Usaili NHC: Jinsi Sekretariat ya Ajira katika Utumishi wa Umma inavyozidi kupoteza weredi

muku

JF-Expert Member
Aug 23, 2014
312
77
Kaimu Katibu ma Secretariat ya Ajira.

Siku za hivi karibuni kumekuwa na manung’uniko ya watu wanaofanya usaili wa mchujo jinsi secretarit inavyosimamia usaili huo.

Kwanza, kumekuwa na mlolongo wa dalili za kuvuja kwa mitihani ya mchujo kitu ambacho kimepelekea mitahani inayooonekana kuwa na ugumu kuonekana ni rahisi sana kwa watu flani. Mfano unakuta matokeo ya usaili mtu wa kwanza anapata 95 wa pili anapata 60. Kutofautiana huko hakuwezi kujustify hoja ya mitihani kuvuja. Ila cha kushangaza kuna vijana wamekuwa wakiomba msaada wa maswali kwa watu wenye uwezo kisha wakiingia kwenye mtihani wa mchujo maswali yanakuwa ni yaleyale. Hii inajustify jinsi sekretariat ambayo ilikuwa na weredi inavyopoteza weredi huo.

Pili, kumekuwa na trend isiyoeleweka ya kushortlist watu kutoka kwenye usaili wa mchujo kwenda katika usaili wa mahojiano. Kwa mfano kuna usaili unakuta wamechukua hadi marks 50. Hoja yangu sio kwamba ni lazima kuchukua hadi 50 hapa, hoja yangu ni hii randomness katika kushortlist. Kwa nini kusiwe na systematic method ya kushortlist watu kutokana na idadi ya nafasi? Unakuta kuna baadhi ya sehemu wanashortlist watu hata 20 kwa nafasi moja na kuna sehemu nyingine wanashortlist watu wa 5 kwa nafasi moja.


Kilichotoea usaili wa NHC siku ya trh 02/04/2022 ni aibu kubwa sana.

Kuna kada zilikuwa zinahitaji nafasi 3 mfano, Uhandisi Umeme (Electrical Engineering), uhandisi mitambo (Mechanical Engineering), na uhandisi Ujenzi (Civil Engineering). Ila cha kushangaza sekretariat ya ajira wameshortlist watu 10 kwa Uhandisi umeme, nafasi 7 kwa uhandisi mitambo, na nafasi 8 kwa uhandisi majengo. Yaani kama uhandisi umeme mmeishia marks 84, mkimaanisha mtu wa marks 82 hafai kuingia kwenye usaili wa mahojiano, hamuoni aibu??? Mbona haikuaga random kiasi hiki? Basi mngetudanganya hata kwa kushortlist idadi sawa ya watu katika nafasi hizo, mfano mnngeshortlist 10, 8, au 7 kwa kila nafasi maana zote zina nafasi 3.

Kutokana na kashfa ya kuvuja kwa mitihani hivi karibuni ikiwemo mitihani ya NHC ni wazi mchakato wa interview wote ni batili kabisa. Na ukichukua hilo la kuvuja mitihani na jinsi mmevyoshortlist ni wazi kuwa mmefanya maksudi ili watu waliofaulu mchujo wasiwe na ushindani mkubwa kwenye mahojiano. Ili itoe nafasi kwa waliopa mitihani hiyo kupata ajira kirahisi.


Kwa kamalizia, ni wazi aliekamimishwa nafasi na katibu kashindwa kuimudu nafasi hiyo mapema. Ni vyema mamlaka husika zisimpitishe kuwa katibu kamili.
 
Kaimu Katibu ma Secretariat ya Ajira.

Siku za hivi karibuni kumekuwa na manung’uniko ya watu wanaofanya usaili wa mchujo jinsi secretarit inavyosimamia usaili huo.

Kwanza, kumekuwa na mlolongo wa dalili za kuvuja kwa mitihani ya mchujo kitu ambacho kimepelekea mitahani inayooonekana kuwa na ugumu kuonekana ni rahisi sana kwa watu flani. Mfano unakuta matokeo ya usaili mtu wa kwanza anapata 95 wa pili anapata 60. Kutofautiana huko hakuwezi kujustify hoja ya mitihani kuvuja. Ila cha kushangaza kuna vijana wamekuwa wakiomba msaada wa maswali kwa watu wenye uwezo kisha wakiingia kwenye mtihani wa mchujo maswali yanakuwa ni yaleyale. Hii inajustify jinsi sekretariat ambayo ilikuwa na weredi inavyopoteza weredi huo.

