Dudubaya ni ngangaripoa?

Mshana Jr leo jipange brother!! Umekurupuka period!!
Unashindwa kabisa kutetea hoja zako, unauliza kama dudu ni Ngangaripoa sijui una maana gani? Context ya andiko lako ni vitisho, kwamba ajiangalie sana, unasema anataja watu bila kutafakari kwa kina, nani amekudanganya hilo? Hao watu aliowataja kwanza wapo kwenye media, na majina yao kuhusishwa na ushoga hayajaanza leo wala jana..
Watoke front wakanushe, we unadai Konki anatumiwa, wewe je nani anakutumia kupitia jukwaa hili la JF? Jipange bro, hii ngoma ngumu
 
duh!!
 
Huyu mleta mada na wasiwasi naye dunia ya sasa ni ya utandawazi tofauti na zaman mtu kutaja kitu ambacho anauhakika nacho nikosa??we mtoa mada hujuelewi mtu kataja fulani ni shoga kilichotakiwa ni ushahidi aulete sasa wewe unaweweseka na nn mkuu
 
Konki Konki Masta akapimwe marinda
 
Najaribu kufikiria mama mzazi wa b dozen anajisikiaje saiz? Mke wa harris kapiga je?? Kama hakuna ushahidi ni vyema tukakaa kimya?? Fikiria kama angetajwa baba yako! Ndio, baba yako aliyekuzaa... vipi kama angetajwa na konki master? Tujiongeze
 
Project inaanzishwa na kanda ya ziwa inarukiwa na kanda ya ziwa, inashikiwa kidedea na kanda ya ziwa wote
 
Sasa huo ni mtazamo wako na sio msimano wangu... Nikikuzuia kufikiri unavyodhani wewe naweza kuwa mwendawazimu na ile slogan ya JF ya the home of great thinkers nitakuwa sijaitendea haki
Upo sawa,kuwa na mitazamo tofauti ni sehemu muhimu ya maisha
 
Hivi ule Ugomvi wake na Mr Nice Mkenda ilikuwa ni wa kugombea nini? Pana siri nzito sana hapo na anaijua Papa King Molel wa Arusha
 


Hii ngoma Mdau kazingua na kama kweli anaakili ameshafahamu alichokoroga.
 
Huyu mleta mada na wasiwasi naye dunia ya sasa ni ya utandawazi tofauti na zaman mtu kutaja kitu ambacho anauhakika nacho nikosa??we mtoa mada hujuelewi mtu kataja fulani ni shoga kilichotakiwa ni ushahidi aulete sasa wewe unaweweseka na nn mkuu


Mshana Jr alichopaswa kukisema hapa ni kusisitiza kama Konki anaushahidi autoe na si kuuliza kwa kumpa majina ya kijinga. Linapokuja swala linalodhalilisha Wanaume kwa kweli tutapambana mpaka mwisho. Ushoga ni udhalilishaji wa mwanaume ambaye ni mfano wa Mungu. hatutakubali kabisa.

Hii vita wengi tupo nyuma yake. Ikiwezekana Kifo
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…