Huu sio msingi katika kufasiri Qur'aan na ndio maana nilikwambia huko nyuma aya hufasiriwa kulingana na muktadha na mtiririko ulivyo na kutokana na athari,ndio maana nimekuwekea hiyo aya ili ujue na uone kwamba hicho unachokiulizia sio msingi na hakipo.nimetaka aya ambayo Allah anajisifia ufundi wa kuumba alafu hilo liwe linamaanisha
Soma aya angalia wanazuoni wamefasiri kutoka kwa mtume au kwa maswahaba.
Ndio maana nakuuliza hivi huo msingi unao usema umeutoa wapi ? Naomba ujibu hili swali.