














Aisee " Muandishi na yeye anatafuta teuzi nini"... Maana sifa kuu yakuteuliwa lazima uwe kichaa


Pengine kaiga huku View attachment VID-20180925-WA0121.mp4hii habari nadhani imeandikwa na either mtaalam wa mambo ya dark arts au mtu asyeijua lugha ya kiswahili vizuri
hahaa
Hao ndio waandishi uchwara waliobaki Tanzania
Waandishi makini walishapoteza na wengine kuuawa tangu kipindi cha mpito kilipoanza![]()
Kumbe hamna kituo,basi tuombe huo msaadaTusisubiri kituo, tuombe msaada tutani
Kwa mujibu wa gazeti la uh...Kumbe siku hizi maiti wanaongea na kusimulia
Nauli mkononi!kondaa msaada kichuminii kwa kombee
Hahahaaaaaaa, mkuu nawashwawashwa kuifowadi wasapu ila naogopa kipigo cha mbwa koko.Angalieni hii video mshuhudie maajabu zaidiView attachment 879629