Dunia sio duara!

Dunia sio duara!

But of course that is a basic Machiavellian rule.

One ought not overexpose oneself unduly.

I am not going to overtax my cycles on the finer points of zero government with a country bumpkin.

Just a moment,...big bang theory.....1995.......impromptu lecture. Unajua mtu kuongelea kitu kama hicho kwa kawaida bila ya kua umejiandaa kimpangilio na katika mfumo rasmi inaonekana ulikua na uelewa wa hilo jambo. Hongera kwa kupenda kujisomea.

Umenifurahisha kwenye hiyo story yako, ni kama ulikua unaongea vitu vya kusadikika na watu wakasubiri mwalimu akukosoe ndio iwe pona yao kujiridhisha kwamba umeongea pumba, wakastaajabishwa na ukimya wa mwalimu kutokana na ukweli kwamba hata yeye hakua anajua hilo jambo achilia mbali kusikia.

Wengi hatuna utamaduni/utaratibu wa kupenda kujisomea na kutumia fursa mbalimbali za vyanzo vya habari.
Kwa ufupi, nimejifunza vitu vingi kutoka kwako kwa njia moja ama nyingine.
 
The shape of our earth is called 'OBLIQUE SPHEROID'
Labda tuanze kwa kujuzana nini maana ya duara au circle? kikawaida katika duara, umbali kutoka point moja mpaka centre ni sawa katika kila point(every point being equidistant from the center point)!!
Je umbali kutoka ikweta mpaka katikati ya dunia (center of the earth) ni sawa na umbali kutoka kwenye poles (sourth na north pole)??? Jibu ni kwamba havipo sawa kwani umbali kutoka ikweta mpaka katikati ya dunia ni kilomita 21 tofauti na kutoka kwenye poles!!! Mpaka hapa tunaeza ona kwamba dunia sio duara!!!



Lakini tukiangalia publish na tafiti mbali mbali pia tunaeza ona umbo halisi la dunia sio duara wala tufe!! Tukitumia tu uelewa wa kawaida, embu tuangalie uwepo wa mabonde, milima ,mito, maziwa kwenye uso wa dunia, je bado tutashawishika kwamba dunia ni tufe au duara??

Ki uhalisia ni kwamba umbo la dunia sio halisi (irregular shape) au kwa lugha nyingine tunaeza sema ni ni bumpy shape!!


Hii dhana ya kusema dunia ni duara imetoka wapi hasa??

Wanasayansi wamechukulia dunia ni sphere kama model tu (na ifaamike kuna model kama mbili zaidi) ambazo wao wanazitumia katika kufanya mahesabu na tafiti mbali mbali mfano kuchora ramani, kutafuta umbali kutoka point moja mpaka nyingine, na mahesabu mbali mbali yanayohusu kani mvutano(force of gravity) ila ki uhalisia tunaposema dunia ni sphere au circle hizo ni “model which present the shape of the earth ambazo zimewekwa kurahisisha tafiti na hesabu (calculations)" na kiuhalisia umbo la dunia sio sphere wala duara bali ni “irregular au bumpy shape”...

View attachment 152388View attachment 152389
photo source: wikipedia.


Kama tunavyoweza kuona kwenye picha hiyo ndio shape halisi ya dunia… tuanaweza kuona milima ,mabonde na vitu vingine vilivyopo kwenye uso wa dunia!!!


Strange but True: Earth Is Not Round - Scientific American
What is the geoid?
The Real Shape of Earth - CNRS Web site - CNRS
 
Kusema kwamba sio vyote visivyoonekana havipo si sawa na kusema kila kisichoonekana kipo. Na wala si kusema kwamba kila kionekanacho kipo.

The devil is in the details.

Ndiyo maana nikakuuliza mungu gani?

Kuna watu wanaabudu jua kama mungu wao.

Hawa wakiniambia.mungu wao yupo siwezi kuwabishia.
hapo kwenye red nilieleewa ndo maana nikakuuliza vipi khusu mungu?. yaani vyote mungu na intaneti havionekani lakini kwa nini intaneti iwepo na mungu asiwepo?. hapa nazungumzia mungu muumbaji wa vitu vyote vikiwemo jua, mwezi, watu na kila kitu.
 
hapo kwenye red nilieleewa ndo maana nikakuuliza vipi khusu mungu?. yaani vyote mungu na intaneti havionekani lakini kwa nini intaneti iwepo na mungu asiwepo?. hapa nazungumzia mungu muumbaji wa vitu vyote vikiwemo jua, mwezi, watu na kila kitu.

Kwa sababu intaneti inaelezeka kwa protocols za TCP/IP, kuna predictions kwamba ukinunua computer au simu ukawa na hardware na software fulani, ukawa na connection fulani, utaweza kujiunga na mtandao wa internet.