Pili, kumekuwa na trend isiyoeleweka ya kushortlist watu kutoka kwenye usaili wa mchujo kwenda katika usaili wa mahojiano. Kwa mfano kuna usaili unakuta wamechukua hadi marks 50. Hoja yangu sio kwamba ni lazima kuchukua hadi 50 hapa, hoja yangu ni hii randomness katika kushortlist. Kwa nini kusiwe na systematic method ya kushortlist watu kutokana na idadi ya nafasi? Unakuta kuna baadhi ya sehemu wanashortlist watu hata 20 kwa nafasi moja na kuna sehemu nyingine wanashortlist watu wa 5 kwa nafasi moja.


Kilichotoea usaili wa NHC siku ya trh 02/04/2022 ni aibu kubwa sana.

Kuna kada zilikuwa zinahitaji nafasi 3 mfano, Uhandisi Umeme (Electrical Engineering), uhandisi mitambo (Mechanical Engineering), na uhandisi Ujenzi (Civil Engineering). Ila cha kushangaza sekretariat ya ajira wameshortlist watu 10 kwa Uhandisi umeme, nafasi 7 kwa uhandisi mitambo, na nafasi 8 kwa uhandisi majengo. Yaani kama uhandisi umeme mmeishia marks 84, mkimaanisha mtu wa marks 82 hafai kuingia kwenye usaili wa mahojiano, hamuoni aibu??? Mbona haikuaga random kiasi hiki? Basi mngetudanganya hata kwa kushortlist idadi sawa ya watu katika nafasi hizo, mfano mnngeshortlist 10, 8, au 7 kwa kila nafasi maana zote zina nafasi 3.

Kutokana na kashfa ya kuvuja kwa mitihani hivi karibuni ikiwemo mitihani ya NHC ni wazi mchakato wa interview wote ni batili kabisa. Na ukichukua hilo la kuvuja mitihani na jinsi mmevyoshortlist ni wazi kuwa mmefanya maksudi ili watu waliofaulu mchujo wasiwe na ushindani mkubwa kwenye mahojiano. Ili itoe nafasi kwa waliopa mitihani hiyo kupata ajira kirahisi.


Kwa kamalizia, ni wazi aliekamimishwa nafasi na katibu kashindwa kuimudu nafasi hiyo mapema. Ni vyema mamlaka husika zisimpitishe kuwa katibu kamili.
Usaili ni usaili tu mapungufu hutokea lakini wanaangalia at least accurate imeokea?
 
Mimi siku ile tunafanya paper ya credit officer ya self microfinance pale duce nikamuona jamaa mmoja hivi msimamizi kalewa pombe asubuhi yote ile, niliondoa imani kwa hawa watu wa utumishi.
 
Mm nilifanya written interview ya pccb bale cive, tulianza vizur Tu interview.
Ila dakika za mwishoni kumaliza interview ,watu wakaanza kuigiliziana na msimamizi akiwaona live ,bila kuwafanya chochote kile .
Hapo ndipo nilipongudua kuwa nimetumia pesa zangu vibaya
 
Kaimu Katibu ma Secretariat ya Ajira.

Siku za hivi karibuni kumekuwa na manung’uniko ya watu wanaofanya usaili wa mchujo jinsi secretarit inavyosimamia usaili huo.

Kwanza, kumekuwa na mlolongo wa dalili za kuvuja kwa mitihani ya mchujo kitu ambacho kimepelekea mitahani inayooonekana kuwa na ugumu kuonekana ni rahisi sana kwa watu flani. Mfano unakuta matokeo ya usaili mtu wa kwanza anapata 95 wa pili anapata 60. Kutofautiana huko hakuwezi kujustify hoja ya mitihani kuvuja. Ila cha kushangaza kuna vijana wamekuwa wakiomba msaada wa maswali kwa watu wenye uwezo kisha wakiingia kwenye mtihani wa mchujo maswali yanakuwa ni yaleyale. Hii inajustify jinsi sekretariat ambayo ilikuwa na weredi inavyopoteza weredi huo.

