Tetesi: DSTV kuleta king'amuzi cha antenna

Shida ya
Canal hawaongei kingereza hivyo unakosa uhondo wa commentators
Of coz yes..ila hata hao commentators wengi wetu huwa tunaangalia kwenye ma Bar au maukumbi...makelele mengi..huo mda wa kuwasikiliza unautoa wap
 
Marekani wanatumia teknolojia zote ( Cable, Antenna na Dish)

Antenna ni old fashion na hata kwa US ni hivyo hivyo na channels zinazopatika kwa antenna ni free-to-air HDTV...na hata antenna zao si yale mamiiba ya samaki, ni indoor...

Watu wengi hutumia cable, wakifuatiwa na dish...
 
Kua serious kidogo mkuu Premier League waoneshe kwa 25,000? Wao wenyewe wanalipa Zaidi ya Pauni Milioni 300 kupata haki ya kuonyesha piga hesabu hapo kwa hela za madafu ni shingapi ..na hiyo ni kwa misimu mitatu tu . Lazima nasisi watugonge hela yao irudi
Wangeshusha Bei wapate wateja wengi wangepata faida zaidi
 
Yah sasa kama utapunguza kifurushi mfano cha michezo ukaweka 30000/= uoni hapo kama utateka soko kubwa sanaaa,uku ukiwa unaingiza wateja wapya kwa kununua kisimbusi kipya kwani watu wanaitaji zaidi kuona epl,la liga,etc....
Hizo gharama za kununua TV rights ni kubwa mno
 
Mimi nilishawahi kuwashauri waanzishe pay per view.
Yani nalipia kucheki match days tu au mechi zangu nazotaka kuona.
Sio kunilipisha elfu 80 kwa mwezi wakati naangalia game chache tu kwa week end moja na kwa mwezi mzima pia. Nikajibiwa tutalifanyia kazi majamaa ni majizi haya.
Hii ingekaaa sawa mkuu, hata kungekuwepo vifurush vya week, unaangalia week iliyo busy yenye champions league na big match za kutosha unalipia!
 
Wao wangeunda package yao tu ya sports kama ilivyo canal ( 42 elfu ) ya kibongo ligi zote muhimu kwa ukanda wetu unaziona
Na sasa ni 37000 tu

FC4BF5E6-BA0B-4E68-B02E-790F1AD8EFDC.jpeg
 
Kuna mdau wangu mmoja tunafahamiana naye anafanya kazi DSTV kitengo cha R&D.

Anasema sasa hivi DSTV wako kwenye mchakato wa kushusha mzigo mpya robo ya kwanza ya mwaka 2022.

Wanaleta antena badala ya dishi. Pamoja na hilo pia wataleta decoder mpya ndogo saizi ya simu ya mkononi ambayo badala ya kutumia kadi kubwa za zamani hii itakuwa inatumia kadi ndogo saizi ya laini ya simu.

Pamoja na faida nyingine vifaa hizi vitakuwa na gharama ndogo, chini ya elfu 25,000.

Wakuu the future is here
DStv kifurushi kikiisha na hauko vizuri mfukoni utatamani uhame nyumba utazijua nyimbo zote za kusifu na kuabudu serikali
 
Back
Top Bottom