Hakuna namna Clinton anaweza akapata tena ushindi...katika hali hii, natamka kwamba Trump ndiye Rais mteule wa Marekani! Clinton sasa akamate simu tu akampongeze Trump.Duuu uchaguzi huu ni mgumu sana, na kwa kweli watu wamepiga sana kura
Mkuu unakumbuka hii?Hakuna namna Clinton anaweza akapata tena ushindi...katika hali hii, natamka kwamba Trump ndiye Rais mteule wa Marekani! Clinton sasa akamate simu tu akampongeze Trump.
SURA YA UCHAGUZI
Tukumbushe uchaguzi si idadi ya kura, bali viti (Electral vote) au EV katika state
Kuna solid and Red Sates ikimaanisha zinajulikana zitakuwa Republican au Democrat
Kuna state zitakazoamua nani awe Rais kwasababu hazitabiriki, hizo ndizo swing au battle states
Macho kesho yatakuwa katika state zifuatazo (Kundi 1)
Nevada EV 6
Florida EV 29
Ohio EV 18
NC EV 15
Hampshire EV 4
Pen state EV 20
Iowa EV 6
Halafu kuna state ambazo hazieleweki kutokana na hali ya uchaguzi
Utah EV 6 Hii ni kutokana na kuwepo kwa mgombea binafsi Evans M
Arizona EV 11 Kutokana na kuwa na Latino
Maine EV 2 Kutokana na kuwa na congressional district
Georgia EV 16 Kwasababu hii ni red state lakini kura za maoni zipo karibu sana
Michigan EV 29 , lead ya Clinton imepungua 11 hadi 4, ambayo ni within margin of error
Hizi zinaweza kuwa chafuzi tu kwa wagombea ingawa ni unlikely zinaweza kuwa na impact hiyo
Muhimu ni kundi la kwanza kwasababu hizi
Kwa mujibu wa track poll (si lazima ziwe sahihi) Magic number inayogombewa ni 270
Hillary Clinton anasimama na EV 268 na Trump 204
Kwa minajili ya mjadala the EV baseline ni 204, hivyo wagombea wanatakiwa kufikia 270
Kama polls na uchambuzi ni sahihi bila mishaps kutoka kundi la 2 hapo juu, then
Clinto akiwa na 268 atahitaji EV 2 kutoka popote kama New Hampshire EV au Iowa
Donald Trump 204 atahitaji EV 66 na hizo lazima zipatikane kutoka kundi la 1 hapo juu
Inaweza kuonekana ni mlima mrefu kwa Trump kupanda, lakini huu ni uchaguzi lolote laweza kutokea. Ingalikuwa rahisi kiasi hicho Clinton asinge kampeni
Kwa mfano, BREXIT ilibashiriwa ushindi UK kubaki EU. Kilichotokea kila mmoja anakijua
Kwanza, wengi hawakujitokeza kupiga wakiamini kambi ya Remain itashinda.
Kambi ya exit ikapiga kura na mwisho ikashinda
Pili, katika primaries Hillary Clinton alikuwa anaongoza kwa asilimia 9-11 Michigan. Kwa mshangao Bernie Sander akashinda
Tatu, hakuna aliyetarajia 2004 George Bush angerudi madarakani kwa kumshinda Kerry
Nne, kuna factors nyingi zinafanya kazi katika uchaguzi tutajadili bandiko lijalo
Inaendelea
Mkuu naungana na ww no way, jamaa hata hizo state zilizobaki anongoza pia, ngoja tusubiri final results, ni maajabu tu Clinton kushindaHakuna namna Clinton anaweza akapata tena ushindi...katika hali hii, natamka kwamba Trump ndiye Rais mteule wa Marekani! Clinton sasa akamate simu tu akampongeze Trump.
Kama Michigan na Wisconsin zingebaki blue, huenda kungekuwa na matumaini kwa ClintonMkuu naungana na ww no way, jamaa hata hizo state zilizobaki anongoza pia, ngoja tusubiri final results, ni maajabu tu Clinton kushinda