Duru za Siasa: Marekani (U.S) Chini ya Donald J. Trump

MADUDU MAPYA YAIBUKA

Takribani mwaka au miwili Rais Trump alisikika akisema 'crooked Hillary' alihatarisha usalama wa US kutokana na emails
Kauli mbiu uliyopigiwa debe na Gen Flynn ilikuwa lock her up

Washirika wawili , Sessions na Flynn wamekiri kuwasiliana na balozi wa Russia kwa nyakati tofauti kinyume na kukataa kwao siku za awali. Flynn akalazimika kujiuzulu na Sessions yupo yupo tu

Wiki iliyopita Trump alimfukuza kazi FBI dir Comey . Siku moja baadaye akakutana na waziri wa mambo ya nje wa Russia akiambatana na balozi Kislyak. Huyu ndiye balozi aliyeonekana 'busy' na washirika wa Trump

Hillary Clinton haku share information ,bali email zake zilikuwa Vulnerable.
Rais Trump akiwa oval office ame share top intelligence information na Russia akiwemo yule balozi maarufu Kislyak.

Information hizo zinatoka kwa washirika wa US katika mambo ya intelejensia bila kuwa na ridhaa yao ikijulikana kuwa baadhi hawana uhusiano mzuri na Russia.

Hii ndiyo habari inayorindima katika viunga vya DC jioni ya leo baada ya magazeti mawili ya Washing na New York kutoa habari hizo. WH imekutana na vyombo vya usalama katika kuhaha ili kuzima timbwili hili linaloongeza hisia zilizopo

Hali si nzuri kiasi cha hill kuanza kumegeka baadhi wakisema WH ifanye jambo kuzuia hii ' down spiral'

Habari bado ni mbichi mengi yatajulikana

Tusemezane
 
Breaking News: President Trump asked Comey to end Flynn enquiry!


Explosive...!
President Trump asked the F.B.I. director, James B. Comey, to shut down the investigation into Mr. Trump’s former national security adviser, Michael T. Flynn.

“I hope you can let this go,” the president told Mr. Comey. The White House denied the account in the memo.

Source: New York Times

Je yawezekana hii ndiyo ilikuwa sababu ya Comey kufukuzwa kazi? Donald Trump ana kibarua kizito kwani pamoja na msururu wa kashfa zinazomwandama, tuhuma hii ni kubwa. Wajuvi wa mambo wanasema hii ni impeachable.
 
160425_a20060-600.jpg

Kwa mikuki anayochomwa Trump sasa ni swala la muda tu kabla hajazidiwa na kuanguka puu! Hata Tembo, pamoja na ngozi yake ngumu, hawezi kustahimili mikuki mfululizo kiasi hili...yaani kila siku mkuki, na bado...! Uzuri ni kwamba wengine wetu tulitabiri hali hii toka siku nyingi na ingawa hatukueleweka hapo mwanzoni lakini sasa ni wazi hatukukosea.
 
SEKESEKE JIPYA WH
'MEMO ZA COMEY ZATISHIA DC'

Mwendelezo wa wiki tatu mfululizo za masakata yanayoitikisa WH haukukosa siku ya kuendelea leo
Wiki mbili zilizopita Timbwili kubwa lilikuwa kufukuzwa kwa FBI Dir James Comey

Jana kukawa na mzinga wa Trump kuvujisha taarifa za kiintelejensia kwa Russia

Leo ni sekeseke jingine la taarifa za magazeti kama mabandiko yaliyotangulia ya Mag3 na BAK.

Vyanzo, kimemo cha Comey kimepatikana kikielekeza mwito wa Trump, Comey aache suala la Flynn
Kama mtakumbuka Trump alimtishia Comey kutotoa habari kwani kunaweza kuwa na mkanda

Comey alikataa ku testify nyuma ya camera, alitaka kuwepo na mahojiano wazi kwa umma

Tunasisitiza haya ni madai ambayo WH imeyakanusha ingawa NY time imeyaandika kwa uhakika

Viunga vya Capitol Hill vimekumbwa na kiwewe kwani kila timbwili moja likitulia jingine hutokea

Tulisema move ya Trump kumfukuza Comey ilikuwa na mawaa kwa timing yake.

Uchunguzi unaendelea , Comey anatimuliwa, Tweets za kutisha na kujichanganya zikiendelea

Tunakoelekea ni eneo moja, Comey kueleza nini anachojua kuhusu memo ya NY time, na kama kulikuwa na maongezi au nyaraka zingine zikihusisha maongezi na Rais Trump chini ya kiapo

Kikubwa zaidi ni uwepo wa jina la Flynn likihusishwa na kimemo.
Flynn aliyetimuliwa siku 23 za kazi ni muhimu sana kutokana na mahusiano yake tata na Russia.

Kufukuzwa kwa Comey anayemchunguza Flynn, kauli ya AG Yates kuwa alitahadharisha WH kuhusu Flynn, kauli kuwa Obama alimtahadharisha Trump kuhusu Flynn, inaleta mashaka. Uwepo wa Kislyak , balozi wa Russia ndani ya WH unatia shaka

Mashaka ni kuwa kwanini Trump anamkingia kifua, kwanini anaingilia uchunguzi, nini anajua na lini alijua
Kwanini Rais Trump alimuondoa Sessions na AG ili aoongee na Comey?

