Dunia haina usawa


Mara nyingi sana wanaume Bad boys wanakuwaga na bahati ya kupendwa na wanawake wale walio wagumu sana wenye misimamo na wazuri kupindukia...

Kama hivyo Winfrida alivyozama kwa huyo jamaa tukutuku, pigaji na babe...

Cc: mahondaw
 

Inahuzuniasha sana...

Cc: mahondaw
 

Akiwa pale hospitalini si palikua na Balozi Mapoto mke wake, Rais na watu wengine...

Nahisi kuna mchezo hapo utakua amefanyika kumdhibiti huyu mwandishi wa habari...


Cc: mahondaw
 

Sasa je... nilijua tu Rais lazima atafanya kitu...

Isingekua raisi kumuachilia yule muandishi wa habari kirahisi rahisi hivi... arudi na ukweli wote, wakati kwa kiasi fulani ameshaanza kufanikiwa...


Cc: mahondaw
 

Hapa kuna harufu ya utapeli... hili sakata litakua limetengenezwa...


Cc: mahondaw
 

Inasikitisha sana...


Cc: mahondaw
 

Nilijua tu serikali bado ipo kwenye harakati za kuipoteza hiyo familia...

Big up sana kwa huyo mfanyabiashara aliyeamua kumsaidia Rosemary mke wa marehemu Balozi Mapoto...


Cc: mahondaw
 
Hivi huyp Rosemery alimtosa Rais nn?
Maana si kwa kuandamwa huku!
 
Hivi huyp Rosemery alimtosa Rais nn?
Maana si kwa kuandamwa huku!
Kuna wanaume washenzi acha tu!
Anamwandama mwanamke mpaka siku anaregeza ujue keshapata mwelekeo wa kula vitu!
Wanawake wana magumu sana kwa kiumbe hawa!
 
Kuna wanaume washenzi acha tu!
Anamwandama mwanamke mpaka siku anaregeza ujue keshapata mwelekeo wa kula vitu!
Wanawake wana magumu sana kwa kiumbe hawa!
Ila hata kuna wanawake makatili

Sema Rose hajafanyiwa poa
 
Mmh.....wanaume mmezidi.....
Mwanamke ukimkuta ukatili ujue ana homon za kiume au keshajeruhiwa sana ...

Hapa umetetea mwanamke kupitiliza
Wako makatili wa aina zote
Tena ogopa wana wake makatili wanakuwaga hawafai
 

Hapa umetetea mwanamke kupitiliza
Wako makatili wa aina zote
Tena ogopa wana wake makatili wanakuwaga hawafai
Inawezekana.....
Lakini mfumo dume wa kujiona wanaume wako juu ya mwanamke unachangia sana...akitaka kitu akanywimwa hapo anageuka kabisa!
Ila......
Mi siongei ..dunia hii ...
 

Hapa umetetea mwanamke kupitiliza
Wako makatili wa aina zote
Tena ogopa wana wake makatili wanakuwaga hawafai
Mwanamke hata liwa kamili wa kutupa lakini ukipata mwanamme saivi kwa mda sahihi anatulia kabisa ....
Tatizo hakuna wanaume wa hivyo siku hizi....suruwali nyingi tu...mikanda urembo!
 
Mwanamke hata liwa kamili wa kutupa lakini ukipata mwanamme saivi kwa mda sahihi anatulia kabisa ....
Tatizo hakuna wanaume wa hivyo siku hizi....suruwali nyingi tu...mikanda urembo!
Hahahahah
Unaamini mwanaume akiwa katili anaweza tulizwa na mwanamke?
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…