Kampuni ya televisheni ya Afrika Kusini ya Multichoice Africa imetangaza kuwa itasitisha matangazo ya Emmanuel TV, kituo cha kidini inayomilikiwa na marehemu Nabii Temitope Babatunde Joshua, mwanzilishi wa Kanisa la Synagogue Church of All Nations, kuanzia Januari 17, 2024.
Uamuzi huo unafuatia filamu yenye utata iliyorushwa na BBC ikielezea madai ya ukatili na uhalifu wa kingono uliofanywa na T.B. Yoshua.
Uamuzi huo unafuatia filamu yenye utata iliyorushwa na BBC ikielezea madai ya ukatili na uhalifu wa kingono uliofanywa na T.B. Yoshua.