Pili, kumekuwa na trend isiyoeleweka ya kushortlist watu kutoka kwenye usaili wa mchujo kwenda katika usaili wa mahojiano. Kwa mfano kuna usaili unakuta wamechukua hadi marks 50. Hoja yangu sio kwamba ni lazima kuchukua hadi 50 hapa, hoja yangu ni hii randomness katika kushortlist. Kwa nini kusiwe na systematic method ya kushortlist watu kutokana na idadi ya nafasi? Unakuta kuna baadhi ya sehemu wanashortlist watu hata 20 kwa nafasi moja na kuna sehemu nyingine wanashortlist watu wa 5 kwa nafasi moja.


Kilichotoea usaili wa NHC siku ya trh 02/04/2022 ni aibu kubwa sana.

Kuna kada zilikuwa zinahitaji nafasi 3 mfano, Uhandisi Umeme (Electrical Engineering), uhandisi mitambo (Mechanical Engineering), na uhandisi Ujenzi (Civil Engineering). Ila cha kushangaza sekretariat ya ajira wameshortlist watu 10 kwa Uhandisi umeme, nafasi 7 kwa uhandisi mitambo, na nafasi 8 kwa uhandisi majengo. Yaani kama uhandisi umeme mmeishia marks 84, mkimaanisha mtu wa marks 82 hafai kuingia kwenye usaili wa mahojiano, hamuoni aibu??? Mbona haikuaga random kiasi hiki? Basi mngetudanganya hata kwa kushortlist idadi sawa ya watu katika nafasi hizo, mfano mnngeshortlist 10, 8, au 7 kwa kila nafasi maana zote zina nafasi 3.

Kutokana na kashfa ya kuvuja kwa mitihani hivi karibuni ikiwemo mitihani ya NHC ni wazi mchakato wa interview wote ni batili kabisa. Na ukichukua hilo la kuvuja mitihani na jinsi mmevyoshortlist ni wazi kuwa mmefanya maksudi ili watu waliofaulu mchujo wasiwe na ushindani mkubwa kwenye mahojiano. Ili itoe nafasi kwa waliopa mitihani hiyo kupata ajira kirahisi.


Kwa kamalizia, ni wazi aliekamimishwa nafasi na katibu kashindwa kuimudu nafasi hiyo mapema. Ni vyema mamlaka husika zisimpitishe kuwa katibu kamili.
Binafsi nakuona huna hoja. Hoja ulizoleta ni nyepesi na hazina mashiko. Kwanza kwa hoja ulizoleta nadhani utumishi wapo sahihi kushortlist idadi hiyo kwenye usaili wa mchujo kulingana na nafasi ulizozitaji.
Mojawapo za hoja za msingi ambazo hujazitaja ni hili swala la utumishi kudisqualify candidates kwa petty issues. Unakuta mtu kapoteza kitambulisho ila ana copy ya kitambulisho na nyaraka zingine zinazomtambulisha kama ndio mhusika kama vile cheti cha kuzaliwa, cheti cha form four ambacho kina picha ya mhusika lakini bado wanamdisqualify. Hii inawafanya waonekane kama maroboti ambayo yameprogramiwa yasiyokuwa na utashi wa kureason.

Pili, taasisi za kiserikali kutokuwa na ushirikiano. Unakuta mtu kasoma nje ya nchi na tayari vyeti vyake keshavipeleka TCU na NECTA kwa ajili ya uhakiki na equivalency lakini utumishi hata hawajui NECTA huwa wanatoa document ipi. Au kipindi cha nyuma NECTA walikuwa wanatoa document ipi na sasa baada ya kuboresha wanatoa document ipi iliyoboreshwa, sasa utumishi hawana ushirikiano na NECTA kujua mabadiriko kama haya unakuta wanamsumbua msailiwa kwa hoja za kijinga kabisa.
 
Kaimu Katibu ma Secretariat ya Ajira.

Siku za hivi karibuni kumekuwa na manung’uniko ya watu wanaofanya usaili wa mchujo jinsi secretarit inavyosimamia usaili huo.

Kwanza, kumekuwa na mlolongo wa dalili za kuvuja kwa mitihani ya mchujo kitu ambacho kimepelekea mitahani inayooonekana kuwa na ugumu kuonekana ni rahisi sana kwa watu flani. Mfano unakuta matokeo ya usaili mtu wa kwanza anapata 95 wa pili anapata 60. Kutofautiana huko hakuwezi kujustify hoja ya mitihani kuvuja. Ila cha kushangaza kuna vijana wamekuwa wakiomba msaada wa maswali kwa watu wenye uwezo kisha wakiingia kwenye mtihani wa mchujo maswali yanakuwa ni yaleyale. Hii inajustify jinsi sekretariat ambayo ilikuwa na weredi inavyopoteza weredi huo.

Pili, kumekuwa na trend isiyoeleweka ya kushortlist watu kutoka kwenye usaili wa mchujo kwenda katika usaili wa mahojiano. Kwa mfano kuna usaili unakuta wamechukua hadi marks 50. Hoja yangu sio kwamba ni lazima kuchukua hadi 50 hapa, hoja yangu ni hii randomness katika kushortlist. Kwa nini kusiwe na systematic method ya kushortlist watu kutokana na idadi ya nafasi? Unakuta kuna baadhi ya sehemu wanashortlist watu hata 20 kwa nafasi moja na kuna sehemu nyingine wanashortlist watu wa 5 kwa nafasi moja.


Kilichotoea usaili wa NHC siku ya trh 02/04/2022 ni aibu kubwa sana.

Kuna kada zilikuwa zinahitaji nafasi 3 mfano, Uhandisi Umeme (Electrical Engineering), uhandisi mitambo (Mechanical Engineering), na uhandisi Ujenzi (Civil Engineering). Ila cha kushangaza sekretariat ya ajira wameshortlist watu 10 kwa Uhandisi umeme, nafasi 7 kwa uhandisi mitambo, na nafasi 8 kwa uhandisi majengo. Yaani kama uhandisi umeme mmeishia marks 84, mkimaanisha mtu wa marks 82 hafai kuingia kwenye usaili wa mahojiano, hamuoni aibu??? Mbona haikuaga random kiasi hiki? Basi mngetudanganya hata kwa kushortlist idadi sawa ya watu katika nafasi hizo, mfano mnngeshortlist 10, 8, au 7 kwa kila nafasi maana zote zina nafasi 3.

Kutokana na kashfa ya kuvuja kwa mitihani hivi karibuni ikiwemo mitihani ya NHC ni wazi mchakato wa interview wote ni batili kabisa. Na ukichukua hilo la kuvuja mitihani na jinsi mmevyoshortlist ni wazi kuwa mmefanya maksudi ili watu waliofaulu mchujo wasiwe na ushindani mkubwa kwenye mahojiano. Ili itoe nafasi kwa waliopa mitihani hiyo kupata ajira kirahisi.


Kwa kamalizia, ni wazi aliekamimishwa nafasi na katibu kashindwa kuimudu nafasi hiyo mapema. Ni vyema mamlaka husika zisimpitishe kuwa katibu kamili.
Mama yupo kazini
 
Kaimu Katibu ma Secretariat ya Ajira.

Siku za hivi karibuni kumekuwa na manung’uniko ya watu wanaofanya usaili wa mchujo jinsi secretarit inavyosimamia usaili huo.

Kwanza, kumekuwa na mlolongo wa dalili za kuvuja kwa mitihani ya mchujo kitu ambacho kimepelekea mitahani inayooonekana kuwa na ugumu kuonekana ni rahisi sana kwa watu flani. Mfano unakuta matokeo ya usaili mtu wa kwanza anapata 95 wa pili anapata 60. Kutofautiana huko hakuwezi kujustify hoja ya mitihani kuvuja. Ila cha kushangaza kuna vijana wamekuwa wakiomba msaada wa maswali kwa watu wenye uwezo kisha wakiingia kwenye mtihani wa mchujo maswali yanakuwa ni yaleyale. Hii inajustify jinsi sekretariat ambayo ilikuwa na weredi inavyopoteza weredi huo.

Pili, kumekuwa na trend isiyoeleweka ya kushortlist watu kutoka kwenye usaili wa mchujo kwenda katika usaili wa mahojiano. Kwa mfano kuna usaili unakuta wamechukua hadi marks 50. Hoja yangu sio kwamba ni lazima kuchukua hadi 50 hapa, hoja yangu ni hii randomness katika kushortlist. Kwa nini kusiwe na systematic method ya kushortlist watu kutokana na idadi ya nafasi? Unakuta kuna baadhi ya sehemu wanashortlist watu hata 20 kwa nafasi moja na kuna sehemu nyingine wanashortlist watu wa 5 kwa nafasi moja.


Kilichotoea usaili wa NHC siku ya trh 02/04/2022 ni aibu kubwa sana.

