Simbamteme
JF-Expert Member
- Sep 10, 2011
- 784
- 2,063
Starsat..kwa info nicheki au tembelea post zangu..nishapost hii kitu na kuitolea ufafanuzimkuu unatumia kingamuz gani?
Starsat..kwa info nicheki au tembelea post zangu..nishapost hii kitu na kuitolea ufafanuzimkuu unatumia kingamuz gani?
Of coz yes..ila hata hao commentators wengi wetu huwa tunaangalia kwenye ma Bar au maukumbi...makelele mengi..huo mda wa kuwasikiliza unautoa wapShida ya
Canal hawaongei kingereza hivyo unakosa uhondo wa commentators
Wana mawakala...kigoma ndo wapo wengi kweli nnao wajua...dar pia wapo..ila sina contact hata na mmoja wao..ila wapo...!!wachek hawa mawakala wa madish yetu local haya..watakusaidiaCanal + kwa bongo wanapatikana wapi ofisi zao?
Shukran mkuuWana mawakala...kigoma ndo wapo wengi kweli nnao wajua...dar pia wapo..ila sina contact hata na mmoja wao..ila wapo...!!wachek hawa mawakala wa madish yetu local haya..watakusaidia
Marekani wanatumia teknolojia zote ( Cable, Antenna na Dish)
Antenna inaepusha usumbuf hasa wakat wa kuhama ndg
Wangeshusha Bei wapate wateja wengi wangepata faida zaidiKua serious kidogo mkuu Premier League waoneshe kwa 25,000? Wao wenyewe wanalipa Zaidi ya Pauni Milioni 300 kupata haki ya kuonyesha piga hesabu hapo kwa hela za madafu ni shingapi ..na hiyo ni kwa misimu mitatu tu . Lazima nasisi watugonge hela yao irudi
Hizo gharama za kununua TV rights ni kubwa mnoYah sasa kama utapunguza kifurushi mfano cha michezo ukaweka 30000/= uoni hapo kama utateka soko kubwa sanaaa,uku ukiwa unaingiza wateja wapya kwa kununua kisimbusi kipya kwani watu wanaitaji zaidi kuona epl,la liga,etc....
Hii ingekaaa sawa mkuu, hata kungekuwepo vifurush vya week, unaangalia week iliyo busy yenye champions league na big match za kutosha unalipia!Mimi nilishawahi kuwashauri waanzishe pay per view.
Yani nalipia kucheki match days tu au mechi zangu nazotaka kuona.
Sio kunilipisha elfu 80 kwa mwezi wakati naangalia game chache tu kwa week end moja na kwa mwezi mzima pia. Nikajibiwa tutalifanyia kazi majamaa ni majizi haya.
Na sasa ni 37000 tuWao wangeunda package yao tu ya sports kama ilivyo canal ( 42 elfu ) ya kibongo ligi zote muhimu kwa ukanda wetu unaziona
Naomba nihakikishie hili mzee
Ogopa sana kitu yenye element ya supplement goods, hata ukipewa bure gharama utailipa tu indirect!!!Pamoja na faida nyingine vifaa hizi vitakuwa na gharama ndogo, chini ya elfu 25,000
DStv kifurushi kikiisha na hauko vizuri mfukoni utatamani uhame nyumba utazijua nyimbo zote za kusifu na kuabudu serikaliKuna mdau wangu mmoja tunafahamiana naye anafanya kazi DSTV kitengo cha R&D.
Anasema sasa hivi DSTV wako kwenye mchakato wa kushusha mzigo mpya robo ya kwanza ya mwaka 2022.
Wanaleta antena badala ya dishi. Pamoja na hilo pia wataleta decoder mpya ndogo saizi ya simu ya mkononi ambayo badala ya kutumia kadi kubwa za zamani hii itakuwa inatumia kadi ndogo saizi ya laini ya simu.
Pamoja na faida nyingine vifaa hizi vitakuwa na gharama ndogo, chini ya elfu 25,000.
Wakuu the future is here
Bora uwe na DStv ndani Ligi ya bongo unaenda kubishana huko barAzam anawakimbiza sana DSTV kwenye hii premier league ya kibongo na DSTV naye anamkimbiza AZAM kwenye EPL....matokeo yake nyumba moja inakubidi uwe na madish mawili la AZAM na DSTV..
Unatumia?Vipi wahusika wanapatikana vipi?Mie canal naona wanazidi shika hatam tu deily