Red Giant
JF-Expert Member
- Mar 9, 2012
- 15,658
- 20,889
Duniani kote hii ishu bado haijaisha. Ilifikiriwa juwa labda demokrasia itafanya watu wapewe vyeo vya kiasiasa kutokana na uwezo na si uzao wai lakini hili bado halijatokea.
Ukiangalia kwenye vyeo kuanzia ubunge, uwaziri, ukuu wa mikoa, wilaya nk utakuta kuna proportional kubwa sana ya uzao wa waliowahi kuwa viongozi.
Sasa sijajua, ni kwamba watoto wa viongozi ndiyo wanakuwa na muelekeo wa kufanya siasa na kujua jinsi ya kuifanya au kuzaliwa kwao(noble birth) ndiyo kunakowabeba?
Naona kama demokrasia ni ubabaishaji tu.
Ukiangalia kwenye vyeo kuanzia ubunge, uwaziri, ukuu wa mikoa, wilaya nk utakuta kuna proportional kubwa sana ya uzao wa waliowahi kuwa viongozi.
Sasa sijajua, ni kwamba watoto wa viongozi ndiyo wanakuwa na muelekeo wa kufanya siasa na kujua jinsi ya kuifanya au kuzaliwa kwao(noble birth) ndiyo kunakowabeba?
Naona kama demokrasia ni ubabaishaji tu.