Kuna kada zilikuwa zinahitaji nafasi 3 mfano, Uhandisi Umeme (Electrical Engineering), uhandisi mitambo (Mechanical Engineering), na uhandisi Ujenzi (Civil Engineering). Ila cha kushangaza sekretariat ya ajira wameshortlist watu 10 kwa Uhandisi umeme, nafasi 7 kwa uhandisi mitambo, na nafasi 8 kwa uhandisi majengo. Yaani kama uhandisi umeme mmeishia marks 84, mkimaanisha mtu wa marks 82 hafai kuingia kwenye usaili wa mahojiano, hamuoni aibu??? Mbona haikuaga random kiasi hiki? Basi mngetudanganya hata kwa kushortlist idadi sawa ya watu katika nafasi hizo, mfano mnngeshortlist 10, 8, au 7 kwa kila nafasi maana zote zina nafasi 3.

Kutokana na kashfa ya kuvuja kwa mitihani hivi karibuni ikiwemo mitihani ya NHC ni wazi mchakato wa interview wote ni batili kabisa. Na ukichukua hilo la kuvuja mitihani na jinsi mmevyoshortlist ni wazi kuwa mmefanya maksudi ili watu waliofaulu mchujo wasiwe na ushindani mkubwa kwenye mahojiano. Ili itoe nafasi kwa waliopa mitihani hiyo kupata ajira kirahisi.


Kwa kamalizia, ni wazi aliekamimishwa nafasi na katibu kashindwa kuimudu nafasi hiyo mapema. Ni vyema mamlaka husika zisimpitishe kuwa katibu kamili.
bora ungewauliza kuliko kulaumu...m najua utumishi ratio yao 3:1 kama sijakosea yaani nafasi moja kwa watu watatu...so kama nafasi ni 2 ..wataita watu 6...japo inatokea wanaweza kuzidisha ...mfano nliwahi hudhuria oral nafasi zilikua 2 wakaita watu 15....jamaa wa utumishi akasema kuna makosa yametendeka ilitakiwa waitwe watu 6 tu.....
 
Binafsi nakuona huna hoja. Hoja ulizoleta ni nyepesi na hazina mashiko. Kwanza kwa hoja ulizoleta nadhani utumishi wapo sahihi kushortlist idadi hiyo kwenye usaili wa mchujo kulingana na nafasi ulizozitaji.
Mojawapo za hoja za msingi ambazo hujazitaja ni hili swala la utumishi kudisqualify candidates kwa petty issues. Unakuta mtu kapoteza kitambulisho ila ana copy ya kitambulisho na nyaraka zingine zinazomtambulisha kama ndio mhusika kama vile cheti cha kuzaliwa, cheti cha form four ambacho kina picha ya mhusika lakini bado wanamdisqualify. Hii inawafanya waonekane kama maroboti ambayo yameprogramiwa yasiyokuwa na utashi wa kureason.

Pili, taasisi za kiserikali kutokuwa na ushirikiano. Unakuta mtu kasoma nje ya nchi na tayari vyeti vyake keshavipeleka TCU na NECTA kwa ajili ya uhakiki na equivalency lakini utumishi hata hawajui NECTA huwa wanatoa document ipi. Au kipindi cha nyuma NECTA walikuwa wanatoa document ipi na sasa baada ya kuboresha wanatoa document ipi iliyoboreshwa, sasa utumishi hawana ushirikiano na NECTA kujua mabadiriko kama haya unakuta wanamsumbua msailiwa kwa hoja za kijinga kabisa.

Ujifunze kuelimika. Kwenda darasan pekee hakutakusaidia kuelewa kitu alichoandika mwenzako na ukacomment accordingly.
 
bora ungewauliza kuliko kulaumu...m najua utumishi ratio yao 3:1 kama sijakosea yaani nafasi moja kwa watu watatu...so kama nafasi ni 2 ..wataita watu 6...japo inatokea wanaweza kuzidisha ...mfano nliwahi hudhuria oral nafasi zilikua 2 wakaita watu 15....jamaa wa utumishi akasema kuna makosa yametendeka ilitakiwa waitwe watu 6 tu.....

Mkuu mbona nimeandika issue ya randomness katika shortlisting na moja ya concern yangu. By the way najaribu kushade light kwenye mapungufu na sio kulalamika, maana siguswi moja kwa moja na interview yoyote ya sekretariat ya ajira.
 
Ni vizuri wanafanya usaili na wao wakafanyiwa usaili na jopo la wataalamu ili wanolewe kufanya usaili kwa weledi.
 
Back
Top Bottom