Dunia sio duara!

Dunia sio duara!

Nimeona kichwa cha uzi nikastuka nafungua hamna cha maana.
 
hivi kuna yeyote kati yetu alie wahi kwenda nje ya dunia na kuipiga picha tukaiona ni ya duara, si tunaletewa tu picha kwamba ni duara.., mi nimeamua kugoma mpaka niende nikahahakishe mwenyewe.., dunia sio duara kabisa..!

Ndio maana wale BELIEVERS OF NO GOD, wamegoma kuamini Mungu eti kwasababu hawajawai ona picha yake au ongea nae. VERY POOR THINKING.
 
hivi kuna yeyote kati yetu alie wahi kwenda nje ya dunia na kuipiga picha tukaiona ni ya duara, si tunaletewa tu picha kwamba ni duara.., mi nimeamua kugoma mpaka niende nikahahakishe mwenyewe.., dunia sio duara kabisa..!

Bangi mbaya
 
Jaribu tu kutembea/ kusafiri kutoka Dar (eastwards) nenda Zenji (eastwards) hadi Australia na baada ya hapo endelea mbele (eastwards)uone kama hutaibukia America (as a continent), endelea kusonga (Eastwards) utatokea Kongo Kinshasa na endelea kusonga tu (Eastwards) utatokea kwa Kagame na ukizidi kwenda utaona kama hutachomokea bongo ulikoanzia. Na baada ya hapo rudi hapa jamvini utuambie kama dunia ni bapa au duara?????

Very constructive.
 
hivi kuna yeyote kati yetu alie wahi kwenda nje ya dunia na kuipiga picha tukaiona ni ya duara, si tunaletewa tu picha kwamba ni duara.., mi nimeamua kugoma mpaka niende nikahahakishe mwenyewe.., dunia sio duara kabisa..!

Nilivyoona title nikafikiri ndani nitakuta umeshusha facts na data,

Kumbe unatuuliza!!??
 
Mkuu wew ndio umezalwa leo nin? tafta buk jero kesho twende zetu nkupeleke
 
Kwani Hatakama Sio Duara We Unafaidka Kwalip Au Unapata Nn Au Utachukua Atua Gan Bangi Some Time Nikichomi,
 
Hizi ni dalili kwamba Pasaka hii imekaa vibaya kwao.
 
hivi kuna yeyote kati yetu alie wahi kwenda nje ya dunia na kuipiga picha tukaiona ni ya duara, si tunaletewa tu picha kwamba ni duara.., mi nimeamua kugoma mpaka niende nikahahakishe mwenyewe.., dunia sio duara kabisa..!

Gomba baya sana bora majani
 
Afadhali kwanza umeamini kama kitu dunia kipo, ungesema hakuna dunia sijui tungeanzaje. Dunia ni umbo la yai linalojizungusha lenyewe mizunguko miwili tofauti kwa wakati mmoja

DUNIA haipo SOMA
 
hivi kuna yeyote kati yetu alie wahi kwenda nje ya dunia na kuipiga picha tukaiona ni ya duara, si tunaletewa tu picha kwamba ni duara.., mi nimeamua kugoma mpaka niende nikahahakishe mwenyewe.., dunia sio duara kabisa..!

Umenichekesha sana .asante
 
Hahahaha hhahahh na utakufa hujawahi fika

Maana kule huendi kwa maneno pekee

Sayansi huwa kuna evidence kwahiyo hawawezi kufanya kitu bila ushahidi wenyewe

Sio siri umevurugwa mkuu!

Okay,kindly let us know of ur findings when ur back

hakuna alokufundisha kuwa dunia ni mduara umeamua kutumia ujinga wako kusema hivyo.kwa ufupi dunia ina umbo la tufe nikufute tu ujinga

Unaitaji Msamamizi wa kuwa karibu yak0 Mkuu kwan unakoelekea unataka kuchizika au umevurugwa na mwalimu wako wa jografia std iv

Jaribu tu kutembea/ kusafiri kutoka Dar (eastwards) nenda Zenji (eastwards) hadi Australia na baada ya hapo endelea mbele (eastwards)uone kama hutaibukia America (as a continent), endelea kusonga (Eastwards) utatokea Kongo Kinshasa na endelea kusonga tu (Eastwards) utatokea kwa Kagame na ukizidi kwenda utaona kama hutachomokea bongo ulikoanzia. Na baada ya hapo rudi hapa jamvini utuambie kama dunia ni bapa au duara?????

