Dunia inakwenda kasi sana

Dunia inakwenda kasi sana

".......yupo DAS nasikia anamapungufu ya kimaadili, anachukua wake za watu, sasa natengua uteuzi wake, RC nani unadhani anawezaweza hii kazi?"

RC: Yupo afisa tawala wa wilaya anaweza.

Rais; Mama unaelimu gani?

Mteule; Nina masters in Public administration.

Rais; Umeteuliwa kuwa DAS kuanzia sasa. Mwandikieni barua huyu mama hii leo, mambo mengine tunayamaliza hapahapa. *Sasa na ninyi mkagombanie wanaume na mkuu wa wilaya*
Haina afya ktk utumishi wa umma, nampenda Magufuli ila aina hii ya utumbuwaji kiukweli inashusha iman kwa watu wenye akili nakupoteza sifa ya sheria zetu. Haki yakusikilizwa na kujieleza.
 
Mamlaka ya RAIS siyo madogo katika uteuzi,asubiri nini ilihali mamlaka anayo na anaimba kila siku kufanya kazi,afu watu wasubili eti mpaka akajifungie ndani na kina nani ndo ateue ili nini? Sema watu wengi humu ambao hua ni mabingwa wa kuponda hua ni kati ya wale wale walio tumbuliwa, walio zibiwa mianya ya wizi na wa vyeti feki..wanakua na hasira na wanakuja na mada za kuuaminisha uma ya kua mzee hafai,kwanza bila namna hizo waTanzania hawawezi kwenda,ni vichwa ngumu sana
 
Mamlaka ya RAIS siyo madogo katika uteuzi,asubiri nini ilihali mamlaka anayo na anaimba kila siku kufanya kazi,afu watu wasubili eti mpaka akajifungie ndani na kina nani ndo ateue ili nini? Sema watu wengi humu ambao hua ni mabingwa wa kuponda hua ni kati ya wale wale walio tumbuliwa,walio zibiwa mianya ya wizi na wa vyeti feki..wanakua na hasira na wanakuja na mada za kuuaminisha uma ya kua mzee hafai,kwanza bila namna hizo waTanzania hawawezi kwenda,ni vichwa ngumu sana
Ni vilaza tu kwa hii ndio habari/kitu Cha ajabu,hawakushangaa chadema kuwatangazia wabunge wao wamefukuzwa Tena wakiwa bungeni bila kuitwa kuhojiwa Wala kupewa barua
 
Haina afya ktk utumishi wa umma, nampenda Magufuli ila aina hii ya utumbuwaji kiukweli inashusha iman kwa watu wenye akili nakupoteza sifa ya sheria zetu. Haki yakusikilizwa na kujieleza.
Huna hata historia ya enzi za manabii uongozi ulikuaje? unadhani Rais ni kama mmiliki wa duka la ujenzi?
 
Kati ya watu wengi waliotumbuliwa na magufuli ila huyu najikuta kumuonea huruma...
 
Namanyere itakufaa sana. Ongeza bidii
Mamlaka ya RAIS siyo madogo katika uteuzi,asubiri nini ilihali mamlaka anayo na anaimba kila siku kufanya kazi,afu watu wasubili eti mpaka akajifungie ndani na kina nani ndo ateue ili nini? Sema watu wengi humu ambao hua ni mabingwa wa kuponda hua ni kati ya wale wale walio tumbuliwa,walio zibiwa mianya ya wizi na wa vyeti feki..wanakua na hasira na wanakuja na mada za kuuaminisha uma ya kua mzee hafai,kwanza bila namna hizo waTanzania hawawezi kwenda,ni vichwa ngumu sana
 
Haina afya ktk utumishi wa umma, nampenda Magufuli ila aina hii ya utumbuwaji kiukweli inashusha iman kwa watu wenye akili nakupoteza sifa ya sheria zetu. Haki yakusikilizwa na kujieleza.
 
".......yupo DAS nasikia anamapungufu ya kimaadili, anachukua wake za watu, sasa natengua uteuzi wake, RC nani unadhani anawezaweza hii kazi?"

