Duh! Ila wanyaturu ni warembo mpaka basi

nimeishi Singida, binafsi niliona Wambulu na warangi ni warembo kuliko wanyaturu. wanyaturu wazuri uso tu, ila chini makalio hawana, miguu kama chelewa, japo sio wote. pia ni malaya sana, hata akiwa na mimba ukimwomba wewe mtu baki anakupa. hawana taboos sana kwenye mambo ya mapenzi.
Wale asili yao cushtic ndo maana hawana matako. Kitu mbantu bwana! Acha kabisa.
 
Hiyo ya kuhamia naona ni wanawake wa kisingida wote mwanamke atakusanya ukoo wake wote watajazana kwako wana mambo ya kiwaki sana.
Hii kweli 🤣🤣🤣 kuna babu yangu baba mdogo wa mama yangu alioa mnyiramba yule mama ndugu zake walikua hawakauki pale maana mzee alikua na mkwanja sio wa kitoto.
 
Kabisa nimekula toto za kinyaturu sura nzuri tako flat mamaye labda awe kachanganyika na hizi bantu people the likes of Sukuma, Nyiramba. Achana na wabantu bwana!
Wale Nyaturu asili yao ni cushtic ndo maana hawana chur.

Kuna demu mimi nilimwacha kwa sababu hiyo. Nilikuwa nikipeleka mkono kwenye chuo katako kake kalikuwa kanajaa kwenye Kiganja. Nikamla nikaacha hata kumtafuta kabisa maana mood ilikuwa ni ya kulazimisha.
IMG_1952.jpg
 
27 Reactions
Reply
Back
Top Bottom