Dunia imejaa watu waongo

Kiwango cha maumivu ninayopitia nina hakika 💯 sijawahi kuumiza mtu yoyote kwa kiwango hicho
 
Eti umeenda kuzimu na kurudi 🤣🤣
Hayo ni matatizo ya afya ya Akili mkuu.

Yale yale mnakuja ooh nimeonana na Mungu ameniambia hivi na vile 🤣 🤣
Uchizi mtupu
 
Mtu yuko zake hapa anavuta hewa ya bure ya MUNGU,

Akitoka anenda kula zake kitimoto wa MUNGU, anashushia na wine iliyotengezwa zabibu za MUNGU,

Kisha Anaenda kwa demu wake aliyeumbwa na MUNGU,

Anapiga zake kimoja kilichodizainiwa na MUNGU,

Anaenda zake kuoga na maji ya MUNGU,

Kisha analala kwenye godoro lake la kunesanesa lilotengezwa na mazao na vyuma vya MUNGU,

Akiamka full kuperuzi jf na vifaa vilivyotengenzwa na malighafi za MUNGU,

kupost kumdhihaki MUNGU.
 
Mkuu jaziliza madini kwenye andiko lako tupate point za kuunga mkono hoja
 
we acha tu yaan
 
Kiwango cha maumivu ninayopitia nina hakika 💯 sijawahi kuumiza mtu yoyote kwa kiwango hicho
Relax mkuu, usione kwamba Mateso au hali unayopitia ni kwamba Kuna watu uliwaumiza.

Kuna watoto wachanga wanazaliwa wakiwa na Kansa, hawajamkosea yeyote ila ni magonjwa ambayo yapo tu.

Uwe mwema, uwe mbaya, matatizo au shida haibagui mtu.

Uwe unashinda kanisani,
Uwe unashinda Misikitini,
Au uwe unashinda bar unalewa na malaya,
Matatizo hayachagui yoyote.

Pamoja na changamoto zote kwenye maisha, Kuna furaha kidogo Sana Huwa unaipata, itumie hiyo nafasi kufurahia maisha.
 
Shukran
 
Mkuu nimeishiwa power nisaidie kujazia
Unafeli sana jamaa wewe ndio yaliyokukuta ulipaswa kumwaga shuhuda humu nasi tupate kujifunza lakini unakuja na thread ya kulalamika bila kuonyesha source ya kulalamika kwako inakuwa haileti maana
 
Kwahiyo unakubali Vyakula na vinywaji ameleta Mungu ?
Uko na safari ndefu mkuu.
Mpaka hewa unasema ni hewa ya Mungu 🤣 Hivi unajua mazingira ni nini?
 
Kama kwenda kuzimu na kurudi ni msemo tu Tukiamua kutumia Akili, basi hata mbinguni si sehemu halisi kama tukitumia akili
I cannot tolerate you anymore honestly, pls stop quoting me.

MUNGU anataka kupendwa.

Kupendwa ni hiari.

Maadam umemkataa achana naye.

Sasa mtu umemkataa unapoteza muda kumjadili wa nini! !

Kwanini unapoteza muda kujadili kitu ambacho hakipo? ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…