RC: Yupo afisa tawala wa wilaya anaweza.

Rais; Mama unaelimu gani?

Mteule; Nina masters in Public administration.

Rais; Umeteuliwa kuwa DAS kuanzia sasa. Mwandikieni barua huyu mama hii leo, mambo mengine tunayamaliza hapahapa. *Sasa na ninyi mkagombanie wanaume na mkuu wa wilaya*
Hahahhhhhh hii inapatikana bongo tu
Kazi ipo
Ni mapendo mwanzo mwisho utapoteza kazi au utapata teuzi
Mahaba niue
Kwani naniluu ni mke wa mtu au mie sijaelewa!
 
Haina afya ktk utumishi wa umma, nampenda Magufuli ila aina hii ya utumbuwaji kiukweli inashusha iman kwa watu wenye akili nakupoteza sifa ya sheria zetu. Haki yakusikilizwa na kujieleza.
Kwa Akili yako unaweza kudhani kuwa huyo DAS hakusikilizwa... Ukimsikiliza Mh rais amesema kuwa ALIMUONYA MARA KADHAA KUACHA HIYO TABIA LAKINI IKAONEKANA HAREKEBISHIKI (KIBURI/ALILEMAZWA NA TABIA YAANI ALIKUWA ADDICTED)

Kwa hiyo ni wazi kuwa alipewa haki ya kusikilizwa unayoisema... msipende kuzodoa vtu msivyovijua... Rais yuko sahihi

Kuhusu kuteua papo hapo... kwa akili za watu wengi wanaweza kudhan kuwa Rais Amefanya uamuzi pale pale

Kumbe huenda uamuzi ulishafanywa na uteuzi ulishafanyika ilikuwa bado kutangaza tu

Msijifanye mna akili kuliko Rais

Amefanya uamuzi halali na wa kisheria... labda mmekuwa wagen wa staili anayotumia... Rais wetu ni msema kweli na hapendelei wala kuonea watu. Ukiona umetumbuliwa ujue umefeli kwenye nafasi yako. Ukionywa badilika
 
Kuna maneno mengine si ya kuongea kwenye kadamnasi ukiwa na wadhifa fulani wa juu!
Hapa katumia mihemko,amekua kama mpiga debe anaropoka tu,kwanini asingemtumbua kistarabu,mengine yangebaki siri ya office..Karopoka tu ajui madhara yake..
Huyo jamaa anazungukwa na jamii kubwa,inamwangaliaje?
Chanzo cha kuivunja familia ya huyo jamaa,inawezekana mke alikua hajui hayo maovu ya mmewe sasa kajua pamoja na jamii nzima,mama anaificha wapi sura yake,jamii inamwangaliaje?
Vipi atavumilia kukaa na mume mzinzi? (japo sidhani kama wana ushahid)
Je ndoa ikivunjika ni nan anaumia?si mwanamke na watoto?
Hapa jiwe kabugi.
 
Aende mahakamani..siamini sana mtu kuonewa tu bila utovu wa nidhamu wa aina yoyote ile big NO
Sawa hata mimi nasapoti kutumbuliwa,lakini ushahidi thabiti upo?alihojiwa na kupewa nafas ya kujieleza?huenda kuna mambo yako nyuma ya pazia hakuna anayejua.

JAH Rastafari Morning Africa.Trust JAH respect nature
 
Mamlaka ya kukutumbua anayo uende mahakamani kufanya nini?Angalau kapewa nafasi ya kupangiwa sehem ingine ya kazi,sio mbaya.

Mimi ninachopinga ni namna ya utumbuaji wake.
Ingia kwenye anga zake upate vyako...mamlaka haiko kufurahisha kila moyo wa mtu kulingana na mawazo yake,ndiyo maana hata manabii na mitume walikataliwa na kupingwa na hata kuuwawa lakini walibaki kua ni manabii wa MUNGU mpaka kesho
 
Back
Top Bottom