RRONDO
Platinum Member
- Jan 3, 2010
- 57,723
- 129,406
Eeeeh mama taratibu...Duuu. Hawa watoto hawatocheki. Hizo k zinapanuka tu. Looooh.
Eeeeh mama taratibu...Duuu. Hawa watoto hawatocheki. Hizo k zinapanuka tu. Looooh.
Mwanamke wako akikufanyia surprise akamkuta shemeji ndani ???Nimeshaandaa chakula,nimetoka bila kuaga naenda zangu hoteli,ntakupeni mrejesho kesho,ila hakika kama wanawake wetu wengi wapo hivi basi ni hatari kweli kweli!!!!
Hapo itakuwa shida,lakini kwa kuwa mimi ntakuwa sipo ntakuwa safe kabisa,na ntamwambia ukweli tu!!!Mwanamke wako akikufanyia surprise akamkuta shemeji ndani ???
Fata huu ushauri nduguUnamwoneaje aibu mtu aso na haya? Mwambie humtaki aondoke asipokuelewa mpigie simu jamaa yako tena mbele yake umweleze kila kitu! FUNZO rafiki wa mkeo/mmeo si rafiki yako....usijenge nao mazoea!
Sppamoja ya kwamba namheshim sana mke wangu sinaga tabia ya kuvumilia wanawake kiasi hiki aisee. We piga mambo mataokeo utajua mbele kwa mbele mi hata angekuwa mke wa kaka yangu wa dam kwa mazingira hayo nikimuacha mizimu ya Kipare lazima iniadhibu.
Duc in Altum
Umeona eeeh.......watu kwa kijishaua bana.......Huyo mtu toka unawasiliana naye anaonekana tu anataka dyudyu..Sasa we sijui ambacho haukukielewa ni kipi mpaka ukamkaribisha..Au ulikuwa unataka ushahidi???....We Dada kaa hapohapo usiondoke bila kupewa Dushe
Ahsante tatty!!!Fata huu ushauri ndugu
mwambunnyara mle tigo huyo demu, au mfukuze hapo kwako[/QUOTEBig No!!
BIG NOOO!!!mwambunnyara mle tigo huyo demu, au mfukuze hapo kwako
Kuna uwezekano mkubwa wa uhusiano wenu kuishia hapoAisee hawa watu wakati mwingine wanatugombanisha na rafiki zetu wa karibu,tena tuliotoka nao mbali,najiuliza jamaa yangu atanielewa nikimwambia hali halisi ya msichana wake?au ndo utakuwa mwisho wa urafiki wetu?