IGWE
JF-Expert Member
- Feb 3, 2011
- 9,714
- 8,118
Wanadanganya kwa faida gani mkuuJe ni kwanini mshale upo kwenye saa ya mkononi au ukutani hlakini haugusi namba zote kwa wakati mmoja?? we elewa tunapata usiku na mchana kwa sababu jua ni taa ndogo haiwezi kumulika dunia kwa mpigo inamulika huku ikizunguka, yaan kama mshale unavozunguka kutupa majira ya saa na dk ndiyo jua hutupa siku week mwezi na mwaka.