Afadhali kwanza umeamini kama kitu dunia kipo, ungesema hakuna dunia sijui tungeanzaje. Dunia ni umbo la yai linalojizungusha lenyewe mizunguko miwili tofauti kwa wakati mmoja

Hebu angalia jua linapochomoza, then lifuatilie hadi linavyozama, utabaini mwenendo wa jua wa kiduara-duara(tufe)

hivi kuna yeyote kati yetu alie wahi kwenda nje ya dunia na kuipiga picha tukaiona ni ya duara, si tunaletewa tu picha kwamba ni duara.., mi nimeamua kugoma mpaka niende nikahahakishe mwenyewe.., dunia sio duara kabisa..!

Labda tuanze kwa kujuzana nini maana ya duara au circle? kikawaida katika duara, umbali kutoka point moja mpaka centre ni sawa katika kila point(every point being equidistant from the center point)!!
Je umbali kutoka ikweta mpaka katikati ya dunia (center of the earth) ni sawa na umbali kutoka kwenye poles (sourth na north pole)??? Jibu ni kwamba havipo sawa kwani umbali kutoka ikweta mpaka katikati ya dunia ni kilomita 21 tofauti na kutoka kwenye poles!!! Mpaka hapa tunaeza ona kwamba dunia sio duara!!!



Lakini tukiangalia publish na tafiti mbali mbali pia tunaeza ona umbo halisi la dunia sio duara wala tufe!! Tukitumia tu uelewa wa kawaida, embu tuangalie uwepo wa mabonde, milima ,mito, maziwa kwenye uso wa dunia, je bado tutashawishika kwamba dunia ni tufe au duara??

Ki uhalisia ni kwamba umbo la dunia sio halisi (irregular shape) au kwa lugha nyingine tunaeza sema ni ni bumpy shape!!


Hii dhana ya kusema dunia ni duara imetoka wapi hasa??

Wanasayansi wamechukulia dunia ni sphere kama model tu (na ifaamike kuna model kama mbili zaidi) ambazo wao wanazitumia katika kufanya mahesabu na tafiti mbali mbali mfano kuchora ramani, kutafuta umbali kutoka point moja mpaka nyingine, na mahesabu mbali mbali yanayohusu kani mvutano(force of gravity) ila ki uhalisia tunaposema dunia ni sphere au circle hizo ni “model which present the shape of the earth ambazo zimewekwa kurahisisha tafiti na hesabu (calculations)" na kiuhalisia umbo la dunia sio sphere wala duara bali ni “irregular au bumpy shape”...

View attachment 152388View attachment 152389
photo source: wikipedia.


Kama tunavyoweza kuona kwenye picha hiyo ndio shape halisi ya dunia… tuanaweza kuona milima ,mabonde na vitu vingine vilivyopo kwenye uso wa dunia!!!


Strange but True: Earth Is Not Round - Scientific American
What is the geoid?
The Real Shape of Earth - CNRS Web site - CNRS
 
Labda tuanze kwa kujuzana nini maana ya duara au circle? kikawaida katika duara, umbali kutoka point moja mpaka centre ni sawa katika kila point(every point being equidistant from the center point)!!
Je umbali kutoka ikweta mpaka katikati ya dunia (center of the earth) ni sawa na umbali kutoka kwenye poles (sourth na north pole)??? Jibu ni kwamba havipo sawa kwani umbali kutoka ikweta mpaka katikati ya dunia ni kilomita 21 tofauti na kutoka kwenye poles!!! Mpaka hapa tunaeza ona kwamba dunia sio duara!!!



Lakini tukiangalia publish na tafiti mbali mbali pia tunaeza ona umbo halisi la dunia sio duara wala tufe!! Tukitumia tu uelewa wa kawaida, embu tuangalie uwepo wa mabonde, milima ,mito, maziwa kwenye uso wa dunia, je bado tutashawishika kwamba dunia ni tufe au duara??