Endapo taarifa za NY Times ni za kweli sasa WH ipo katika 'un-chattered waters'

Nixon alijiuzulu kwa obstruction of Justice. Clinton alikuwa impeached kwa obstruction of justice
Kauli za NY Times zinazomkariri Trump akitaka uchunguzi usitishwe ni obstruction of justice

Looming impeachment is in the offing!!!

Kama, tunarudia, kama ni kweli kuhusu kimemo na mengine yaliyopo kifuani mwa Comey, impeachment inaweza kufika haraka kuliko ilivyotarajiwa.

Tusemezane
 
Looming impeachment is in the offing!!!

Kama, tunarudia, kama ni kweli kuhusu kimemo na mengine yaliyopo kifuani mwa Comey, impeachment inaweza kufika haraka kuliko ilivyotarajiwa.

Tusemezane
Mkuu Nguruvi3, mpaka sasa tunachoshuhudia ni kama tip of an iceberg tu, bonge bado limezama halionekani...subiri siku Comey atakapohojiwa, siku hiyo dunia itasimama na mfalme atabaki kama alivyozaliwa. Washikaji wa Trump ambao wamebahatika kupata fununu tayari wanajisogeza mbali naye na waliobaki ni wale ambao wako tayari kuzama naye come what may! Ni swala la muda tu...!
 
Una roho ngumu ndugu yangu...nevertheless to quote James Hadley Chase, this is the way the cookie crumbles. Hata kama unampenda Donald Trump, please open your eyes and see for yourself what ia happening right before your eyes!

Sir, but you didn't address my question which was basically about a point you raised earlier.

Anyway, I'm looking at 'what is happening' with my eyes wide open, but I don't think you are seeing what I'm seeing, which is Washington politics at its peak and liberalism that has hit rock bottom. Is it worth raising eyebrows? may be, may be not.

Trump is settling in nice and slowly despite a band of showers, warmer winds and a few storms. Besides, his presidency is unprecedented and 'what is happening' was not unexpected.

This isn't about turning a blind eye, I've got eyes like a hawk, so, obviously I can't let myself be easily tricked. What you see in your mind's eye about a 'Russian collusion' is a total hoax, just connect the real dots.
 
Sir, but you didn't address my question which was basically about a point you raised earlier.
I guess you mean this...I had said and I quote, "El Jefe, ambalo halijathibitishwa ni Roenstein kutishia kujiuzulu kama atahusishwa moja kwa moja na maamuzi hayo." But then you came up with this question and I quote, "Hili limeshathibitishwa?"

Well, after WH changed its story and exonerated Roenstein, was it really necessary for you to expect a reply from me? Trump himself confirmed that Comey's firing was not based on any recommendation from anybody let alone a deputy AG who hadn't been in office for a month...Trump had made up his mind he was going to do it period.
Anyway, I'm looking at 'what is happening' with my eyes wide open, but I don't think you are seeing what I'm seeing, which is Washington politics at its peak and liberalism that has hit rock bottom. Is it worth raising eyebrows? may be, may be not.
Your eyes could be wide open, but then you are looking at things through some very dark-coloured spectacles and the sooner you get rid of them the better for you. Even though facts are staring back at you, you are incapable of admitting them...please do something, have those eyes checked.
Trump is settling in nice and slowly despite a band of showers, warmer winds and a few storms. Besides, his presidency is unprecidented and what is going on was not unexpected.
Very true, for once I agree with you; his presidency is unprecedented and what is going on was not unexpected and that is exactly what we have been saying all along. He is the architect of all the pandemonium, chaos, brouhaha and you name it that surrounds the WH and afflicts him like a sore thumb.
This isn't about turning a blind eye, I've got eyes like a hawk, so, obviously I can't let myself be easily tricked. What you see in your mind's eye about a 'Russian collusion' is a total hoax, just connect the real dots.
Eyes like a hawk? That's a laugh just like what your hoagie would brand himself shouting from rooftops...I am the best, am the greatest, am the only one that can see...really? From what little I can gather so effortlessly, you must be as blind as bat when it comes to your hero; please remember this famous quote. "I could stand in the middle of Fifth Avenue and shoot somebody, and I wouldn’t lose any voters, OK?” El Jefe, are you one of these?

Kalaghabaho...!

Update:

El Jefe, it is now confirmed that the Deputy Attorney General, Rod Roenstein, was so exasperated with the goings on in WH that he was planning to pack up his bags and quit. WH had to work hard to change its story and exonerate him and now this; he has appointed a special investigator, wow!
 
SEKESEKE

SPIKA RYAN AJARIBU 'KUMTUPIA TAULO'

Wanajamvi, tuliwahi sema media za US hazina masihara, zilikuwa zinazunguka mitaani zikitafuta mlango
Kwasasa yanayoendelea yamefika WH ndio maana tunaona kishindo kizito

Zipo habari ''wall street journal'' zikihusisha Russia bank na Trump katika ujenzi wa Hotel Toronto Canada
Utaona masilahi yameanza kufuatiliwa,mwanzo wa kupatikana kwa tax returns za Rais Trump

Tunaendelea kufuatilia habari hii na ithbati yake

Mchana Spika Ryan anasema kazi ya House ni kufuatilia facts na si 24 news circle.
Anasema kamati imetoa agizo memo za Comey zifikishwe. Swali alilouliza, kama ni kweli kwanini hakuripoti?

