Dunia simama nishuke

Dunia simama nishuke

Hilo gazet la kuzimu limetoka wapi huku dunian?
 
maiti hawapendi ujinga, wamerudi kufatilia rambirambi zao.
 
Wamesimulia wakiwa kuzimu tayari??? Mwandishi aliwafuata mpaka huko....kweli hapendi ujinga
 
Hii habari ilivuja kutoka gazeti la huko kuzimu maana marehemu walikuwa wana wasumulia wwnyeji wao huko na mwandishi akaripoti kwa magazeti ya huko, swali la msingi nani aliyevujisha?🌚🌚🌚
 
Hii habari ilivuja kutoka gazeti la huko kuzimu maana marehemu walikuwa wana wasumulia wwnyeji wao huko na mwandishi akaripoti kwa magazeti ya huko, swali la msingi nani aliyevujisha?
 
Back
Top Bottom