Amehlo
JF-Expert Member
- May 8, 2019
- 10,415
- 30,132
Vyote kwa pamoja 😂 imenishtua afu imenishangazaUnashtuka unashangaa???
Vyote kwa pamoja 😂 imenishtua afu imenishangazaUnashtuka unashangaa???
Hapo sina la kusemavyote kwa pamoja 😂 imenishtua afu imenishangaza
Grave mistake!Hapa katumia mihemko,amekua kama mpiga debe anaropoka tu,kwanini asingemtumbua kistarabu,mengine yangebaki siri ya office..Karopoka tu ajui madhara yake..
Huyo jamaa anazungukwa na jamii kubwa,inamwangaliaje?
Chanzo cha kuivunja familia ya huyo jamaa,inawezekana mke alikua hajui hayo maovu ya mmewe sasa kajua pamoja na jamii nzima,mama anaificha wapi sura yake,jamii inamwangaliaje?
Vipi atavumilia kukaa na mume mzinzi? (japo sidhani kama wana ushahid)
Je ndoa ikivunjika ni nan anaumia?si mwanamke na watoto?
Hapa jiwe kabugi.
Procedures za utumbuaji zimefatwa. Kama Rais anajua sifa za jamaa kwann mkewe asijueKwa upeo wako Rais yuko na akili kuliko watanzania wote?
Nafasi ya kusikilizwa alipewa ndyo maana Rais kasema alimuonya mara kadhaa lakin bado hakusikiaSawa hata mimi nasapoti kutumbuliwa,lakini ushahidi thabiti upo?alihojiwa na kupewa nafas ya kujieleza?huenda kuna mambo yako nyuma ya pazia hakuna anayejua.
Afadhali maana ungekua nalo tena nami ningekosa la kujibuHapo sina la kusema
Rais; Umeteuliwa kuwa DAS kuanzia sasa.".......yupo DAS nasikia anamapungufu ya kimaadili, anachukua wake za watu, sasa natengua uteuzi wake, RC nani unadhani anawezaweza hii kazi?"
RC: Yupo afisa tawala wa wilaya anaweza.
Rais; Mama unaelimu gani?
Mteule; Nina masters in Public administration.
Rais; Umeteuliwa kuwa DAS kuanzia sasa. Mwandikieni barua huyu mama hii leo, mambo mengine tunayamaliza hapahapa. *Sasa na ninyi mkagombanie wanaume na mkuu wa wilaya*
Vipi kavunja katiba tena au hakufanya vile ambavyo kwa utashi wako unaona ndio anatakiwa afanye?!Yaani kama vile anagawa kuku wake kutoka bandani! Tumeliwa sana watanzania. johnthebaptist
Unaona mbuzi huyu? Anakula majani tu ndicho anachojua na kuwa Jiwe ndiye MunguKwa upeo wako Rais yuko na akili kuliko watanzania wote?