Habari zote za jana zilikuwa na swali hilo kukiwa hakuna mwenye jibu isipokuwa Comey

Spika Ryan anataka kucheza mchezo wa Republican wa kuhusisha Russia meddling na Leak' ya information

Ujanja ule ulilenga kuzuia mjadala wa Russia meddling kwa kuwatisha democrats,wapo watakaoshtakiwa
Mtu wa kwanza alikuwa Sally Yates, ambaye Trump alitaka kamati imuulize info zili leak vipi

Spika Ryan anataka Comey aeleze kwanini hakufikisha habari za kimemo mara alipoelezwa na Trump
Ni swali fair kabisa kwasababu Comey alikuwa na sababu za kuona obstruction of justice kama ilitokea

Comey ana wanasheria licha ya uzoefu wake. Alipotaka ku testify mbele ya umma alikuwa na sababu
Comey ana kumbu kumbu alizoweka kwa mujibu wa vyanzo, akizitoa tutazungumzia jambo jingine

Kuitwa Comey na kimemo cha NY Times, kunafungua mlango wa kutafutwa kwa tape alizosema Trump

Kadri jambo linavyozungumziwa ndivyo media zinapata mwanya wa kueleza waliyokuwa wanasita
Kwa kawaida tukio kama hili hufuatiwa na tweet za Trump, leo ni tofauti, hakuna

Huenda kashauriwa kisheria kuhusu uzito wa suala linalounguruma na tweet zinavyoweza kumpeleka asipotaka kufika.

Yote yawayo timbwili linachukua sura tofauti kabisa na hali ndani ya jengo jeupe ni ya utata

Tusemezane
 
Breaking News: Special counsel named to probe Trump-Russia ties...

Besieged from all sides, the Trump administration appointed former FBI Director Robert Mueller Wednesday evening as a special counsel to oversee the federal investigation into allegations Russia and Donald Trump's campaign collaborated to influence the 2016 presidential election.

FBI+Director+Robert+Mueller+Testifies+Senate+S8Q9Vzc8_Wal.jpg

Deputy Attorney General Rod Rosenstein appointed Mueller to the position in a letter obtained by CNN. Attorney General Jeff Sessions previously recused himself from any involvement in the Russia investigation due to his role as a prominent campaign adviser and surrogate.

As special counsel, Mueller is "authorized to prosecute federal crimes arising from the investigation of these matters," according to the Justice Department order Rosenstein signed.

The appointment came as Democrats insisted ever more loudly that someone outside Trump's Justice Department must handle the politically charged investigation. An increasing number of Republicans, too, have joined in calling for Congress to dig deeper, especially after Trump fired FBI Director James Comey who had been leading the bureau's probe.

Bahati yake Trump ni kwamba special counsel hana mamlaka kama aliyo nayo independent prosecutor!
 
Kwa kumbukumbu nilizonazo toka ninaaza kufuatilia mafundisho yenu hapa jukwaani juu ya US hasa mfumo mzima wa uendeshaji uchaguzi, nilikuwa nimeelewa kuwa, uchaguzi wa US hauwezi kuvurugwa kwa namna yoyote ile kiasi cha kuvuruga uchaguzi mzima. Kigezo kikubwa kikiwa ni kuwa Uchaguzi wa US kila jimbo hujitegemea! Na hapa ninawataja walimu wangu Nguruvi3 na Mag3 (pia hata mwalimu wangu wa Twisheni El Jefe aligusia hili) kuwa ndiyo hasa walinifundisha hili.

Sasa inquiry ya sasa ya Russia kuwa iliingilia uchaguzi tena kwa kushirikiana na mgombea wa Republican, 'ndugu' Donald inatoa wapi mashiko ? Tena republican yenye watu kama 'Makeini'; Makeini ambaye nadhani kwake yeye neno Russia linamkosesha hata hamu ya kula!!

How can,The robust electoral system of US ,be compromised by the economically Weak country (as MSM told us) like Russia? Does this imply that US is turning into Jamhuri ya Ndizi, where even a 'non-believer' country is daring to question US spirituality? Oh No! This can not be, walimu wangu, uh!

Trump: Russia probe is greatest witch hunt of a politician in US history
====
What I am guessing, US-Russia mending tie for favorable sphere is a threat to the establishment and US military Suppliers. Also I guess, Putin has deprived US warmongers' mental power, psychologically. Ndiyo maana wanageuka 'vituko' kwa kutaka kumfukuza Donald madarakani bila kujali madhara watakayopata zaidi ya asilimia 85 ya wamarekani wote na nchi washirika wake.
 
Mkuu Mag3
Habari ya uteuzi wa Mueller ina mchanganyiko wa hoja.
Kwanza, kama ulivyosema hana mamlaka kama Independent prosecutor.
Pamoja na hayo mamlaka yake ni mapana kuchunguza jambo lingine lolote nje ya Russia meddling

Hii ina maana ni pamoja na 'tuhuma' za obstruction of justice na kufukuzwa kwa Comey

Ujio wa Mueller utaweza 'kuzuia' Comey asi testify na hivyo kutomwaga maongezi ya Comey na Trump

Hii haina maana kamati za bunge hazitaendelea, ili ku maintain integrity ya uchunguzi Mueller anaweza kumuomba Comey asieleze ili wakati ukifika aende mbele ya jopo lake

Mueller ni Dir wa zamani wa FBI kuanzia zama za 9/11.
Baada ya miaka 10 Obama alimuongeze muda wa miaka 2 kabla ya kumteua Comey kushika nafasi hiyo