Mungu unayemuongelea anawezaje kuwa tested in a way that will conclusive point to the existwnce of god and god only as the cause of the results?
 
Very funny!!! Mungu gani? How many are they BELIEVER OF NO GOD?

Sijajua unashangaa kitu gani, Kiranga anauliza Mungu gani kwa sabau Mungu ni kitu tofauti kwa watu tofauti. Kila mmoja ana tafsiri yake ya Mungu. Kuna kosa yeye kutaka kujua unamuongelea Mungu gani? Kama wote tunaongelea Mungu mmoja tungekua tunavutana kila leo kuhusu Mungu? Si wote tungekua tunamjua?
Kwa hilo sijaona kustaajabishwa na hilo swali.
 
Last edited by a moderator:
Kwa sababu intaneti inaelezeka kwa protocols za TCP/IP, kuna predictions kwamba ukinunua computer au simu ukawa na hardware na softqare fulani, ukawa na connection fulani, utawwza kujiunga na mtandao wa internet.

Mungu unayemuongelea anawezaje kuwa tested in a way that will conclusive point to the existwnce of god and god only as the cause of the results?

hapo kwenye red sio straight forward kama ilivyo kwenye intaneti lakini kuna some clues ambazo zinaonyesha kwamba kuna aliyeumba vitu hi.
1.vitu vipo complex sana. ukiangalia water cycle, ukiangalia ecosystem ni vigumu kutoamini kama havikuumbwa. huwa nasomasoma ishu za immunology zipo complex kiasi naona kutakuwa na superbeing amehusika kuumba.

2..biblia pia imetaja uwepo wa mungu (kama kitabu cha historia). watu wengi kama pontio pilato, nubukadneza na wengi waliotajwa kwenye biblia hutajwa pia kwenye vitabu vingine. pia mambo mengi ambayo hutajwa kwenye biblia yamethibitika kuwa yalitokea kweli . kama nisipoamini biblia sioni sababu ya kuamini stori za kimweri, kinjekitile au mankamusa
3.harafu kwanini binadamu tunajiona kama gold standard ya kipimo cha akili?. kama sisi tumempita akili mbwa ambaye nae kampita n'gombe. kwanini tunakataa kuamini kwamba kuna species yenye akili zaidi yetu au hata kutuumba?
umewahi cheki movie inaitwa prometheus?
 
Sijajua unashangaa kitu gani, Kiranga anauliza Mungu gani kwa sabau Mungu ni kitu tofauti kwa watu tofauti. Kila mmoja ana tafsiri yake ya Mungu. Kuna kosa yeye kutaka kujua unamuongelea Mungu gani? Kama wote tunaongelea Mungu mmoja tungekua tunavutana kila leo kuhusu Mungu? Si wote tungekua tunamjua?
Kwa hilo sijaona kustaajabishwa na hilo swali.

I did not ask you. Are you her apprentice? I believe the person can talk for herself without your help.

Do you know the meaning of "kumjua" or YOU ARE JUST A BLIND FOLLOWER of a diabolical cult that BELIEVES IN NO GOD and can not support their fiendish notions with impeccable evidences?
 
dunia ni duara ushaid sio mpaka uandike kimombo au uende nje ya dunia .sikia usiwe mbulula fanya hiv.tazama jicho lako tazama lens ni duara sio?toka nje litazame jua,mwez ni duara sio? aya tazama kupatwa kwa jua/mwez kinachopita ktk ni duara sio?malizia chukua kifan cha duara mf.goroli tazama vzr dunia ingekuwa hivyo 2ngeish vip?uwepo wa mabonde/milima/bahar haimaanish kwamba dunia si duara .ukubwa wake unathibitisha muunekano wake na muunekano huo utauona kupitia kupatwa kwa mwezi/jua.vp bro?
 
sindano hazijaingia vzr?malizia na hii.usiwe mbulula fikiria km mtengeneza tv angekuuzia tv bila ya kukufundisha namna bora ya kuitumia hyo tv?umepewa ktabu kwa lugha yako kitabu bora kuliko vyote dunia kinachosomwa mara 80000000 kwa siku.kitabu ambacho nakara zake ni kutoka kwa Muumbaji ambaye ni Mungu kitabu hicho sio lile lifotokopi maneno ya punda bali ni BIBLIA TAKATIFU ndani yake anaiitaja dunia kuwa duara na syari zote ni zake yeye ndiye aliyeifanya nakuiwekee nuru ku mbil jua/mwezi.vp br?
 
unajifanya msomi unapeluz pumba unazileta hapa eti mwanasayans flan alisema hv na we unaamin achen umbula ukasuku macho yenu hayaoni machweo na -----.usipende kuafiki chochote vingenevyo vitawaponza.yeyote aliyeweka uwalo.,km unajijua fuatishe toba hii.
.
.
.
.
.
.Bw MUNGU...................WE NDIYE MUUMBAJI WA MBINGU NA NCHI ................................................
.
.
.
.
.
.
safi sana napenda watu km wewe wanaotubu.
 
