Frank Wanjiru
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 21,838
- 38,729
Swali zuri sana, maana Canal+ Sport ni 45k tuu unaangalia almost ligi zote kuanzia EPL mpaka Champions LeagueWhy canal a afford kulipia bei kubwa alafu package yake ya epl iwe cheaper?
Swali zuri sana, maana Canal+ Sport ni 45k tuu unaangalia almost ligi zote kuanzia EPL mpaka Champions LeagueWhy canal a afford kulipia bei kubwa alafu package yake ya epl iwe cheaper?
Azam ukiondoa npl hamna kituHata Azam litawakuta jambo sio muda
Hiyo router ya 5G inaweza kupiga kazi sehemu ambayo 5G haijafika kama huku nje ya mji?Voda mi nilisajili Router ya 5G ni unyama sana speed ya 50Mbps. Kwa kuanza unalipa deposit ya 300,000 kisha unafunguliwa data mwezi mzima. Upon renewal unalipia laki na nusu kila mwezi kwa muendelezo. Ila nzuri sana hata kwa wale wenye ma smart TVs zinaweza kuwa na uhai kupitia hizo routers.
Tunawapataje hao? Tuachane na DstvMnahangaika na na DStv...mie Nipo na Mfaransa Bein Sport * Mmisri Osn* Mzayuni Yes pac*kage! Miasha full uhd 4k sio hivyo outdated hd za Azam na Dstv
Humu wapo pia chawa ,unakuta mtu anapewa buku la fegi ili akuharbie, si ndio hao huzunguka kukagua cable mjini,Weka mambo hapa, inbox kuna nini huko?
Oky,ngoja niandike ukweli wote hapaTupe maujanja jamani
Kama unajua uchoyo wa nini? Wape watu hapa nao wafaidiHayo mambo tunayajua toka zamani, hakuna jipya chini ya jua
Tupe elimu mkuuEee
eeeee tena naelimisha watu free, nina miaka 8 sijawahi tumia Dstv na nikitakacho napata
Sijajua kwa kweliHiyo router ya 5G inaweza kupiga kazi sehemu ambayo 5G haijafika kama huku nje ya mji?
Nimekutumia namba hukoKwa laki moja unaweza paga gb ngapi kwa hizo router za vodacom
Hee! Kumbe muda wote huu unapigia chapuo wizi?? Hahahaha! Mimi najua unatangaza njia legit za kupata chaneli nyingi, nzuri na za gharama nafuu kuliko dstv?! Kumbe tena unataka tukiangalia tufunge madirisha watu wasisikie?!! HahahahHumu wapo pia chawa, unakuta mtu anapewa buku la fegi ili akuharibie, si ndio hao huzunguka kukagua cable mjini.
Wafanye Compact 40,000/- waone wateja watavyoongezeka.
Mimi nilikuwa nalipia Shangwe 34000/- walivyopandisha 37000/- huku hawaonyeshi CAF SUPER LEAGUE WALA CAF CHAMPIONS LEAGUE, nikawana matapeli tu. Sasa nalipa 24000/- ili wife aangalie HUBA nami LA LIGA tu.
Kwanza Arsenal inavyofungwa hata hamu ya EPL sina
Hujaelewa,Hee! Kumbe muda wote huu unapigia chapuo wizi?? Hahahaha! Mimi najua unatangaza njia legit za kupata chaneli nyingi, nzuri na za gharama nafuu kuliko dstv?! Kumbe tena unataka tukiangalia tufunge madirisha watu wasisikie?!! Hahahah
Sent from my SM-A135F using JamiiForums mobile app
Yaccine tv ni unyama sana,imenifanya siku hizi nikiangalia soka kama mtangazaji sio mwarabu nifeel bored ingawa kiarabu chenyewe hata sijui kukizungumzaHizo sababu za kupoteza wateja ni uongo wameogopa wakiongea ukweli, watu watataka kujua zaidi kuhusu huo ukweli. Ni hivi, teknolojia imesababisha wao kupoteza wateja kwa namna zifuatazo
- Watu wanatumia smarttv kustream mechi, japo TV nyingi zinakuja na lock kwenye playstore ili usidownload apk muhimu. Ukipakua apk mfano yaccine ukiweka kwenye flash mbona unainstall vizuri tu, na bila kuilipia apk ni wewe na bando tu.
- Fiber na wifi za maofisini
Watu wanatumia hizo kutazama wakitakacho kwa bei nafuu. Mfano fiber unakuta kwa mwezi ni elfu 70-80, Dstv lazima iwe kampuni.- Ving'amuzi vyenye kurusha mpira, movies sawa na wao vyenye bei nafuu ni vingi. Mfano canal + elf 40-45 mtu anaona epl, uefa, laliga, bundas (DStv hana), ligue 1( Dstv hana), pia bein media wana malipo mazuri kuliko DStv iliyo chini ya makaburu,na makaburu anapenda faida kupindukia,lazima apigwe chini
- Vipokezi visivyo rasmi, hii ndio nafuu mnooooo, mfano watu duniani wanatumia kama starsat, ghost, freesat, mediastar na tiger
Ingia Google mtaona hata utendaji kazi, mfano kuna kulipia mwaka mzima elfu 35-38 na unafungua canal chanel zozote, Dstv, bein kwa ujinga utalipa Dstv mwaka milion na zaidi kweli?
Pia mtu anatumia Tsh 500 / mia tano kustream mechi, movies documentary nk kwa mwezi mfano mechi dkk 90 anatumia mb 2-3
DStv ya nini?
DStv watazidi kupoteza nawaambieni chawa ambao mpo huku ili kufanikisha DStv capital outflow
Mechi y dakika 90 Kwa mb2?Hizo sababu za kupoteza wateja ni uongo wameogopa wakiongea ukweli, watu watataka kujua zaidi kuhusu huo ukweli. Ni hivi, teknolojia imesababisha wao kupoteza wateja kwa namna zifuatazo
- Watu wanatumia smarttv kustream mechi, japo TV nyingi zinakuja na lock kwenye playstore ili usidownload apk muhimu. Ukipakua apk mfano yaccine ukiweka kwenye flash mbona unainstall vizuri tu, na bila kuilipia apk ni wewe na bando tu.
- Fiber na wifi za maofisini
Watu wanatumia hizo kutazama wakitakacho kwa bei nafuu. Mfano fiber unakuta kwa mwezi ni elfu 70-80, Dstv lazima iwe kampuni.- Ving'amuzi vyenye kurusha mpira, movies sawa na wao vyenye bei nafuu ni vingi. Mfano canal + elf 40-45 mtu anaona epl, uefa, laliga, bundas (DStv hana), ligue 1( Dstv hana), pia bein media wana malipo mazuri kuliko DStv iliyo chini ya makaburu,na makaburu anapenda faida kupindukia,lazima apigwe chini
- Vipokezi visivyo rasmi, hii ndio nafuu mnooooo, mfano watu duniani wanatumia kama starsat, ghost, freesat, mediastar na tiger
Ingia Google mtaona hata utendaji kazi, mfano kuna kulipia mwaka mzima elfu 35-38 na unafungua canal chanel zozote, Dstv, bein kwa ujinga utalipa Dstv mwaka milion na zaidi kweli?
Pia mtu anatumia Tsh 500 / mia tano kustream mechi, movies documentary nk kwa mwezi mfano mechi dkk 90 anatumia mb 2-3
DStv ya nini?
DStv watazidi kupoteza nawaambieni chawa ambao mpo huku ili kufanikisha DStv capital outflow