Mueller ni mwanasheria, hadi jana alikuwa anafanya kazi na kampuni binafsi ya WilmerHale
Kampuni hiyo ikiwa na Jamie Gorelick inamwakilisha Ivanka Trump, na kupitia partner Reginald Brown inamwakilisha Paul Manafort, kampeni menejea wa zama wa Trump

Mueller anaheshimika sana katika eneo la kusimamia sheria. Uteuzi wake umekuja baada ya kelele nyingi za kutaka suala la Russia lishughulikiwe tofauti kuondoa ''uchama'' na kuingiliwa na WH

Roseinstein, McConnel na Paul Ryan walisisitiza hakukuwepo na sababu za kuwa na chombo kingine nje ya kamati ya house na Seneti na kwamba suala lilikuwa mikononi mwa FBI pia

Habari za Trump kumtaka Comey aweke uchunguzi wa Flynn' kando' ziliweka pressure, kwamba, WH ina influence FBI. Kuondolewa kwa Comey kukashadidi, Republican wakamonyoka wakitaka uchunguzi tofauti

Uchunguzi wa Mueller utamsaidia Trump kutoka katika pressure chini ya house na seneti kwa hoja kuwa utolewe muda wa uchunguzi kukamilika. At least kwa muda kutakuwa na kupumua

Mbele ya safari kuna mambo mawili. Haijulikani uchunguzi utakuja na kitu gani na kwamba Trump amepoteza influence katika 'kuzuia' kama alivyojaribu kwa Comey, Nunes au Sessions

Hili halimaanishi media zitakaa kimya,kutakuwa na habari za Russia kwasababu si suala la mahakamani na haliwezi kuingilia uchunguzi. Media zitakuwa na influence kubwa katika kuashiria uchunguzi uelekezwe wapi

Nguvu ya mjadala katika house na seneti itapungua, nguvu ya mjadala katika media ipo pale pale
Wingu la Russia litaendelea kutanda kwa muda mrefu, kilichotokea ni nafasi tu ya kupumua kwa muda
 
"TUJITEGEMEE, post: 21183716, member: 31026"]Kwa kumbukumbu nilizonazo toka ninaaza kufuatilia hapa jukwaani juu ya US hasa mfumo mzima wa uendeshaji uchaguzi wa US hauwezi kuvurugwa kwa namna yoyote ile kiasi cha kuvuruga uchaguzi mzima. Kigezo kikubwa kikiwa ni kuwa Uchaguzi wa US kila jimbo hujitegemea! Na hapa ninawataja walimu wangu Nguruvi3 na Mag3 (pia hata mwalimu wangu wa Twisheni El Jefe aligusia hili) kuwa ndiyo hasa walifundishi hili.
Kwangu sioni kama kuna kitu kimebadilika katika hilo

Kwanza, nakushauri ili kuelewa jambo ni muhimu kuwa na 'open mind'
Open mind ni utayari wa kuelewa jambo. Kwa muda mrefu tumekueleza kuhusu uchaguzi wa US ulivyo, hauwezi kuvurugwa wote isipokuwa kunaweza kuwa na tatizo eneo fulani

Sababu, uchaguzi wao sio kama wetu, wao ni 'local'. Kura inapigwa na kuhesabiwa na kutolewa taarifa pale pale. Haisubiri kupelekwa Washington kama tunavyofanya sisi.

Kwa vile ulikuwa na 'preconceived notion' kwamba uchaguzi wa US ni sawa na Tanzania, ule utayari wa kuelewa kipya haupo. Unauliza jambo ambalo lipo wazi kwasababu unaamini hivyo
Sasa inquiry ya sasa ya Russia kuwa iliingilia uchaguzi tena kwa kushirikiana na mgombea wa Republican, 'ndugu' Donald inatoa wapi mashiko ? Tena republican yenye watu kama 'Makeini'; Makeini ambaye nadhani kwake yeye neno Russia linamkosesha hata hamu ya kula!!
Hapa ndipo nitajibu.

Uchaguzi wa US Trump alishinda kwa electoral college. Hilo halina ubishi
Hakuna ushahidi sanduku la kura popote lilifanyiwa usanii.
Hakuna ushahidi kuwa Russia ilingiza kura za zaidi popote, halina ubishi.
Sababu ni kuwa uchaguzi ni 'local' ingawa ni wa kitaifa

Kinachoangaliwa ni Russia meddling.

Meddling linamaana pana ikiwemo influence, criticize au persuade n.k.

Intel za US zimethibitisha kuwa Russia ilikuwa ina influence katika uchaguzi

Kutoa email za mgombea mmoja katika nyakati fulani ilikuwa kuumiza mgombea mwingine

Kwa mfano,ilipotoka tape ya Hollywood, siku hiyo hiyo email za Podesta zikatolewa na Wikileaks

Intel zimethibitisha uhusiano wa Wikileaks na Russia, hivyo Russia ilikuwa na influence
Utakumbuka Trump alitumia sana habari za Wikileaks katika kampeni dhidi ya mwenzake

US haina sababu za kulalamikia Russia, inachokifanya ni kuhakikisha chaguzi zijazo haziwezi kuingiliwa na mataifa ya nje kama Russia. Hivyo ndivyo wenye akili wanavyofanya.

