .Maamuzi haya yanaweza kumfanya baada ya kitambo kupita awe proud mwenyewe kwa kujiona mwanaume bora aliyeishinda zinaa kwa kuweka urafiki mbele na kuukana usaliti.
Awokoe rafiki yake kwa maana ya kuwa inawezekana jamaa ndio kajiwekezea hapo anaona huyo ndiyo mke wa kuweka ndani lakini kama ameweza kujirahisi hivyo kwa mtoa mada je kwa wengine ?Sio mwanamke mzuri
Kizuri ni kwamba sikuweza kula mzigo na hiyo ndiyo salama yangu pekee!!!!Wengi watakwambia kula mzigo. Mimi aah!