Mshana Jr leo jipange brother!! Umekurupuka period!!Heading inasemaje kwanza hebu tuanzie hapo... Imehoji? Imeuliza au imetoa taarifa?, ni muhimu sana kwanza kuelewa hilo
Pili maudhui yanasemaje, yamechambua? yamethibitisha? Yameweka mjadala? Ama yamehukumu?
Tatu hitimisho linasemaje? Hapo ndipo uliposhindiwa wewe na ndio ukaona nami mimeshindwa
Unajua maana yake na matumizi yake?Nimepata msamiati "ngangaripoa"
Vita ni vita tu, huwezi jua hiyo vita nani atakuwa mshindi... Huwezi jua nani yupo nyuma ya nani, we need to stop fleshtradeNi suala la muda tu hana mwisho mwema amejiingiza kwenye vita nzito sana.
duh!!Mshana Jr umekumbana na dhoruba ya MAMBAZ KONK KONKORD MASTER BLACK DIRTY OIL?
duh!!Mtoa mada linaonekana huyu Jamaa anakuumiza kichwa sana naanza kukutilia mashaka na wewe konk konk konk master oil chafu. Naanza kuhisi na we ni gasho,
Wakapime kama kakosea dudubaya ainde jera kasema, daa mwanaume utatetea mashoga Wa nini bwana kama na wewe si mwemzao??????
comment za humu bwanaUnachomlaumu kukifanya Dudubaya kwa wengine, ndicho na wewe umekifanya hapa dhidi yake..
Je, na wewe tukupime kwenye mizani hiyo hiyo mkuu?
[emoji2] [emoji2] Wa tz waache tuTunaishi katika nyakati za ajabu mno... Yani dudubaya tayari kawa hero... [emoji23][emoji23][emoji23].. Zitto aliyesema kuna watu mia wameuawa amepelekwa lockup
Project inaanzishwa na kanda ya ziwa inarukiwa na kanda ya ziwa, inashikiwa kidedea na kanda ya ziwa woteKwenye ulimwengu wa jinsia kuna vinasaba huwatambulisha watu jinsia zao. Vinasaba hivyo ni kama
> Sauti
> Mavazi
> Umbo
> Tabia
> Urembo
Mwanamke mzuri anayejiamini hana makeke wala vipodozi vingi lakini akipita mahali na wengine kumi ataangaliwa ama kupewa alama za juu yeye.
Mwanamke asiyejiamini ni shughuli pevu. Kwanza vipodozi kama vyote, mikogo na maringo ndio usiseme, mjuaji yeye na mkamilifu yeye. Huyu akiwa mahali atalazimisha atambulike uwepo wake.
Kujadili watu na maisha yao pamoja na bifu za kijinga sio sifa ya mwanaume. Haya mambo tumezoea kuyaona kwa ndugu zetu wa jinsia pinzani. Unapoona mwanaume kila wakati ni mgomvimgomvi, mpenda sifa, mjuaji, mnyooshea wengine vidole, mchambaji basi tambua fika huyo kuna udhaifu anauficha na anaufidia kwa kufanya mambo kama hayo. Ana dalili ya vinasaba vya ushoga.
Godfrey ana tabia zote hizo; kupenda kulazimisha umaarufu kisanaa lakini pia kwa mambo yasiyomhusu. Ana mwili mkubwa lakini asilimia ya medulla imepishina njia na asilimia ya mwili.
Ameibuka kwa staili mpya ya kutaja wanaotuhumiwa kujihusisha na ushoga. Sasa hivi yuko mitandaoni. What a comeback!
Anatajataja tu watu na jamii bila kutafakari kwa makini inarindima na midundo yake bila kufahamu kuwa anajidhalilisha na anatumika. Akija kukwaa kisiki cha mpingo jamii hiyohiyo iliyokuwa ikimshangilia ndio hiyohiyo itakuwa ya kwanza kumnanga.
Asijisahau kuwa yeye ni mwanaume na akumbuke kama mwanaume anapaswa kufanya nini na sio kupayukapayuka tu.
Hizi ni dalili za kuwa ngangaripoa
Upo sawa,kuwa na mitazamo tofauti ni sehemu muhimu ya maishaSasa huo ni mtazamo wako na sio msimano wangu... Nikikuzuia kufikiri unavyodhani wewe naweza kuwa mwendawazimu na ile slogan ya JF ya the home of great thinkers nitakuwa sijaitendea haki
Maana yake hatuitaji kabisa mijadala ya kutetea mashoga kabisa, Tafuta mijala mingine tutachangia na kusifia lakini kwa hili la ushoga?? !!! Achana nalo litakudharirisha tu.[emoji23][emoji23][emoji23]kweli JF ya leo iko taaban kwenye mijadala
Sitaogopa kamwe kuweka mijadala hapa kwa kuogopa maoni ya wengine na tafsiti zao... Sitaogopa!
Mshana Jr leo jipange brother!! Umekurupuka period!!
Unashindwa kabisa kutetea hoja zako, unauliza kama dudu ni Ngangaripoa sijui una maana gani? Context ya andiko lako ni vitisho, kwamba ajiangalie sana, unasema anataja watu bila kutafakari kwa kina, nani amekudanganya hilo? Hao watu aliowataja kwanza wapo kwenye media, na majina yao kuhusishwa na ushoga hayajaanza leo wala jana..
Watoke front wakanushe, we unadai Konki anatumiwa, wewe je nani anakutumia kupitia jukwaa hili la JF? Jipange bro, hii ngoma ngumu
Huyu mleta mada na wasiwasi naye dunia ya sasa ni ya utandawazi tofauti na zaman mtu kutaja kitu ambacho anauhakika nacho nikosa??we mtoa mada hujuelewi mtu kataja fulani ni shoga kilichotakiwa ni ushahidi aulete sasa wewe unaweweseka na nn mkuu