Katika kuhakikisha halijitokezi, US wanajiuliza, je, Russia ilifanya hivyo kwa makusudi gani?

Ndipo uhusiano wa kampeni ya Trump na Russia unapoingia.
Lengo la uchunguzi ni kutafuta kama Russia ilifanya pekee au ilikuwa na washirika ndani ya US

Uchunguzi wa awali unaonyesha Flynn akiwa na mahusiano na Russia.
Bado anachunguzwa na Pentagon,nafasi yake haikuruhusu kufanya baadhi bila kibali.
Ni General wa jeshi, zipo taratibu zinazomuongoza

Wigo unaongezeka kwa akina Carter page, Manafort, Roger , Kushner n.k.
Wanachunguzwa ikiwa mahusiano ni ya kawaidia kibiashara au yalihusiana na uchaguzi

Wakiwa washirika wakuu wa kampeni ya Trump, uchunguzi unaiangalia kampeni nzima

Ni katika kutafuta ikiwa Russia ilihusika,kwa namna gani na ikisaidiwa na akina nani

Hili haliishii katika uchaguzi.
US wanatambua kama kuna watu wa ndani, influence itaathiri maamuzi ya nchi kwa ujumla.

Ndiyo maana picha ya balozi Kislyak na Trump ilizua mashaka

Kwamba, je, kuna influence ya Russia ndani ya WH ?
Nini itakuwa nafasi ya US Rais akiwa ni puppet wa Russia.
Hilo ndilo linawasumbua Wamarekani na kuanza kutafuta kwa kina nini hasa kilitokea
How can,The robust electoral system of US ,be compromised by the economically Weak country (as MSM told us) like Russia? Does this imply that US is turning into Jamhuri ya Ndizi, where even a 'non-believer' country is daring to question US spirituality? Oh No! This can not be, walimu wangu, uh!
Kama umefikia conclusion, you have the right.
Ni maoni yako ambayo hayawezi kuwa sahihi au makosa. Tunayapokea kama yalivyo

Na katika kuyaamini mawazo umetumia haki ya kumnukuu Trump kama ndiyo ukweli hapa chini
Ni haki yako kuamini unachoamini, na wala hakuna usahihi au makosa ya kufanya hivyo
Trump: Russia probe is greatest witch hunt of a politician in US history

Kwa taarifa yako, Trump amewatosa hata VP wake.
Kila asubuhi ana mawazo tofauti na wenzake, akibadili misimamo kila uchao.

Tumekuonyesha katika mabandiko ya nyuma Trump asingeweza kutenda ABCD kwasababu XYZ.

Imetokea, si kwasababu ya utabiri au uchawi bali kuwa open minded kimitazamo

Ni muhimu kuelewa, nini kinachunguzwa. Kuna lots of moving parts
Ukitazama kwa jicho moja utakuwa off mark kila mara

Tusemezane
 
Breaking News: Russia probe moving into a criminal investigation!

In a rare all-Senate briefing the Deputy AG, Rod Roesntein, admitted he felt used and abused because even before writing a memo on Comey's actions as FBI director, he already knew Comey was going to be fired! To maintain his integrity an attorney of good repute, he was then faced with the choice of either resigning or appointing a special counsel and he rightfully chose the latter.

Kazi ipo na katika muda mchache ujao, Trump ataongea na waandishi wa habari, tuvute subira...
 
Breaking News: Russia probe moving into a criminal investigation!

In a rare all-Senate briefing the Deputy AG, Rod Roesntein, admitted he felt used and abused because even before writing a memo on Comey's actions as FBI director, he already knew Comey was going to be fired! To maintain his integrity an attorney of good repute, he was then faced with the choice of either resigning or appointing a special counsel and he rightfully chose the latter.

Kazi ipo na katika muda mchache ujao, Trump ataongea na waandishi wa habari, tuvute subira...
The saga will not go away!
 
Trump is in over his head.

He can't stop himself from inflicting self inflicted wounds.

He can blame the media all he wants and sometimes rightly so, but he also sometimes does give them the ammunition to hit him with.

That job is too big for him.

Time for President Pence now....
 
I guess you mean this...I had said and I quote, "El Jefe, ambalo halijathibitishwa ni Roenstein KUTISHIA kujiuzulu kama atahusishwa moja kwa moja na maamuzi hayo." But then you came up with this question and I quote, "Hili limeshathibitishwa?"


Well, after WH changed its story and exonerated Roenstein, WAS IT REALLY NECESSARY FOR YOU TO EXPECT A REPLY FROM ME? Trump himself confirmed that Comey's firing was not based on any recommendation from anybody let alone a deputy AG who hadn't been in office for a month...Trump had made up his mind he was going to do it period.

I get it. You can't back up the claims you bought from the Washington post report that Rosenstein threaten to resign over how the firing took place. Not your fault, your source can't confirm their allegation too.

A reporter wanted to know whether or not Trump wanted Comey out or it was all based on the DAG's recommendation. Trump was honest in his answer because to suggest otherwise would be contradicting his own decision, make no mistake, it was also based on his own assessment.

That was a common sense reply, not unusual, because Presidents tend to approve stuffs and that activity more often involve their own reviews as well. Well, as usual the media took his reply, gave it new packaging and ran with it. Thats is not equal to 'changing of story' or some form of 'exoneration' to DAG as you are insinuating.

For your point to hold water, you need to tell us where exactly did Rosenstein (DAG) distanced himself from his own memo. Because that's when the contents of his memo becomes void and invalid. I know you can't and possibly you didn't even read the memo.