Ki uhalisia ni kwamba umbo la dunia sio halisi (irregular shape) au kwa lugha nyingine tunaeza sema ni ni bumpy shape!!


Hii dhana ya kusema dunia ni duara imetoka wapi hasa??

Wanasayansi wamechukulia dunia ni sphere kama model tu (na ifaamike kuna model kama mbili zaidi) ambazo wao wanazitumia katika kufanya mahesabu na tafiti mbali mbali mfano kuchora ramani, kutafuta umbali kutoka point moja mpaka nyingine, na mahesabu mbali mbali yanayohusu kani mvutano(force of gravity) ila ki uhalisia tunaposema dunia ni sphere au circle hizo ni "model which present the shape of the earth ambazo zimewekwa kurahisisha tafiti na hesabu (calculations)" na kiuhalisia umbo la dunia sio sphere wala duara bali ni "irregular au bumpy shape"...

View attachment 152388View attachment 152389
photo source: wikipedia.


Kama tunavyoweza kuona kwenye picha hiyo ndio shape halisi ya dunia… tuanaweza kuona milima ,mabonde na vitu vingine vilivyopo kwenye uso wa dunia!!!


Strange but True: Earth Is Not Round - Scientific American
What is the geoid?
The Real Shape of Earth - CNRS Web site - CNRS

Aiseeeeee!!!!!!!!!!!!
 
Labda tuanze kwa kujuzana nini maana ya duara au circle? kikawaida katika duara, umbali kutoka point moja mpaka centre ni sawa katika kila point(every point being equidistant from the center point)!!
Je umbali kutoka ikweta mpaka katikati ya dunia (center of the earth) ni sawa na umbali kutoka kwenye poles (sourth na north pole)??? Jibu ni kwamba havipo sawa kwani umbali kutoka ikweta mpaka katikati ya dunia ni kilomita 21 tofauti na kutoka kwenye poles!!! Mpaka hapa tunaeza ona kwamba dunia sio duara!!!



Lakini tukiangalia publish na tafiti mbali mbali pia tunaeza ona umbo halisi la dunia sio duara wala tufe!! Tukitumia tu uelewa wa kawaida, embu tuangalie uwepo wa mabonde, milima ,mito, maziwa kwenye uso wa dunia, je bado tutashawishika kwamba dunia ni tufe au duara??

Ki uhalisia ni kwamba umbo la dunia sio halisi (irregular shape) au kwa lugha nyingine tunaeza sema ni ni bumpy shape!!


Hii dhana ya kusema dunia ni duara imetoka wapi hasa??

Wanasayansi wamechukulia dunia ni sphere kama model tu (na ifaamike kuna model kama mbili zaidi) ambazo wao wanazitumia katika kufanya mahesabu na tafiti mbali mbali mfano kuchora ramani, kutafuta umbali kutoka point moja mpaka nyingine, na mahesabu mbali mbali yanayohusu kani mvutano(force of gravity) ila ki uhalisia tunaposema dunia ni sphere au circle hizo ni "model which present the shape of the earth ambazo zimewekwa kurahisisha tafiti na hesabu (calculations)" na kiuhalisia umbo la dunia sio sphere wala duara bali ni "irregular au bumpy shape"...

View attachment 152388View attachment 152389
photo source: wikipedia.


Kama tunavyoweza kuona kwenye picha hiyo ndio shape halisi ya dunia… tuanaweza kuona milima ,mabonde na vitu vingine vilivyopo kwenye uso wa dunia!!!


Strange but True: Earth Is Not Round - Scientific American
What is the geoid?
The Real Shape of Earth - CNRS Web site - CNRS

WAAMBIWE HAO WAKARIRISHAJI. na kwa taarifa yenu DUNIA HAIPO.., ni kitu kama computer programme tu iliyotengenezwa na some superior being, yaani hapo ulipo ni unaota.., wala haupo kabisa..
 
Exorcist unamaanisha nini unaposema dunia haipo?
na kwa taarifa yenu DUNIA HAIPO.., ni kitu kama computer programme tu iliyotengenezwa na some superior being, yaani hapo ulipo ni unaota.., wala haupo kabisa..
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom