Dunia simama..

Dunia simama..

Umekulia seminary na hivyo unaona ajabu? Kuna nini kipya hapo ambacho hakijaelezwa kwenye miji ya sodoma na Gomorrah?

Mtu kucheza ndio dunia isimame? Tembea mkuu ujionee mambo yanayoweza kudimamisha dunia
 
Umekulia seminary na hivyo unaona ajabu? Kuna nini kipya hapo ambacho hakijaelezwa kwenye miji ya sodoma na Gomorrah?

Mtu kucheza ndio dunia isimame? Tembea mkuu ujionee mambo yanayoweza kudimamisha dunia
Kwa mfano hapo anakuwa amelipwa shing ngapi!?
Lord!!
 
Hivyo wanaume wa Dar..mkiishiwa nguvu za Kiume alaumiwe nani.!?
 
Back
Top Bottom