Your eyes could be wide open, but then you are looking at things through some very dark-coloured spectacles and the sooner you get rid of them the better for you. Even though facts are staring back at you, you are incapable of admitting them...please do something, have those eyes checked.

Well, these dark-coloured spectacles are helping me filter the daily bright shinning rays of lies and deception. I think you need them more than I do because I'm kind of familiar with this environment. Run to the store and grab similar eyeglasses as well, using your hands isn't that effective and to be honest, it's not healthy.

I do admit facts, the question is, do you?


Very true, for once I agree with you; his presidency is unprecedented and what is going on was not unexpected and that is exactly what we have been saying all along. He is the architect of all the pandemonium, chaos, brouhaha and you name it that surrounds the WH and afflicts him like a sore thumb.



Your construe of Trump's presidency unprecedentedness and subsequent theory of unfolding of expected events hinges upon nothing but fiction. There is a lot of 'what you have been saying all along' that you've left a million miles back. So, I think it's fair to say, we are not on the same page pertaining to those statements.


Eyes like a hawk? That's a laugh just like what your hoagie would brand himself shouting from rooftops...I am the best, am the greatest, am the only one that can see...really? From what little I can gather so effortlessly, you must be as blind as bat when it comes to your hero; please remember this famous quote. "I could stand in the middle of Fifth Avenue and shoot somebody, and I wouldn’t lose any voters, OK?” El Jefe, are you one of these?

Lets deal with facts, facts are not dots that are connected in one's own mind but can't be connected realistically by an average person.

I know you are a fan of hearsays, it may be difficult for you to change for the sake of facts.

Kalaghabaho...!

Too low

Update:

El Jefe, it is now confirmed that the Deputy Attorney General, Rod Roenstein, was so exasperated with the goings on in WH that he was planning to pack up his bags and quit. WH had to work hard to change its story and exonerate him and now this; he has appointed a special investigator, wow!
Where is the confirmation? You didn't bother to back it up?

Do you really believe that DAG's decision to appoint a special counsel will change the facts on the ground? Ok, continue to hold your breath. I hope the SC finishes his 'probe' soon.

The decision may not be that good for democrats who will need to find something else to hang on to. I think we can now debate some real issues instead of squandering time on fictions.
 
Trump is in over his head.

He can't stop himself from inflicting self inflicted wounds.

He can blame the media all he wants and sometimes rightly so, but he also sometimes does give them the ammunition to hit him with.That job is too big for him.Time for President Pence now....
''Self inflicted wound'' inaeleza

Hili la Russia wenzake katika congress waljitahidi 'kulimaliza' kwa kamati zao ingawa haikuwa rahisi kutokana na media.

Ugomvi wa media akiwatusi umezifanya media ziandike kwa undani habari kukiwa na ushahidi zisiwe 'fake' news.
Katika hilo anayeumia ni Trump, na amekwaza Congress sana

Mfano mzuri ni Russia. Baada ya media kuandika, Trump akaziita fake news akiaminisha umma habari ni zake

Media zikatafuta namna ya kuingia WH. Ikaanza na akina Flynn, Page, Rogers , Sessions
Katika wiki tatu au nne suala lilikuwa kati ya hao. Kumfukuza Comey akijichanganya kumelifikisha oval office na halitoki

Zile tricks za distractions hazifanyi kazi tena na hili tulijua kuanzia mwanzo.

Nadhani VP Pence ambaye mara mbili ameumbuka kwa kutoswa na Trump anasubiri wakati tu

Nikiwasoma congress, uvumilivu umekwisha na wanataka VP Pence achukue ukanda, na Pence anajua hilo

Majuzi alisema kunfukuza Comey ilikuwa wazo kabla ya kupata wazo la deputy AG.
Wenzake walikuwa katika media wakisema ni wazo la deputy AG . Akawauza akiwemo VP Pence

Leo akiwa na Rais wa Columbia kaulizwa na kusema alifanya hivyo kwa recommendation za deputy AG
Deputy AG alikuwa Capitol Hill akisema alijua Comey anafukuzwa hata kabla ya kuandika memo kwa Trump

Deputy AG atafanya kazi na Mueller katika investigation ambayo Trump anaita witch hunt.
Kauli hiyo tu inachochea uchunguzi wa kutosha

UKitaka kuona Trump haiwezi ofisi ni pale aliposema hakuna mahusiano na Russia kwa kampeni yake , na kwamba anazungumzia yeye binafsi na Russia. Kauli hiyo tu inatoa clue kuwa anawaacha wenzake akina Flynn
Hawa wenzake wanaweza kuzama naye kama wana kitu na hilo Trump hakuliona

Alipomfukuza Comey akaenda mbali kumsema hovyo, well, Comey akasema anataka mahojiano ya wazi na si siri
Vimemo vime leak katika media na Trump katengeneza mazingira ya 'obstruction of justice'

Trump alidhani deal za private organization zinafanya kazi katika regulated environment kama Serikali

So far amefeli, nadhani GOP wanatafuta namna na Pence anajua ndiyo maana amebaki kuwa mvumilivu
 
''Self inflicted wound'' inaeleza

Hili la Russia wenzake katika congress waljitahidi 'kulimaliza' kwa kamati zao ingawa haikuwa rahisi kutokana na media.

