Stelingi
JF-Expert Member
- Dec 23, 2022
- 700
- 1,922
Aisee hivi mbona jobless tunafanyiwa hivi. Matokeo hayatoki zaidi ya miezi tisa 9. Hii ni sawa kweli???? Au ndo watu wakikaa kwenye viti hawajali hisia za wengine. Hata kama ni kupima uvumilivu hii sasa ni too much.
Walisema baada ya wiki tatu sasa inaenda kukamilika mwaka. Na kila siku imekuwa sisi na web ya psrs, mmmmmh hii sio sawa kabisa wenye mamlaka tizameni hili.
Au wenye update kuhusu huu usaili kuna jambo gani linaendelea atuambie maana sio kawaida. miezi tisa😳.
Walisema baada ya wiki tatu sasa inaenda kukamilika mwaka. Na kila siku imekuwa sisi na web ya psrs, mmmmmh hii sio sawa kabisa wenye mamlaka tizameni hili.
Au wenye update kuhusu huu usaili kuna jambo gani linaendelea atuambie maana sio kawaida. miezi tisa😳.