Hili tamko haliwezi kusafisha pumba uliyoiandika hapa,acha kutafuta pakutokea na kisha upunguze kukurupuka,usitake kuhamisha magoli.Sikulaumu kwa kufuata mkumbo... Heshima yangu haijashuka bali imepanda... Tayari serikali imejitenga na habari yote...
Pamoja na kwamba siungi mkono tamko la serikali lenye kila dalili za woga lakini kwangu tamko hilo ni ushindi dhidi yenu, bashite na Godfrey
Next time msiongozwe na mihemko mkadhani tunajiandikia tuuView attachment 921315
Ndio hapo sasaHii picha ina nini kwani![]()
Teh huoni ka glass ka wine ka MZEE MAZA hapo ?Mbona picha zote za wagumu? Tena wanakula bapa????? Hahhaha
Machoko humuwezi kuruhusiwa tzPicha zinajieleza jamani hii dunia hii
Sie kina ray tutukanwe tu ila mmeyaona nilikua nawaambia mnabisha
Kuna video nimetumiwa mhhhhh!!!!!!mungu wangu dudu baya shame on you duuuuuh ndo hayo tena??
Tobaa!!!!!!!hii dunia hii jamani![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
View attachment 921457View attachment 921458
Lakini anakaa nao tuu??Huyo si Bilal? Na alishasema yeye sio shoga. Weka hiyo video acha unafiki
Video za ki-amber ruty nitawekaje public unataka nishtakiwe?Huyo si Bilal? Na alishasema yeye sio shoga. Weka hiyo video acha unafiki
Kupiga picha na shoga ni ama na wewe uwe shoga au uwe mende! Hiyo picha na mashauzi lazima ilete gumzoVita na mange kimambi inahitaji uwe msafii hasa konki master hio picha tu na marehem bilal mashauzi ni kosa kwake hahhaha