Hapa ni kitambaa sinza
Kwa mfano hapo anakuwa amelipwa shing ngapi!?Umekulia seminary na hivyo unaona ajabu? Kuna nini kipya hapo ambacho hakijaelezwa kwenye miji ya sodoma na Gomorrah?
Mtu kucheza ndio dunia isimame? Tembea mkuu ujionee mambo yanayoweza kudimamisha dunia