Dudubaya ni ngangaripoa?

DUDU BAYA APIMWE MARRINDA ILI TUPATE USHAHIDI MADHUBUTI.
Mwenzako anataka watu "waamini" hiki ni kichekesho! mleta mada thinking capacity yake inatia mashaka sana,ni msahaulifu na uwezo wake wakuhold kumbukumbu ni mdogo sana,hii mada yeye mwenyewe anajicontradict sana na kusahau anachokitetea!
 
WEWE NA DUDU BAYA MNAPAKUANA.

SIWAPATII PICHA NA MANDEVU YENU HAYO.
Umeanza kutoa siri zako sasa naona,mara nyingi mtu jambo alifanyalo hudhani na wengine hulifanya kama afanyavyo yeye,pole sana kwa kupoteza linda.
 
Mwenzako anataka watu "waamini" hiki ni kichekesho! mleta mada thinking capacity yake inatia mashaka sana,ni msahaulifu na uwezo wake wakuhold kumbukumbu ni mdogo sana,hii mada yeye mwenyewe anajicontradict sana na kusahau anachokitetea!
KELELE MINGI TU WEWE!

DJ ZERO!
 
Ukiona hivyo wewe jiongeze tu. Waliotajwa/waliochafuliwa washafika kwake Mzee kuomba msaada wamfanye nini huyu msukule.
[emoji848][emoji848][emoji848][emoji144][emoji144][emoji144][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Unaweza kuthibitisha haya madai yako? au ndio una hasira kwake kisa kataja jina lako labda?
icebreaker your too homophobic na kama hiyo profile picha inawakilisha watu unaowakubali..basi nawe utakua na uwalakini wa kikonki
 
Ndo maana sisi tunasema dudubaya alifanya kama kujilinda flani,na kweli amefanikiwa wengi wajinga wajinga wamemuamini,lakini ukifuatilia vizuri historia yake huyu jamaa naye ni shoga aliyekubuhu kabisa,alipomsikia makonda yeye akaja haraka haraka ili kujilinda..
 
icebreaker your too homophobic na kama hiyo profile picha inawakilisha watu unaowakubali..basi nawe utakua na uwalakini wa kikonki
Naona una hasira kwa Konki master coz kawaweka wazi majina yenu,pole sana,mwenzio mleta mada kaishiwa hoja amebaki ku like tu vicomment vya watu kama wewe coz anaona ndio wafariji wake hapa!!
 
HAYA, SAWA DADA KIBOGA.

MSALIMIE SHOSTI AKO DUDU BAYA.
Sasa hivi naona umeamua kuonyesha wazi kabisa uwezo wako wa kufikiri jinsi ulivyokua chini,hicho ulichokiandika na lugha uliyotumia ndio hutumiwa na hao waliotajwa na Konk master,nilijua tu mwisho wa siku ungejiweka tu wazi!!
 
Sasa hivi naona umeamua kuonyesha wazi kabisa uwezo wako wa kufikiri jinsi ulivyokua chini,hicho ulichokiandika na lugha uliyotumia ndio hutumiwa na hao waliotajwa na Konk master,nilijua tu mwisho wa siku ungejiweka tu wazi!!
SHUT UP!
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…