Bandiko hilo tulileta kabla ya interview ya Trump na NBC siku ya alhamisiKOSA LA KIUFUNDI SAKATA LA COMEY
Katika barua WH iliyoandika, Trump anamshukuru Comey kwa utumishi
Anamshukuru pia 'kwa kumeleza nyakati tatu tofauti , FBI haimchunguzi'
Kauli hiyo ya kutochunguzwa na FBI ina matatizo kifundi
Kwanza, Comey ali testify katika kamati ya Bunge na kuthibitisha uchunguzi upo
Comey alikataa kueleza kwa kina akisema habari hizo ni classified information
Alimaanisha ni wale tu wenye security clearance wanaweza kupata ikibidi, si public
Rais Trump kujua kama anachunguzwa au la kutoka kwa Comey si kosa
Rais ana access na classified information na huenda alimweleza
Tatizo linapotokea ni , je, alimtaarifu kabla ya ku testify au baada ya hapo?
Alimtaarifu kwa maneno au zipo kumbu kumbu?
Kitendo cha Rais kusema 'alitaarifiwa na Comey wa FBI' tayari kina comporomise uchunguzi. Hilo ni sawa na ku declassify information zinazofanyiwa kazi
Ipo siku Comey ataulizwa kuhusu hilo na itabidi akubali au akanushe
Kwa upande mwingine, tayari Rais anaonekana ''amesafishwa''
Kusema maneno hayo ni kujisafisha mwenyewe wakati uchunguzi ukiendelea
Swali wanalojiuliza wengi ni kwanini Trump anaonekana kuwa na hofu ikiwa mwenyewe anathibitisha hakuna tatizo?
Tusemezane
Kama una muda pitia hii link..No, not true. A photographer for a Russian state-owned news agency was allowed into the Oval Office on Wednesday during President Donald Trump's meeting with Russian diplomats, a level of access that was criticized by former U.S. intelligence officials as a potential security breach.....
Turudi nyuma kidogo, ina maana miezi sita baada ya kuapishwa kuwa Rais (July 19, 1993), Bill Clinton alipompiga chini William S. Sessions (Director wake wa FBI) kwa kufuata recommendations za Janet Reno (Attorney General), aliwaagiza Janet Reno (AG)...
Mbona Bill Clinton alimfukuza William Sessions mwaka 1993....
Rais kufanya kile kilicho ndani ya madaraka yake kikatiba si udikteta.
Tukirudi nyuma kidogo, mwaka 1993, hata Senate Minority Leader wa kipindi hicho, Robert J. Dole (R-Kan) pia alipinga uamuzi wa Bill Clinton kumfukuza kazi William Sessions (FBI director wa kipindi hicho) na kumtahadharisha AG.
Birds of a feather...? While both broccoli and candy bars can be considered snacks, comparing the two in terms of fat content and ignoring the significant difference in taste, leads to a false comparison. In my case the technique of comparing two people who are completely different is called Donald...Donald who?Glad that fool has been let go.
Long overdue. Even Bill Clinton fired William Sessions back in 1993.....
Donald Trump said:James Comey better hope that there are no "tapes" of our conversations before he starts leaking to the press!
Breaking News: Trump revealed highly classified info to Russians!
Only one photographer for a Russian state-owned news agency was allowed into the Oval Office on Wednesday during President Donald Trump's meeting with Russian diplomats!
Trump revealed highly classified information to Russian foreign minister and ambassador
During the May 10 meeting at the White House with Russia’s Foreign Minister Sergei Lavrov and Ambassador to the U.S. Sergey Kislyak, Trump began describing details about an Islamic State terror threat related to the use of laptop computers on aircraft, according to current and former U.S. officials.
President Trump revealed highly classified information to the Russian foreign minister and ambassador in a White House meeting last week, according to current and former U.S. officials, who said Trump’s disclosures jeopardized a critical source of intelligence on the Islamic State.
The information the president relayed had been provided by a U.S. partner through an intelligence-sharing arrangement considered so sensitive that details have been withheld from allies and tightly restricted even within the U.S. government, officials said.
The partner had not given the United States permission to share the material with Russia, and officials said Trump’s decision to do so endangers cooperation from an ally that has access to the inner workings of the Islamic State. After Trump’s meeting, senior White House officials took steps to contain the damage, placing calls to the CIA and the National Security Agency.
“This is code-word information,” said a U.S. official familiar with the matter, using terminology that refers to one of the highest classification levels used by American spy agencies. Trump “revealed more information to the Russian ambassador than we have shared with our own allies.”
The revelation comes as the president faces rising legal and political pressure on multiple Russia-related fronts. Last week, he fired FBI Director James B. Comey in the midst of a bureau investigation into possible links between the Trump campaign and Moscow. Trump’s subsequent admission that his decision was driven by “this Russia thing” was seen by critics as attempted obstruction of justice.
Source: Washington Post.
Je hii ndiyo sababu FBI Director Comey alifukuzwa?
Mkuu BAK, If that was the case WH would be on fire. Hata hivyo naona Trump naye watu wake wanaanza kumchoka. Aliyevujisha hii lazima atakuwa mtu wa ndani aliyechukizwa kweli kweli na kitendo chake hicho. Siku zake madarakani huyu mhuni zinazidi kupungua asipoangalia.Imagine the reaction of Americans if you change the heading of this article to Barack Obama.
Mkuu BAK, If that was the case WH would be on fire. Hata hivyo naona Trump naye watu wake wanaanza kumchoka. Aliyevujisha hii lazima atakuwa mtu wa ndani aliyechukizwa kweli kweli na kitendo chake hicho. Siku zake madarakani huyu mhuni zinazidi kupungua asipoangalia.
[B]El Jefe[/B], ambalo halijathibitishwa ni Roenstein kutishia kujiuzulu kama atahusishwa moja kwa moja na maamuzi hayo.
Una roho ngumu ndugu yangu...nevertheless to quote James Hadley Chase, this is the way the cookie crumbles. Hata kama unampenda Donald Trump, please open your eyes and see for yourself what ia happening right before your eyes!Hili limeshathibitishwa?