ERoni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 43,784
- 90,498
Hahahaha, dah!!!Angalieni hii video mshuhudie maajabu zaidiView attachment 879629
Madhara ya kukaririshwa hayo.
Hahahaha, dah!!!Angalieni hii video mshuhudie maajabu zaidiView attachment 879629
Huwezi jua, labda muandishi amesafiri mpaka Hell akawahoji hao watu akasafiri akarudi tena kwenye hili tufe mnaloliita dunia alafu akaandika hii makala.Kumbe siku hizi maiti wanaongea na kusimulia
Marehemu wapone haraka hahaha... angekuwa dogo huyo afande tungesema bange...sasa huyo ni nini anaropoka utadhani amekatwa kichwaPengine kaiga huku View attachment 879625
No mwandishi ni wa MV Bukoba.Duuuuh! Ni hatareeee! Kama ndivyo ilivyo! Nadhani wanasimuliana wenyewe kwa wenyewe! Hata mwandishi naye alikufa na MV Nyerere!
Hajasema! Lakin tafsiri yakoKumbe siku hizi maiti wanaongea na kusimulia