Azimio la kazi
Senior Member
- Jun 7, 2023
- 138
- 451
Hawa vijana madaktari si kwa nia Mbaya lakini wanachofanya wanatengeneza laana kwenye vizazi vyao, vijana hawa badala ya kusaidi raia kazi yao ni kuvimba tu mitaani na kujiona wao ndio miamba. Kazini wanachelewa, Wana lazimisha kufanya mapenzi na waauguzi hasa night shift.
Enyi madaktari acheni ushamba na ulimbukeni wa taaluma zenu.
Leo nimevunja stheoscope ya Daktari mmoja kwa hasira, nimeingia chumba Cha daktari jamaa badala anisikilize yeye busy na kuchat nikasema weeee hasira ukapanda, nikamkunja ndani mule, akapiga yowe la woga ni kashika hiyo stheoscope nikapiga chini, ana bahati kijana wa Suma jkt alikuja mapema
Enyi madaktari acheni ushamba na ulimbukeni wa taaluma zenu.
Leo nimevunja stheoscope ya Daktari mmoja kwa hasira, nimeingia chumba Cha daktari jamaa badala anisikilize yeye busy na kuchat nikasema weeee hasira ukapanda, nikamkunja ndani mule, akapiga yowe la woga ni kashika hiyo stheoscope nikapiga chini, ana bahati kijana wa Suma jkt alikuja mapema