Sijajua unashangaa kitu gani, Kiranga anauliza Mungu gani kwa sabau Mungu ni kitu tofauti kwa watu tofauti. Kila mmoja ana tafsiri yake ya Mungu. Kuna kosa yeye kutaka kujua unamuongelea Mungu gani? Kama wote tunaongelea Mungu mmoja tungekua tunavutana kila leo kuhusu Mungu? Si wote tungekua tunamjua?
Kwa hilo sijaona kustaajabishwa na hilo swali.

Kuna vichaa wengine kama huyo wapo kwenye ignore list.

Hata sioni wanachoandika.

Na hata wakijibadilisha majina mara mia nawajua tu.
 
Last edited by a moderator:
[/COLOR]
hapo kwenye red sio straight forward kama ilivyo kwenye intaneti lakini kuna some clues ambazo zinaonyesha kwamba kuna aliyeumba vitu hi.
1.vitu vipo complex sana. ukiangalia water cycle, ukiangalia ecosystem ni vigumu kutoamini kama havikuumbwa. huwa nasomasoma ishu za immunology zipo complex kiasi naona kutakuwa na superbeing amehusika kuumba.

2..biblia pia imetaja uwepo wa mungu (kama kitabu cha historia). watu wengi kama pontio pilato, nubukadneza na wengi waliotajwa kwenye biblia hutajwa pia kwenye vitabu vingine. pia mambo mengi ambayo hutajwa kwenye biblia yamethibitika kuwa yalitokea kweli . kama nisipoamini biblia sioni sababu ya kuamini stori za kimweri, kinjekitile au mankamusa
3.harafu kwanini binadamu tunajiona kama gold standard ya kipimo cha akili?. kama sisi tumempita akili mbwa ambaye nae kampita n'gombe. kwanini tunakataa kuamini kwamba kuna species yenye akili zaidi yetu au hata kutuumba?
umewahi cheki movie inaitwa prometheus?

I have debunked point number one umpteenth times before here.

If everything complex will need a creator, then that creator will necessarily need to be more complex than the created.

Following that line of logic, if god created all these complex things, god himself will be complex and will need a creator, a more complex creator, and his creator will need an even more complex creator, ad infinitum, ad absurdum.

Biblia haiwezi kuwa ni kitabu cha mungu kwa sababu ina makosa mengi sana ya kibinadamu. Mungu mwenye uwezo wote, upendo wote na ujuzi wote anatakiwa awe efficient zaidi katika ku communicate ujumbe wake kukiko hii series ya contradictions unayoita biblia. And why the bible, not the Quran, Bhagavad Gita, books from Dhammapada, Confucianism, Taoism etc?

Kama unaona binadamu anaweza kuzidiwa na mungu, mungu anaweza kuzidiwa na mungu wake, kitu kitakachomfanya mungu asiwe mungu kwa maana ya muumba wa vyote. Hapa tunarudi kwenye aspects za point 1 above. Kwa nini mungu ndiye awe gold standard na asiwe na muumba wake?
 
Kwa sababu intaneti inaelezeka kwa protocols za TCP/IP, kuna predictions kwamba ukinunua computer au simu ukawa na hardware na software fulani, ukawa na connection fulani, utaweza kujiunga na mtandao wa internet.

Mungu unayemuongelea anawezaje kuwa tested in a way that will conclusive point to the existwnce of god and god only as the cause of the results?

Kiranga.
Ziba pua na mdomo wako kwa dakika 3 tu..usivute pumzi,unaruhusiwa kutoa pumzi lakini usivute. Ukiweza hili basi utakuwa umegundua kuwa Mungu yupo au ni hadithi tu.
 
Kiranga.
Ziba pua na mdomo wako kwa dakika 3 tu..usivute pumzi,unaruhusiwa kutoa pumzi lakini usivute. Ukiweza hili basi utakuwa umegundua kuwa Mungu yupo au ni hadithi tu.

Non sequitur.

Wengine wanaweza kusema binadamu kufa kirahisi hivyo kunaonyesha kwamba hakuumbwa na mungu muweza yote.

Kwa sababu angeumbwa na mungu huyo asingeweza kufa kirahisi hivyo.

You are drawing a connection where there is none, and forcing one will only provide results to contradict your position.
 
Non sequitur.

Wengine wanaweza kusema binadamu kufa kirahisi hivyo kunaonyesha kwamba hakuumbwa na mungu muweza yote.

Kwa sababu angeumbwa na mungu huyo asingeweza kufa kirahisi hivyo.

You are drawing a connection where there is none, and forcing one will only provide results to contradict your position.
Give it a try and let the results contradict/confirm your position.
 
Back
Top Bottom