Ugomvi wa media akiwatusi umezifanya media ziandike kwa undani habari kukiwa na ushahidi zisiwe 'fake' news.
Katika hilo anayeumia ni Trump, na amekwaza Congress sana

Mfano mzuri ni Russia. Baada ya media kuandika, Trump akaziita fake news akiaminisha umma habari ni zake

Media zikatafuta namna ya kuingia WH. Ikaanza na akina Flynn, Page, Rogers , Sessions
Katika wiki tatu au nne suala lilikuwa kati ya hao. Kumfukuza Comey akijichanganya kumelifikisha oval office na halitoki

Zile tricks za distractions hazifanyi kazi tena na hili tulijua kuanzia mwanzo.

Nadhani VP Pence ambaye mara mbili ameumbuka kwa kutoswa na Trump anasubiri wakati tu

Nikiwasoma congress, uvumilivu umekwisha na wanataka VP Pence achukue ukanda, na Pence anajua hilo

Majuzi alisema kunfukuza Comey ilikuwa wazo kabla ya kupata wazo la deputy AG.
Wenzake walikuwa katika media wakisema ni wazo la deputy AG . Akawauza akiwemo VP Pence

Leo akiwa na Rais wa Columbia kaulizwa na kusema alifanya hivyo kwa recommendation za deputy AG
Deputy AG alikuwa Capitol Hill akisema alijua Comey anafukuzwa hata kabla ya kuandika memo kwa Trump

Deputy AG atafanya kazi na Mueller katika investigation ambayo Trump anaita witch hunt.
Kauli hiyo tu inachochea uchunguzi wa kutosha

UKitaka kuona Trump haiwezi ofisi ni pale aliposema hakuna mahusiano na Russia kwa kampeni yake , na kwamba anazungumzia yeye binafsi na Russia. Kauli hiyo tu inatoa clue kuwa anawaacha wenzake akina Flynn
Hawa wenzake wanaweza kuzama naye kama wana kitu na hilo Trump hakuliona

Alipomfukuza Comey akaenda mbali kumsema hovyo, well, Comey akasema anataka mahojiano ya wazi na si siri
Vimemo vime leak katika media na Trump katengeneza mazingira ya 'obstruction of justice'

Trump alidhani deal za private organization zinafanya kazi katika regulated environment kama Serikali

So far amefeli, nadhani GOP wanatafuta namna na Pence anajua ndiyo maana amebaki kuwa mvumilivu

Tatizo la Trump naona ameshindwa kabisa ku 'graduate' kutoka kwenye kampeni kama mgombea na kutawala/ kuongoza kama rais.

Anaipa msaada mkubwa sana mainstream liberal media katika kuipa silaha za kumuangamiza.

Sielewi hata kwa nini bado yupo Twitter na kuendelea ku tweet kuhusu kila 'kashfa', iwe ya ukweli au la.

Tokea kaingia madarakani imekuwa ni mwendo wa kashfa tu karibu kila siku [na kusema ukweli wakati mwingine hata hakuna jipya ila yeye mwenyewe anazipa uhai hizo kashfa kwa kuendelea kutumia hiyo Twitter].

Licha ya hivyo jamaa ni bonge la survivor. Pale unapodhani kuwa hapa hachomoki matokeo yake wala haathiriki kivile.

Ni muda tu ndiyo utatueleza ingawa anahitaji kubadilika sana.

Ila kushindana na ma teenagers kwenye ku tweet haifai kabisa. It is so beneath the presidency.
 
Tatizo la Trump naona ameshindwa kabisa ku 'graduate' kutoka kwenye kampeni kama mgombea na kutawala/ kuongoza kama rais.

Anaipa msaada mkubwa sana mainstream liberal media katika kuipa silaha za kumuangamiza.

Sielewi hata kwa nini bado yupo Twitter na kuendelea ku tweet kuhusu kila 'kashfa', iwe ya ukweli au la.

Tokea kaingia madarakani imekuwa ni mwendo wa kashfa tu karibu kila siku [na kusema ukweli wakati mwingine hata hakuna jipya ila yeye mwenyewe anazipa uhai hizo kashfa kwa kuendelea kutumia hiyo Twitter].

Licha ya hivyo jamaa ni bonge la survivor. Pale unapodhani kuwa hapa hachomoki matokeo yake wala haathiriki kivile.

Ni muda tu ndiyo utatueleza ingawa anahitaji kubadilika sana.

Ila kushindana na ma teenagers kwenye ku tweet haifai kabisa. It is so beneath the presidency.

Sir,

(A) My view ni kwamba Trump anaonyesha significant shift kutoka kwenye election mode kwenda kwenye kuongoza. Mwanzoni ilikuwa worse kuliko hivi sasa, ingawa bado anaendekeza elements za kampeni which is not good.

Lakini hili suala la 'Russian collusion' linahusiana na uchaguzi, na lilianza katika kipindi cha kampeni na toka lianze hadi leo hakujawahi kuletwa ushahidi wa maana kuwa Trump ni 'puppet' wa Russia.

Habari yenyewe ili/imegawanyika vipengele tofauti, mara Russia wali-spy na ilibidi watafute namna ya kuwaunganisha WikiLeaks na Russia, mara Russia wali-hack vifaa vya uchaguzi kwenye majimbo matatu (jambo ambalo liligundulika halikuwa kweli). Sasa hivi aina yoyote ya mahusiano au anything to do with Russia ni crime!!. Ndio maana Trump anasema hii ni 'political witch hunt'.

Democrats walichokifanya ni kutunga a beautiful Russian collusion story na kutaka rasilimali zitumike kutaka kuthibitisha walichokitunga in the hope of dragging Trump asitekeleze ajenda yake. Walijua kuna Republicans wanachukia Russia na watacheza ngoma yao, which is true.

Trump anajua kila kitu, labda anachokosea ni namna ya ku-deal na haya mambo. Kwa mfano amechelewa kuwapa democrats 'special counsel' kwa sababu hili suala la Russia Dems walipanga kukomaa nalo popote litakapowapeleka.


(B) Kitu kingine ambacho ni fact ni kuwa Trump haja-graduate kutoka kwenye kuendesha kampuni (CEO) kwenda kwenye kuongoza serikali au kuongoza nchi (POTUS) kwa asilimia kubwa. Kwa mfano Trump ana-struggle kuendana na mfumo wa serikali ya US ulivyo na unavyomtaka aongoze. But this is someone ambaye hajawahi kuwa kiongozi yeyote katika ngazi yoyote serikalini na waliomchagua waliamua kumpa benefit of doubt. Learning curve yake bado ipo vizuri.

Kosa analofanya Trump ni kendekeza U-CEO kwenye nafasi ya POTUS which is not good. Trump anashauriwa mambo ya kufanya na jinsi ya kufanya, but along the way anajikuta ameshakosea. Kwa mfano suala la ku-tweet kila mda nadhani ameshashauriwa hata na Ivanka kuacha ila anaamua tu kuwa mtukutu.

Pia nakubaliana na wanaosema Trump ana tatizo la kauli, ndio maana mda mwingine kauli zake zinaleta utata au kuwa inconsistent na matokeo yake zinakuwa habari. Kitu ambacho anajisahahu ni namna media za US hasa zile zisizompenda zilivyo sensitive na kila neno linalotoka kwake. Kuna mda media ni unfair na dishonest lakini sio mda wote.

Trump inabidi aelewe kuwa kuna liberal na conservative media. Apige kazi tu, awaache liberal media wafanye yao kwa sababu hawezi kuwabadilisha kwa maneno yake au tweets zake.
 
Sir,

(A) My view ni kwamba Trump anaonyesha significant shift kutoka kwenye election mode kwenda kwenye kuongoza. Mwanzoni ilikuwa worse kuliko hivi sasa, ingawa bado anaendekeza elements za kampeni which is not good.

Lakini hili suala la 'Russian collusion' linahusiana na uchaguzi, na lilianza katika kipindi cha kampeni na toka lianze hadi leo hakujawahi kuletwa ushahidi wa maana kuwa Trump ni 'puppet' wa Russia.

Habari yenyewe ili/imegawanyika vipengele tofauti, mara Russia wali-spy na ilibidi watafute namna ya kuwaunganisha WikiLeaks na Russia, mara Russia wali-hack vifaa vya uchaguzi kwenye majimbo matatu (jambo ambalo liligundulika halikuwa kweli). Sasa hivi aina yoyote ya mahusiano au anything to do with Russia ni crime!!. Ndio maana Trump anasema hii ni 'political witch hunt'.

Democrats walichokifanya ni kutunga a beautiful Russian collusion story na kutaka rasilimali zitumike kutaka kuthibitisha walichokitunga in the hope of dragging Trump asitekeleze ajenda yake. Walijua kuna Republicans wanachukia Russia na watacheza ngoma yao, which is true.

Trump anajua kila kitu, labda anachokosea ni namna ya ku-deal na haya mambo. Kwa mfano amechelewa kuwapa democrats 'special counsel' kwa sababu hili suala la Russia Dems walipanga kukomaa nalo popote litakapowapeleka.


(B) Kitu kingine ambacho ni fact ni kuwa Trump haja-graduate kutoka kwenye kuendesha kampuni (CEO) kwenda kwenye kuongoza serikali au kuongoza nchi (POTUS) kwa asilimia kubwa. Kwa mfano Trump ana-struggle kuendana na mfumo wa serikali ya US ulivyo na unavyomtaka aongoze. But this is someone ambaye hajawahi kuwa kiongozi yeyote katika ngazi yoyote serikalini na waliomchagua waliamua kumpa benefit of doubt. Learning curve yake bado ipo vizuri.

Kosa analofanya Trump ni kendekeza U-CEO kwenye nafasi ya POTUS which is not good. Trump anashauriwa mambo ya kufanya na jinsi ya kufanya, but along the way anajikuta ameshakosea. Kwa mfano suala la ku-tweet kila mda nadhani ameshashauriwa hata na Ivanka kuacha ila anaamua tu kuwa mtukutu.

Pia nakubaliana na wanaosema Trump ana tatizo la kauli, ndio maana mda mwingine kauli zake zinaleta utata au kuwa inconsistent na matokeo yake zinakuwa habari. Kitu ambacho anajisahahu ni namna media za US hasa zile zisizompenda zilivyo sensitive na kila neno linalotoka kwake. Kuna mda media ni unfair na dishonest lakini sio mda wote.

Trump inabidi aelewe kuwa kuna liberal na conservative media. Apige kazi tu, awaache liberal media wafanye yao kwa sababu hawezi kuwabadilisha kwa maneno yake au tweets zake.

Good analysis.
 
Back
Top Bottom